Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,060
- 11,107
Yah!ni kweli namtunza kazeeka,kuna tatizo?unakaa kwa baba nini
Yah!ni kweli namtunza kazeeka,kuna tatizo?unakaa kwa baba nini
Umewaza mbali sana mkuu tena kishujaa!Mmmmh mi najua ni wewe hakuna cha blaza hapa
Mtoto akui kwa mama ,mwache aendelee kukaa hapoMmhhh! Hakuna kanuni ya maisha.anawabana wazazi wake wasijiachie hapo nyumbani,ajiongeze.
Inawezekana ndio maana mtoa mada kakutana na mashambulizi I didn't expect kwa kweliWapo wengi tu siyo kaka yako pekee yake
Aisee, Jf ni mwendo wakuviziana ukijichanganya tu imekula kwako!!Tusilete masiala kwenye hii sledi
Ni mambo mageni kwa nchi yetu kwa mtu kuishi tofauti na tunavyotarajia. Tutazoea taratibu.Kama ameyachagua atakuwa na matatizo makubwa sana.
Unamaanisha atatekeleza aliyojifunza akishakuwa mzee? 🤔Chunguza vema, wasomi wana mambo. Usikute kwenye utafiti wake wa hiyo shahada ya umahiri, moja ya kitu alichojifunza ni hicho--kutokuanza kujitegemea mapema. Hvyo, huenda anatekeleza aliyojifunza kwa vitendo. Safi sana
hapana, nimesema hapo ndipo huenda anatekeleza aliyojifunza. mbona nimeweka wazi tu?Unamaanisha atatekeleza aliyojifunza akishakuwa mzee? 🤔
Unaambiwa bado hana anachofanya yupo tu kungojea ugali wa shikamoo mama.hapana, nimesema hapo ndipo huenda anatekeleza aliyojifunza. mbona nimeweka wazi tu?
Watu walio na ahueni ya maisha wanapenda sana kuwasanifu wale wasio na mishe!Kama umefanikiwa mshukuru Mungu usimcheke maisha ni fumbo kubwa sana, na maisha hamna kuchelewa wallah kuwahi, kuwa tu hai na hauumwi ni zawadi kubwa ya maisha
Hahahahahah ila si anafanya kaziMimi bro wangu ana miaka 50 saiv bado yupo home tuu, anadegree kaichukulia UK.
Kalogwa huyo mpelekeni kwa MwamposaHana mke hana mtoto, miaka ya 2008 alikua nakazi nzuri sana bandarini suddenly akaresign mwenyewe sasa hivi nikula nakulala plus kuangalia TV siku nzima.
We inaonekana ni mtoto wa nje tu! Mama yako aliolewa mke wa pili ama?hapana umefika mbali ni ile buguzi na mama walikuwa hawaelewani na huyo bro alikuwa anashataki kuhusu sijui kunyimwa chakula
mzee wangu usimwambie kitu kuhusu ndugu zake wanajaa hapo home atakuja
Watu wenye roho za kichawi hao wanahisi kufukuza ndio solution! Mi watoto wangu wataishi home mpaka wachoke wao 😅 najua ajira zitakuwa hazipo ila ntajitahidi mie na mama yao tuwarithishe biashara mapema.Kumfukuza mtoto akapange uswahilini kwa wachawi ndio kumfundisha maisha?
Kikubwa watoto wapelekwe shule na kumfundisha Plan B kama kilimo na biashara. Siku yupo vizuri atahama. Ila kumfukuza nyumbani kijana wangu ambaye katoka chuo na hana ajira hilo hapana. Akipata ajira ataondoka ila sio kumfukuza kama mbwa mtoto wangu wa kumzaa eti ndio kumkomaza.
Mzee kigogo aliamua kutumia mamlaka yake kukutimua kijanja😅Kwa watoto kutoka familia Bora hiyo inawezekana ila kwa sisi watoto wa maskin n balaa hutoboi nakumbuka nlipofikisha miaka 19 tu pale home pakawa hapakaliki likaibuka bifu kubwa mm na faza yan akinikuta nimelala hadi saa mbili yanaanza maneno , akikuta naangalia Tv utaskia unaangalia tu hujui umeme unalipiwa vp, akikuta nmetangulia kula kabla ya wote utaskia unapenda kula tu ila hujui hata bei ya mchele.
Nikaanza kutafuta mishe mtaani nkichelewa kurud nakuta nmefungiwa geti na maelekezo yametolewa nisifunguliwe nilale hukohuko nlipoenda, wadogo zangu ndo wakawa wananifungulia kwa kuibaiba naingia kulala huku nanyata na asubuhi nasepa kabla yake, kwa dizain ile nisingetoboa hata 23 nkiwa home
Aliyemleta duniani ndo anapaswa kumpa ajira ili ajotegemee, maisha ni kupanga na kuchaguaWaliomvumilia ndiyo wa kulaumiwa. Kwanini wasimpige chini? Ataoa lini au anangoja kuolewa? Je anaishi Kinondoni, Mombaza au Zenj?
Hahahahahah hakuna mama anayetaka mwanae ateseke ndio maana wale strong women hupambana ampenyeze mwanae kitengo mapema tu ili aishi vizuri hakuna raha kama mzazi kuona mtoto anafanikiwa kuwa na maisha yake mazuri tu, its a success story to them.Wamama wa kiafrika hawa afu ukisepa ukajitafutie anapga smu mwanangu unahangaika s bora urudi nyumban, m ndo nlishaktaa kulelewa nishakua nipambane
Huyo mama lazma ni wa kambo tu! Mke halisi mwenye mji hawezi fukuzwa kizembeKama dingi amemfukuza mama kwaajili ya huyo jamaa basi kuna tatizo hapo