The Great Haya
JF-Expert Member
- Apr 6, 2014
- 1,731
- 1,642
Usiseme Rombo sema 'Rombo kwa walevi'Nenda machame,kibosho,uru,kirua,marangu malizia na rombo.
Hutaki jinyeeee au jinyonge
Usiseme Rombo sema 'Rombo kwa walevi'Nenda machame,kibosho,uru,kirua,marangu malizia na rombo.
Hutaki jinyeeee au jinyonge
Inaonekana wewe ni mgeni hapa jf maana mjadala wa Moshi na Bukoba ulishafungwa kilichompata wachagga wanajua sema sehemu nyingineTembekea mkoa wa KILINANJARO
Msiwakatae jirani zenu, kwani hawaruhusiwi kuwepo Rombo??Huna jipya.
Hyo picha syo ya rombo hakuna wamasai
Mungu AnakuonaHio Migomba ata sio shida wacha ipotee tu , muhim katerero iwepo tu basi
RomboHuna jipya.
Hyo picha syo ya rombo hakuna wamasai
Haiwezekanimkristo pure.sisi ni watanzania,imani,dini na ukabila zitufanye kuwa matabaka.
Sasa hyo na ile uloweka ni sawa?
Wanaruhusiwa ila hawapo.Msiwakatae jirani zenu, kwani hawaruhusiwi kuwepo Rombo??
Ulevi mbona wahaya Dar ndo wanaongoza kwa ulevi.Usiseme Rombo sema 'Rombo kwa walevi'
Hakuna kitu sipendi kama hizi mbegu mpya za migomba. Roho inauma mno zile ndizi za asili zinapoteaSio kweli kwamba hakuna migomba wilaya ya Bukoba isipokuwa baadhi ya maeneo walibadilisha aina ya migomba kutoka ya zamani na kupanda ya kisasa especially migomba aina ya FIA na ndizi zake zina soko mikoa ya jirani, ukienda maeneo ya izimbya bado kuna ndizi za asili za kutosha sasa hivi kuna hadi mkungu wa elfu moja
Baada ya kutoka Mwanza kujua maisha yake yapoje leo nipo Bukoba.
Kuna watu wanapotosha sehemu za mikoa kuwa zipo hivi.
Kwanza natanguliza shukrani kwa marehemu JPM japo wanasema binadamu hata tufanyiwe nini shukrani ziro.
Marehemu JPM kaweza sana kuboresha miji iliyopo mikoani asilimia kubwa.
Niliyokuta Bukoba
Yale mambo ya migomba yanaelekea kupotea kwenye makazi ya watu.
Barabara za mjini zimeongezeka na zengine kiwango cha lami.
Nilicho kuta msikiti mkubwa ambao mpaka sasa nimewapa big up Bukoba.
Watu wameelimika kujenga kwao sasa
View attachment 1938691
View attachment 1938692
View attachment 1938693
View attachment 1938694
View attachment 1938695
View attachment 1938696
View attachment 1938698
View attachment 1938699
Nilichogundua mkoa wa Kagera uislamu unakuwa kwa kasi sana maana miaka ya nyuma ulikuwa sehemu chache.
nitaendea…
View attachment 1938697
Hakuna jipya hapo hata kule tunakojifunza ustaarabu hayo yapo labda yangetokea kila mara ndo tungeshangaaBukoba: Mwanamke akatwa mguu na hawara yake(picha zinasikitisha)
Wana bodi. Nimesikitishwa na kitendo cha huyu dada muelimishaji rika mkazi wa Izimbya kucharangwa mapanga na kibaya zaidi kukatwa mguu na kuondolewa kabisa na mtu anayedaiwa ni hawala yake wala si mume. Sitaki kusema kinachoendelea kuhusu hii kesi lakini naweka namba ya huyu dada (ILI ASAIDIWE...www.jamiiforums.com
Ni kweli sio nzuri lakini zinahimili mabadiliko ya hali ya hewa, ila Bukoba bado kuna sehemu nyingi zina migomba ya asiliHakuna kitu sipendi kama hizi mbegu mpya za migomba. Roho inauma mno zile ndizi za asili zinapotea
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Siyo bk ty katika suala hilo. Ni kote aisee. Halaf kwa wangoni unaambiwa ndizi mshare tena wa asili mkungu elf 2 tena unabembelezewa. Kiukweli haya ya kisasa hata si matamu.Ni kweli sio nzuri lakini zinahimili mabadiliko ya hali ya hewa, ila Bukoba bado kuna sehemu nyingi zina migomba ya asili
Mbeya, KilimanjaroNitajie mkoa wenye vijiji Bora Kama kagera Tanzania hii...acha kujifariji
We takwimu ziko wap kwamba wahaya wanaongoza kwa uleviUlevi mbona wahaya Dar ndo wanaongoza kwa ulevi.