Akili ya kawaida tu,mngetaja mshindi wa tatu halafu wa Kwanza.
Ama mngetaja mshindi wa pili kisha wa kwanza halafu wa tatu anajulikana tu kwa vile wapo watatu stejini.
Yote kwa yote nampongeza sana madame Ritha kwa ubunifu wa BSS.Nashauri asiue brand kwa ushauri wa wanasiasa.
Atarudi nyuma sana.Maana wanasiasa wanaondoka na kukosa mvuto,ila BSS kwa sasa ni Brand Kubwa sana
Ama mngetaja mshindi wa pili kisha wa kwanza halafu wa tatu anajulikana tu kwa vile wapo watatu stejini.
Yote kwa yote nampongeza sana madame Ritha kwa ubunifu wa BSS.Nashauri asiue brand kwa ushauri wa wanasiasa.
Atarudi nyuma sana.Maana wanasiasa wanaondoka na kukosa mvuto,ila BSS kwa sasa ni Brand Kubwa sana