BUKOBA: Mamlaka ya Maji(BUWASA) yakatiwa umeme kwa madeni, wananchi wateseka kwa kukosa maji

Swali nalojiuliza ni kwanini madeni yalikuwa yanalimbikizwa kiasi hicho,kama vipi kuwe na system ya malipo ya kabla kwa wote
 
Si kwamba raia wa bukoba hususani mjini,wanaweza kukosa maji maana kuna vyanzo vya maji vya kutosha karibia kuliko miji yote ya Tanzania niliyowahi kutembelea, nadhani adhani ni pale raia wa Bukoba wamezoea maji ya kuwafuata hadi ndani lakini kama ni kuyatafuta maji hayatafutwi mbali, mfano mtu anayeishi kastam bukoba mjini maji ni kila kona
 
KATA KATA maneno ni mawili KA TA
Hakuna kitu!ingekuwa jwtz, polisi na magereza wasingeweza kukata! Tatizo kubwa ni serikali kuu sasa kama hadi leo kuna wizara zimepata 16%ya bajeti iliyopitishwa na bunge unategemea nini??? Kuna kipindi NHC walianza zoezi la kuwatoa wadaiwa sugu, wakuu wa ofisi za serikali walikuja juu wakasema anasema hata kama ni ofisi ya serikali watoeni tu wakasema mbona pesa wanakaa nazo hazina huku hawaleti?? Watupe tulichotengewa ndio tulaumiwee!! Likafia hapo hapo!! Huku kutafuta kick bila kuangalia kuwa unaleta usumbufu kwa wengine ni shida. Mimi pesa ya kulipia umeme niitoe mfukoni kwangu??? Nipe nilichoomba then nilaumu.
 
 

Attachments

  • DAUDI BASHITE AENGULIWA.mp3
    6.8 MB · Views: 18

Kwani kwa wafanyakazi wa Tanesco maji ya mamlaka hiyo yanatoka? Tanesco wenyewe wamelipia bili zao za maji?
 
Chamtema kuni watakionaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
CCM mbele eh kwa Mbele eeeeeeeeeeeeeeeeh
 

Attachments

  • DAUDI BASHITE AENGULIWA.mp3
    6.8 MB · Views: 17
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…