Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,004
- 173,644
Kama babu yao ni kama Jakaya Kikwete kwanini wajukuu wasizaliwe home kwa babu yao? Babu ana mawe ya kutosha kwanini asifurahie uzao wake bwana 😅😅😅Unaweza ukawapenda watoto Sanaa.....kumbe una waharibu....
Wapo wanaume wengine wamezaa mpak watoto watatu na wanaishi nyumbani kwa baba na wake Zao....wanahudumiwa kila kitu na baba zao.....Watoto wa mama "Am going"
Nilicho kuja kuamini kuna watu wameumbwa kusoma watasoma mpk masters ila.....ku transform walicho kusoma ni jambo lingine.....hawana tofauti na Feilures.....
Dunian watu hatufanani..... some other people a so lucky...... kuzidi Lucky yenyewe....