mzee ni wapare nimeshangaa sasa nimekuwa mtu mziama now naelewa inakuwaje wanamkandia wifi yao mama yetu wao wamezalishwa home na kutelekezwa mtu ana watoto wanne kila mtoto na baba akeKwa Wanyaki hio ni kawaida mbona😅 wala usishangae! Wakiamua lao kama ukoo ujue mama yako ilikuwa lazma asepe tu! Wasingemuacha salama
wnawake we acha tu