Buguruni: Sherehe yageuka msiba

Buguruni: Sherehe yageuka msiba

Yaani nimekuja mbio kufungua hii Thread nikafikiri kuna tukio limetokea.

Kumbe ni HADITHI.

Haya Dr. Endelea na sehemu zilizobaki. Ikifika mwisho wa hadithi mimi nitakuja niisome yote.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
ngoja nieleze kwa ufup mana watu washaanza maneno maneno. kiufupi jamaa alienda kwenye tukio la ujambaz supermarket, walikua wa4 wawil wakapigwa risasi na kufa hapohapo, na waliobak wakakimbia. kiufup kule sauz ili utoke lazma ufanye kaz 2, Ujambaz na madawa ya kulevya. otherwise uwe na professional.Kama huna yote hayo kashangae mataa urud. End of story.
 
ngoja nieleze kwa ufup mana watu washaanza maneno maneno. kiufupi jamaa alienda kwenye tukio la ujambaz supermarket, walikua wa4 wawil wakapigwa risasi na kufa hapohapo, na waliobak wakakimbia. kiufup kule sauz ili utoke lazma ufanye kaz 2, Ujambaz na madawa ya kulevya. otherwise uwe na professional.Kama huna yote hayo kashangae mataa urud. End of story.


Na mdogo wangu alitorokaga nyumbani akaenda south,nilikonda kwa mawazo na hadi anarudi sikuamini,South siyo kuzuri hata kidogo,ila ndiyo hivyo tena wabongo wabishi sana.
 
Kiukwel ilipangwa sherehe bab kubwa ifanyike pale mtaani. Sherehe ilipangwa ifanyike wiki nzima kuanzia tar 31 May had tar 7 June. Jumapili paliwekwa ngoma, Jumatatu usiku ikafanyika kitchen party lakini kwa bahati mbaya tulipokea taarifa zilizostua mioyo ya wengi pale tulipoambiwa kaka yao mkubwa anayeitwa Hamis ametutoka duniani.

Alifariki kwa kupigwa risasi akiwa supermarket nchin Afrika Kusini, taarifa ambayo ilizima chereko pale mtaani na kukatisha ratiba ya sherehe iliyosalia ambayo ilitakiwa Jumatano ipigwe baikoko, Alhamis upigwe mnanda, Ijumaa ipigwe taarab live band kutoka kwa mashauzi Classic na Jumamosi wamalizie na rusha roho kisha Jumapili waende ukumbini kwa ajili ya harusi lakini mambo hayakuwa hivyo sherehe yageuka msiba!! unajua chanzo cha marehemu kuuawa?

Ungana nami sehemu ya tatu.

Chanzo: Mimi ni jirani yao.

Aisee,hii post hapo juu yenyewe inaonyesha Buguruni ni sehem ya namna gani na watu wake.
Maana mmewazidi hadi Manzese.
Napenda niikute sherehe kubwa kama hii mfululizo Kinondoni.
 
Kwenye hii sehem ntaeleza maisha ya marehem kwa ufupi.jina kamil la marehem anaitwa Hamis Omary Kumba. ni mtoto wa pili kati ya 8 katika familia ya mzee kumba.Jamaa alikua ni mtu wa miraba minne.alikua jasiri, asiyekubal kushindwa, mtetez wa wanyonge mtaan.mpaka anafariki marehem ameacha mtoto mmoja wa kiume anaeitwa siyabonga mwenye umri wa miaka 15.Baada ya kuona bongo maisha yanampiga chenga, mnamo mwaka 2009 akaamua kufunga safari kwenda kwa mdogo wake sauz(panya road ishaanzishwa?), ambae yupo huko tang mwaka 2001. mdogo kimaisha alikua safi tu. mpaka anafarik alirud nyumban bongo mwaka 2013. sehem ya 4 ntaeleza tukio mpaka anapoteza uhai wake na maisha yake kwa ujumla akiwa sauz. USIKOSE

Kama alikuwa na mtoto ana miaka 15 tena anaitwa Siyabonga,( neno la kizulu linamaanisha "asante" ) Basi huyo hakwenda sauzi mwaka 2009..Jipange upya.
 
Ni sehemu yenye ma.laya ktk kona nyingi za makazi ya watu;sehemu yenye watu wenye lugha chafu,makao makuu ya vibaka, mashoga,mashangingi, na wacheza ngoma za ovyo kila siku.Ni bugurun na kutetea ni ishara ya kukulia maeneo haya.

Kama ni nyoka umegonga kichwani
 
ngoja nieleze kwa ufup mana watu washaanza maneno maneno. kiufupi jamaa alienda kwenye tukio la ujambaz supermarket, walikua wa4 wawil wakapigwa risasi na kufa hapohapo, na waliobak wakakimbia. kiufup kule sauz ili utoke lazma ufanye kaz 2, Ujambaz na madawa ya kulevya. otherwise uwe na professional.Kama huna yote hayo kashangae mataa urud. End of story.

We uko south au buguruni?
 
ngoja nieleze kwa ufup mana watu washaanza maneno maneno. kiufupi jamaa alienda kwenye tukio la ujambaz supermarket, walikua wa4 wawil wakapigwa risasi na kufa hapohapo, na waliobak wakakimbia. kiufup kule sauz ili utoke lazma ufanye kaz 2, Ujambaz na madawa ya kulevya. otherwise uwe na professional.Kama huna yote hayo kashangae mataa urud. End of story.

Hebu fafanuwa hapo, na yeye alikuwa mmoja wa majambazi au?
 
Sasa kumbe unarudi palepale...umelalamika buguruni kumesemwa vibaya..kumbe marehemu kapigwa risasi kutokana na ujambazi.....!!!halafu ni mtoto wa buguruni...yale yale tu.
 
Buguruni oyeeee...buguruni noumaa ukikutana na vijana watano bas watatu kat yao wana ngeu kibao
 
Sherehe wiki nzima halafu tunalalamika ni kwanini sisi ni masikini.
 
Mleta mada kweli ni Dr. Wa buguruni, maana hii hadithi Yake Mara jamaa alikuwa anasubiriwa kufungisha ndoa Mara kauwawa kwenye ujambazi. Sijui lengo ni kumtetea marehemu au kuthibitisha yaliyosemwa na Grader.
 
Last edited by a moderator:
Hujaeleweka mwandishi.

Huyo Zena alikuwa anaolewa na mjomba wake yule Hamisi? Boikoko na mananda ni nini?
 
mkuu ctumii pc au laptop kutype natumia cm.

Na sisi pia tunatumia cmu kusoma sio laptop so kma huezi weka yote kaa kimya tu tuna nyuzi kibao za kufuatilia na sio hzo series zako tena za buguruni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom