Hapo Sky jioni kuna wahudumu wana makalio ya haja.....
Kwa Maeneo ya kuvinjari ni pamoja na;
1. Bukoba Club (hapa kuna ulimi WA kuchoma hatarii sana)
2. Coffee Tree
3. Casanova (jioni kuna live band)
4. Umura Rocks (nje ya mji kidogo)
5. Police Mess
6. Linaz
7.The Mint Club ( Club ya kisasa kuliko zote BK)
8. The Liquid Club ( Upande mmoja live band, upande mwingine disco)
9. Smart Hotel ( iko karibu na Airport)
10. The Rock (kwa Kitimoto choma)
11. Paradise Pub (hapa kuna Kitimoto hatari sanaaa Tanzania nzima hakipo)
12. Spice Bar (iko ziwani)
13. Yassira Hotel (iko ziwani, kuku choma safi sana)
14. Kolping Hote (Sizler ya Kitimoto ipo ila bei juu kidogo)
15. BCD Stella Hotel (hapa swimming ipo)
Usiondoke bila ku practice katerero! Hapo Liquid na The Mint wanakuwepo wa kutosha, bei chee kabisa na hawajui kuibia wateja.
Nyegera waitu Mnyamahanga!