Hujatembea Tanzania wewe, there's nothing in Bukoba mjini wala vijini. People are proud for nothing, kuishi kijijini kula panzi na ndizi si sifa bali ni jadi.Tatizo mnakuja na mentality ya kukuta bukoba inafanana na Dar wakati ni mji wa kawaida tu unaojitosheleza.
Ila kwa Tanzania hakuna mkoa wenye makazi Bora vijijini Kama kagera
Uchawi na dini ndiyo inaifanya Kigoma kuwa nyuma kimaendeleo. Sehemu yeyote ambayo Uislam umeshamiri sana LAZIMA kunakuwa hakuna maendeleo tu. Angalia Lindi mijini na Tabora kulivyo nyang'anyang'a, watu wamekalia dini tu isiyowasaidia maishani ila kusoma hawataki na ukisoma wanakusomea albadiri uwe kichaa ili ufanane kama watoto wao.Kwa kweli Kigoma papo vizuri sema tu watu ambao hawajawahi kufika wakisikia Kigoma mwisho wa reli wanadhani ni pa hovyo sana kumbe papo poa tu. Miji mingi sasa hvi inakuwa na kubadilika japo kasi ya ukuaji wa miji inatofautiana kutokana na sababu mbalimbali.
Mbona Geita pamechakaa.
Wewe nyumbigwa kuna mkoa wa Songea hapa nchini?Hata mkoa wa Moshi na mkoa wa Songea ni hivyo hivyo
Nitajie mkoa wenye vijiji Bora Kama kagera Tanzania hii...acha kujifarijiHujatembea Tanzania wewe, there's nothing in Bukoba mjini wala vijini. People are proud for nothing, kuishi kijijini kula panzi na ndizi si sifa bali ni jadi.
Sema tutembelee wapi usijekuwa unataka tutembelee Tabora and the likesHujatembea Tanzania wewe, there's nothing in Bukoba mjini wala vijini. People are proud for nothing, kuishi kijijini kula panzi na ndizi si sifa bali ni jadi.
Mkoa wa Kilimanjaro sio Mkoa wa MoshiHata mkoa wa Moshi na mkoa wa Songea ni hivyo hivyo
Ukabila na udini unakuja kwa kasi TZ. Uzi unazungumzia aliyoyaona Bukoba. Lakini unakoishia utafika kwenye dini na ukabila. Watu wameanza kuitana vichaa huku. Mara mikoa flani haiendelei kwa sababu ya dini flani. Huu uzwazwa tusipouacha dah.
Ukimwi je?Kwanza kuendelea kwa vijiji vya Bukoba siyo magufuli watu wamestaarabika kitambo
Zamani kuna Miradi kadhaa kama ya Philipp PARTAGE alisaidia watoto yatima
Rwegalulila alisaidia upatikanaji wa maji vijijini
Elimu walipata Uganda na nje
majumba ya Kifahari yameanza kitambo enzi za BenardMulokozi, Rubandebage, Rweyemamu na Rwegasila!! Ruhangisa na Katunzi bila kusahau akina Rugambwa na Mwombeki hizo ni icon za kimataiFa
Ni mkoa umeshika no 18 ktk utajiri tanzania.Sawa Magu kajitahidi.
Lakini kaubagua huu mkoa kwenye stendi ya mkoa, soko kuu la mji na barabara za mjini zimechakaa Sana.
But kwa upande vijijini huko ndio Kuna mijumba na mahekalu
😄😄😄😄😄😄😄Nenda machame,kibosho,uru,kirua,marangu malizia na rombo.Nitajie mkoa wenye vijiji Bora Kama kagera Tanzania hii...acha kujifariji
Sema tutembelee wapi usijekuwa unataka tutembelee Tabora and the likes
Baada ya kutoka Mwanza kujua maisha yake yapoje leo nipo Bukoba.
Kuna watu wanapotosha sehemu za mikoa kuwa zipo hivi.
Kwanza natanguliza shukrani kwa marehemu JPM japo wanasema binadamu hata tufanyiwe nini shukrani ziro.
Marehemu JPM kaweza sana kuboresha miji iliyopo mikoani asilimia kubwa.
Niliyokuta Bukoba
Yale mambo ya migomba yanaelekea kupotea kwenye makazi ya watu.
Barabara za mjini zimeongezeka na zengine kiwango cha lami.
Nilicho kuta msikiti mkubwa ambao mpaka sasa nimewapa big up Bukoba.
Watu wameelimika kujenga kwao sasa
View attachment 1938691
View attachment 1938692
View attachment 1938693
View attachment 1938694
View attachment 1938695
View attachment 1938696
View attachment 1938698
View attachment 1938699
Nilichogundua mkoa wa Kagera uislamu unakuwa kwa kasi sana maana miaka ya nyuma ulikuwa sehemu chache.
nitaendea…
View attachment 1938697
Baada ya kutoka Mwanza kujua maisha yake yapoje leo nipo Bukoba.
Kuna watu wanapotosha sehemu za mikoa kuwa zipo hivi.
Kwanza natanguliza shukrani kwa marehemu JPM japo wanasema binadamu hata tufanyiwe nini shukrani ziro.
Marehemu JPM kaweza sana kuboresha miji iliyopo mikoani asilimia kubwa.
Niliyokuta Bukoba
Yale mambo ya migomba yanaelekea kupotea kwenye makazi ya watu.
Barabara za mjini zimeongezeka na zengine kiwango cha lami.
Nilicho kuta msikiti mkubwa ambao mpaka sasa nimewapa big up Bukoba.
Watu wameelimika kujenga kwao sasa
View attachment 1938691
View attachment 1938692
View attachment 1938693
View attachment 1938694
View attachment 1938695
View attachment 1938696
View attachment 1938698
View attachment 1938699
Nilichogundua mkoa wa Kagera uislamu unakuwa kwa kasi sana maana miaka ya nyuma ulikuwa sehemu chache.
nitaendea…
View attachment 1938697
RomboNenda machame,kibosho,uru,kirua,marangu malizia na rombo.
Hutaki jinyeeee au jinyonge
Huna jipya.