ITEGAMATWI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 5,362
- 4,125
Habari serious kama hizi haipendezi mziwasilishe kwa episodes. Inatutoa kabisa concentration Aaaagh! Mleta hoja badilika umeboa
Kama alikuwa na mtoto ana miaka 15 tena anaitwa Siyabonga,( neno la kizulu linamaanisha "asante" ) Basi huyo hakwenda sauzi mwaka 2009..Jipange upya.
Sherehe wiki nzima halafu tunalalamika ni kwanini sisi ni masikini.
Hujaeleweka mwandishi.
Huyo Zena alikuwa anaolewa na mjomba wake yule Hamisi? Boikoko na mananda ni nini?
Sawa jamaa hakua panya road,lakini ameuawa kwenye tukio la ujambazi? Aliuawa bahati mbaya au ndo alikua mzee wa kazi? Hebu tuweke sawa.ninachotetea jamaa hakuwah kuwa panya road.
yah jamaa alikua jambaz
Hahaha mrangi kumbe upo Kinondoni.Kinondoni yetu imekekufanyeje!kwani
nitakupa hizo twakwimu soon,ndiyo kazi zangu so consider it doneki ukwel takwimu hizo cna.
yah jamaa alikua jambaz