Bugarika, Mwanza: Maji bado changamoto kwa miaka 60 ya CCM madarakani

Big Eagle

JF-Expert Member
May 3, 2020
592
625
Ni kilomita 3 tu kutoka Ziwa Victoria mpaka Bugarika jirani na Bugando Hospital. maji bado ni changamoto kwa miaka 60 ya CCM madarakani poleni kwa ndugu zangu wa Mahina kilomita 7 mnaochota majitiririka kwenye mitaro.

Lengo langu ni kumkumbusha Rais Samia kwamba hata Marais walopita wote walikua na nia ya dhati kuinua uchumi wa Mtanzania kwa nini walisuasua jibu katiba 77 Mhe. Rais tunahitaji Katiba Mpya.
 
Ni kilomita 3 tu kutoka ziwa Victoria mpaka Bugarika jirani na Bugando Hosp. maji bado ni changamoto kwa miaka 60 ya CCM madarakani poleni kwa ndug zangu wa Mahina kilomita 7 mnaochota majitiririka kwenye mitaro.

Lengo langu ni kumkumbusha Rais Samia kwamba hata Marais walopita wote walikua na nia ya dhati kuinua uchumi wa Mtanzania kwa nini walisuasua jibu katiba 77 Mh Rais tunahitaji katiba mpya.
Wewe unakaaa bugarika upande gani? Mbona hapa kwangu bugarika kusini maji tunayooo??
 
Ni kilomita 3 tu kutoka ziwa Victoria mpaka Bugarika jirani na Bugando Hosp. maji bado ni changamoto kwa miaka 60 ya CCM madarakani poleni kwa ndug zangu wa Mahina kilomita 7 mnaochota majitiririka kwenye mitaro.

Lengo langu ni kumkumbusha Rais Samia kwamba hata Marais walopita wote walikua na nia ya dhati kuinua uchumi wa Mtanzania kwa nini walisuasua jibu katiba 77 Mh Rais tunahitaji katiba mpya.
Endeleeni kupiga na kucheza ngoma ya gobogobo kisa jiwe alikuwa raisi
 
Mpuuzi wewe kua uyaone, sukari imepanda kwa wote, vifaa vya ujenzi, mafuta ya kula, petrol n.k
Na dunia inazunguka umli unaenda na kila kitu kitaenda na umli wako,
Ulipo kua mtotobul8nunuliwa sada kwa 200 usitegemee itabaki hapo mpaka uzeeke.
Mimi nieanza kununua petrol kwa 650 kwa lita kwenye ka pikipiki kangu honda 110 knilikonunuabkwenye mnada wa shirika nikiwa mdogo na leo nanunua 2408 kwa lita kwenye ka gari kangu kwa hiyo jitahidi uende na wakati.
 
Na dunia inazunguka umli unaenda na kila kitu kitaenda na umli wako,
Ulipo kua mtotobul8nunuliwa sada kwa 200 usitegemee itabaki hapo mpaka uzeeke.
Mimi nieanza kununua petrol kwa 650 kwa lita kwenye ka pikipiki kangu honda 110 knilikonunuabkwenye mnada wa shirika nikiwa mdogo na leo nanunua 2408 kwa lita kwenye ka gari kangu kwa hiyo jitahidi uende na wakati.
Endelea kuishi kwa shemeji yako mkuu mpaka utakapo kua
 
Back
Top Bottom