mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,161
- 801
pole aluta
ngoja nieleze kwa ufup mana watu washaanza maneno maneno. kiufupi jamaa alienda kwenye tukio la ujambaz supermarket, walikua wa4 wawil wakapigwa risasi na kufa hapohapo, na waliobak wakakimbia. kiufup kule sauz ili utoke lazma ufanye kaz 2, Ujambaz na madawa ya kulevya. otherwise uwe na professional.Kama huna yote hayo kashangae mataa urud. End of story.
Kiukwel ilipangwa sherehe bab kubwa ifanyike pale mtaani. Sherehe ilipangwa ifanyike wiki nzima kuanzia tar 31 May had tar 7 June. Jumapili paliwekwa ngoma, Jumatatu usiku ikafanyika kitchen party lakini kwa bahati mbaya tulipokea taarifa zilizostua mioyo ya wengi pale tulipoambiwa kaka yao mkubwa anayeitwa Hamis ametutoka duniani.
Alifariki kwa kupigwa risasi akiwa supermarket nchin Afrika Kusini, taarifa ambayo ilizima chereko pale mtaani na kukatisha ratiba ya sherehe iliyosalia ambayo ilitakiwa Jumatano ipigwe baikoko, Alhamis upigwe mnanda, Ijumaa ipigwe taarab live band kutoka kwa mashauzi Classic na Jumamosi wamalizie na rusha roho kisha Jumapili waende ukumbini kwa ajili ya harusi lakini mambo hayakuwa hivyo sherehe yageuka msiba!! unajua chanzo cha marehemu kuuawa?
Ungana nami sehemu ya tatu.
Chanzo: Mimi ni jirani yao.
Kwenye hii sehem ntaeleza maisha ya marehem kwa ufupi.jina kamil la marehem anaitwa Hamis Omary Kumba. ni mtoto wa pili kati ya 8 katika familia ya mzee kumba.Jamaa alikua ni mtu wa miraba minne.alikua jasiri, asiyekubal kushindwa, mtetez wa wanyonge mtaan.mpaka anafariki marehem ameacha mtoto mmoja wa kiume anaeitwa siyabonga mwenye umri wa miaka 15.Baada ya kuona bongo maisha yanampiga chenga, mnamo mwaka 2009 akaamua kufunga safari kwenda kwa mdogo wake sauz(panya road ishaanzishwa?), ambae yupo huko tang mwaka 2001. mdogo kimaisha alikua safi tu. mpaka anafarik alirud nyumban bongo mwaka 2013. sehem ya 4 ntaeleza tukio mpaka anapoteza uhai wake na maisha yake kwa ujumla akiwa sauz. USIKOSE
Ni sehemu yenye ma.laya ktk kona nyingi za makazi ya watu;sehemu yenye watu wenye lugha chafu,makao makuu ya vibaka, mashoga,mashangingi, na wacheza ngoma za ovyo kila siku.Ni bugurun na kutetea ni ishara ya kukulia maeneo haya.
Aisee,hii post hapo juu yenyewe inaonyesha Buguruni ni sehem ya namna gani na watu wake.
Maana mmewazidi hadi Manzese.
Napenda niikute sherehe kubwa kama hii mfululizo Kinondoni.
ngoja nieleze kwa ufup mana watu washaanza maneno maneno. kiufupi jamaa alienda kwenye tukio la ujambaz supermarket, walikua wa4 wawil wakapigwa risasi na kufa hapohapo, na waliobak wakakimbia. kiufup kule sauz ili utoke lazma ufanye kaz 2, Ujambaz na madawa ya kulevya. otherwise uwe na professional.Kama huna yote hayo kashangae mataa urud. End of story.
ngoja nieleze kwa ufup mana watu washaanza maneno maneno. kiufupi jamaa alienda kwenye tukio la ujambaz supermarket, walikua wa4 wawil wakapigwa risasi na kufa hapohapo, na waliobak wakakimbia. kiufup kule sauz ili utoke lazma ufanye kaz 2, Ujambaz na madawa ya kulevya. otherwise uwe na professional.Kama huna yote hayo kashangae mataa urud. End of story.
mkuu ctumii pc au laptop kutype natumia cm.