Budapest Memorandum: Ulaghai wa kihistoria Warusi waliowafanyia Marekani, Uingereza na Ukraine

Romania na Bulgaria ziko Black Sea na pia ni wanachama wa NATO.
Hawana mpaka direct na Russia. Russia amekuwa ally mkubwa wa Bulgaria na Romani miaka nenda rudi na hawana uhasama wa kihivyo.

Hivyo hao jamaa hawana uhasama na Russia kama allies wengine wa NATO.

Na Russia ana presence kubwa sana black sea hata kwenye territories za hizo nchi. Kiujumla black sea ipo controlled na Russia.
 
Vita nyingi duniani nyuma yake msababishi mkubwa ni US NA NATO.
 
We jamaa acha uongo russia haijawahi kukopeshwa mkopo na marekani eti uchumi wa russia umejengwa na marekani yaani adui yako kabisa umsadie kuimarisha uchumi wake leta chanzo cha hiyo habari inayoonyesha kwamba marekani imetoa dollar million kadhaa kuisaidia russia.

Ki historia Ukraine imebadilisha viongozi wengi kuanzia 1991 tena walikuwa wanabadilisha kwa kupokezana term hii akishika Pro-west term inayokuja inashika Pro-Russia hiyo imeenda hivyo mpka mwaka 2014 sasa unavyosema wakifanya uchaguzi, ndo russia huzivamia huo nao ni uongo.

Uvamizi uliofanywa Georgia ilikuwa ni baada ya kutaka kujiunga na NATO, Kama sikosea ni 2008 rejea NATO summit ya mwaka huo waliotaka kujiunga ilikuwa yeye na Ukraine ila baadhi ya member wa NATO walikataa ikiwemo German na Ufaransa ambao nao waliona wakizikubalia itazua vita ila walichowaahidi ni kwamba kwa baadae inaweza kuwafikiria na mwaka huo huo baada ya hiyo summit ndo georgia ilivamiwa na russia.
 
Iweke hapa hiyo katiba ya Ukraine inayosema Ukraine itajiunga NATO
kumbe hili nalo hujui?
aiseee sasa mnapata wapi nguvu za kujibishana ikiwa hujui kama hili la ukraine kujiunga nato walishaweka kwenye katiba yao?


google basi usome na vingine..... inaonekana mnaandika mada ambazo hamjazielewa vizuri
 
soma hapa
labda utaelewa kwanimi Urusi alivamia 2022,......
Sababu za uvamizi kutoka mdomoni kwa Putin
“Its goal is to protect people who have been subjected to bullying and genocide by the Kyiv regime for eight years. And for this we will strive for the demilitarisation and denazification of Ukraine, as well as bringing to justice those who committed numerous, bloody crimes against civilians, including citizens of the Russian Federation.”
 
Kwa hiyo Ukraine ni mkoa ndani ya Russia.😲😲
 
NATO na marekani siku zote wanataka kuiangusha urusi
 
Anapiga kelele tu huyo!

Muulize kwa nini Rwanda ya Paul Kagame ikifanya makeke yake wao ndiyo wa kwanza humu kupiga kelele kuwa anahatarisha amani ya ukanda wetu? Hali inafika mbali mpaka wengine wanasema Rwanda ni ya kuipiga tu!

Kama wabongo wenyewe kwa Rwanda wanaona hivyo sembuse Russia?! Watulie tu kwa usalama wa nchi yao?

Huyu Kichuguu aache unafiki.
 
Hapo kwenye Bold unatudanganya. Urusi na Warusi siyo kama Wasandawe wa Tanzania hadi waangalie taarifa ya habari ktk TV ya Taifa. Wale watu wapo mbali sana kiuchumi na kimaendeleo.
 
Kama hujui bado omba uelimishwe lakini Aftican resources are being plundered.

Mfano rahisi fuatilia saga ya Ufaransa na makoloni yake west Africa.
 
Umenza vem article yako lakini umeingiza propaganda plae ulipoanza 2008 Putin aligeuka. Je ulifuatilia mahojioni ya Putin na Mwandishi Culson Tucker? Hebu fuatilia. Na putin aikua anasema kama kasema uongo wakanushe.

Lakini pia hukuweka kiini cha mgogoro huu wa sasa. Vita vya wenyewe 2014 to 2022 Urusi ilihusikaje? NATO je? Eu je na hao wote walikua Sehemu ya Budapest Memorandum?
 
acha utoto,

umeomba kujua ikiwa katiba ya ukraine inatambua hilo la wao kujiunga nato, nimekupa!

so far inaonekana uwezo wako wa kuelewa mambo ni mdogo,
 
Kama hujui bado omba uelimishwe lakini Aftican resources are being plundered.

Mfano rahisi fuatilia saga ya Ufaransa na makoloni yake west Africa.
hivi vijamaa havina uelewa wa mambo yanayoendelea hapa tanzania na afrika, alafu vinadhani vinaweza kuelewa yanayoendelea Ulaya na Geopolitics za dunia.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…