BSS mmefeli kwenye kutangaza mshindi

BSS mmefeli kwenye kutangaza mshindi

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,306
Reaction score
5,784
Akili ya kawaida tu,mngetaja mshindi wa tatu halafu wa Kwanza.

Ama mngetaja mshindi wa pili kisha wa kwanza halafu wa tatu anajulikana tu kwa vile wapo watatu stejini.

Yote kwa yote nampongeza sana madame Ritha kwa ubunifu wa BSS.Nashauri asiue brand kwa ushauri wa wanasiasa.
Atarudi nyuma sana.Maana wanasiasa wanaondoka na kukosa mvuto,ila BSS kwa sasa ni Brand Kubwa sana
 
Yule n/Waziri Juliana Shonza Yuko wapi Siku hizi?Enzi za Jiwe alitaka kumharibia huyo mama brand yake.
 
Akili ya kawaida tu,mngetaja mshindi wa tatu halafu wa Kwanza.

Ama mngetaja mshindi wa pili kisha wa kwanza halafu wa tatu anajulikana tu kwa vile wapo watatu stejini.

Yote kwa yote nampongeza sana madame Ritha kwa ubunifu wa BSS.Nashauri asiue brand kwa ushauri wa wanasiasa.
Atarudi nyuma sana.Maana wanasiasa wanaondoka na kukosa mvuto,ila BSS kwa sasa ni Brand Kubwa sana
Kumbe leo kulikuwa na huo UCHAFU !!!![emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Hata nilikuwa sijui inaonesha siku hiz hawaitangazi sana
 
Back
Top Bottom