<br />duhhhh<br />
ukiingia hapo hatoki mtu....
hii gari ukiileta bongo, sehemu ya tuta barabarani ujutia kuwa nalo kwa yatakayotokea.<a href="http://www.stuff.co.nz/life-style/photos/4910739/2011-Shanghai-Auto-Show#" target="_blank"><img src="http://static2.stuff.co.nz/1303261754/752/4910752.jpg" border="0" alt="" /></a><br />
<br />
The Lamborghini Aventador LP700-4 at the Shanghai Auto Show.
Jamani bado mnawaza kuongeza magari? Huu msingamano wa magari dar utakwisha kweli?
Magari yanachangia sana uharibifu wa Ozone Layer, madhara yake ni mabadiliko ya tabia nchi. Nataka nianzishe kampeni ya kuhamasisha usafiri wa baiskeli. Niungeni mkono wana JF.
<br />Mbona sioni mark ll baloon?