Bukoba moja...

Bukoba moja...

Hapo Sky jioni kuna wahudumu wana makalio ya haja.....

Kwa Maeneo ya kuvinjari ni pamoja na;
1. Bukoba Club (hapa kuna ulimi WA kuchoma hatarii sana)
2. Coffee Tree
3. Casanova (jioni kuna live band)
4. Umura Rocks (nje ya mji kidogo)
5. Police Mess
6. Linaz
7.The Mint Club ( Club ya kisasa kuliko zote BK)
8. The Liquid Club ( Upande mmoja live band, upande mwingine disco)
9. Smart Hotel ( iko karibu na Airport)
10. The Rock (kwa Kitimoto choma)
11. Paradise Pub (hapa kuna Kitimoto hatari sanaaa Tanzania nzima hakipo)
12. Spice Bar (iko ziwani)
13. Yassira Hotel (iko ziwani, kuku choma safi sana)
14. Kolping Hote (Sizler ya Kitimoto ipo ila bei juu kidogo)
15. BCD Stella Hotel (hapa swimming ipo)

Usiondoke bila ku practice katerero! Hapo Liquid na The Mint wanakuwepo wa kutosha, bei chee kabisa na hawajui kuibia wateja.

Nyegera waitu Mnyamahanga!
Mji wa bukoba na vitongoji vyake
tapatalk_1537285540380.jpeg
tapatalk_1537285509236.jpeg
tapatalk_1537285544331.jpeg
tapatalk_1537285469226.jpeg
tapatalk_1537285463092.jpeg
tapatalk_1537285482487.jpeg
 
Hapo Sky jioni kuna wahudumu wana makalio ya haja.....

Kwa Maeneo ya kuvinjari ni pamoja na;
1. Bukoba Club (hapa kuna ulimi WA kuchoma hatarii sana)
2. Coffee Tree
3. Casanova (jioni kuna live band)
4. Umura Rocks (nje ya mji kidogo)
5. Police Mess
6. Linaz
7.The Mint Club ( Club ya kisasa kuliko zote BK)
8. The Liquid Club ( Upande mmoja live band, upande mwingine disco)
9. Smart Hotel ( iko karibu na Airport)
10. The Rock (kwa Kitimoto choma)
11. Paradise Pub (hapa kuna Kitimoto hatari sanaaa Tanzania nzima hakipo)
12. Spice Bar (iko ziwani)
13. Yassira Hotel (iko ziwani, kuku choma safi sana)
14. Kolping Hote (Sizler ya Kitimoto ipo ila bei juu kidogo)
15. BCD Stella Hotel (hapa swimming ipo)

Usiondoke bila ku practice katerero! Hapo Liquid na The Mint wanakuwepo wa kutosha, bei chee kabisa na hawajui kuibia wateja.

Nyegera waitu Mnyamahanga!
Katerero ni nini??
 
Mkuu umeingia kiwanjani na "sub woofer "?Cheko Sana ila nazikubali sana hizo simu. 😂😂😂😂
 
Iwe bojo,mkorawaito...wanigambira stupidy infront of my wife,hiyo ni zalau kwa kweli
Inshomile paka mbwa yangu ashomile
Inshomile mpaka form six but no course...omuliro!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom