TANZIA Brother Peter Lyimo, aliyekuwa Mkuu wa Shule ya Sekondari Majengo-Moshi amefariki Dunia

Ila naskia alikuwa Malaya Sana anatembea na vident ndo Mana akatolew pale na nafasi yake kuchukuliwa na kale keusi kafupi
Rejea kamusi yako.
Malaya Ni mtu anayelipwa ujira kwa kutoa huduma ya tendo la ndoa.
Brathee hakua analipwa. Hata hivyo angekua anachukua videnti angeshashtakiwa Kama yule padri wa juzi aliyempa mimba mwanafunzi.
 
Rejea kamusi yako.
Malaya Ni mtu anayelipwa ujira kwa kutoa huduma ya tendo la ndoa.
Brathee hakua analipwa. Hata hivyo angekua anachukua videnti angeshashtakiwa Kama yule padri wa juzi aliyempa mimba mwanafunzi.
Unajustify umalaya kweli! Aise we ni noma
 
Ila naskia alikuwa Malaya Sana anatembea na vident ndo Mana akatolew pale na nafasi yake kuchukuliwa na kale keusi kafupi
Rejea kamusi yako.
Malaya Ni mtu anayelipwa ujira kwa kutoa huduma ya tendo la ndoa.
Brathee hakua analipwa. Hata hivyo angekua anachukua videnti angeshashtakiwa Kama yule padri wa juzi aliyempa mimba mwanafunzi.
Unajustify umalaya kweli! Aise we ni noma

Kwani wewe Ikitotanzila ni kati ya hivyo videnti alivyotembea navyo au ni kati ya vile videnti vilivyokua vinatamani kutembea nae?

Nimewaza tuu
 
Inasikitisha na kuhuzunisha sana kwa kifo chake. Ametutoka mapema leo 07/12/2020 katika hospitali ya Mount Meru Arusha. Taarifa zaidi kuhusu chanzo cha kifo chake zitakujia hivi karibuni.

Nafahamu kuna wana MJSS wengi sana hapa Jukwaani walio ndani na nje ya nchi. Karibuni tumuenzi mkuu wetu mpendwa kwa maneno ya faraja.

MAY HIS SOUL REST IN ETERNAL LIFE.
sijui yule mlinzi mapua bado yupo ?? maana ulikuwa ukimpa Fegi tu anakufungulia geti
 
Yes mabrother ni watawa wasiooa
Ikitokea moyo wako unakusukuma kuoa hata kama ni brother unafuata taratibu na unaruhusiwa kutoka kwenye utawa na kuubebaba wito wa ndoa
Sawa, hii ni sadaka hasa, Maana kila siku asubuhi itakuwa ni maumivu makali sana ndani ya boksa zao, mishioa inaweza hata kupasuka, labda kama wanatumia dawa za kuua nguvu 🤷🏽
 
Acha kujifariji uongo na nyie ndio mnasababisha watu flani wanaua wenzao wakijua wakifa wataombewa, hiyo haipo, bada ya kifo ni hukumu yako kwa uliyotenda hata dunia nzima ikuombee hamna kitu.
tuache unafki!
asante kwa kunijuza,kama utojali nisaidie na mistari kutoka vitabu vya Mungu ili nijifunze zaidi
 
Kwenye uongozi wake wafanyakazi wake ni kati ya waalimu wa kwanza kuwa na Maendeleo nyumba magari alikuwa anawawezesha mikopo isiyi kuwa na riba,
Pia ni mmiliki mwenza wa Mabasi ya Ibra Line na Shule ya Kibo
 
Dah brother lymo pumzika kwa aman namkumbuka sana nimesoma o level majengo, namkumbuka alivyosimamia wanafunzi kusoma mpaka majengo ikapanda chati, nakumbuka alimtoa baru ofisini mwl wa kiswahili hakuingia kwenye kipindi
R.I.P bro.Lymo
 
Majengo secondary School taasisi ambayo watumishi wake hawakuwahi kuwa na wazo la kuacha kazi wala kutafuta kazi sehemu nyingine.
Management iliyowajali sana watumishi na watumishi wakawajali sana wateja wao wanafunzi

Mungu awapumzishe kwa amani, Tutawakumbuka daima
Brother Peter Lyimo RIP
Brother Pius Kihuru RIP
Mr Mgimwa RIP
Mr Nyindo RIP
Mr Sendoro RIP
Mr Almas RIP
Mr Mkumbwa RIP
Chef mkuu Mr James RIP
So sad brother Pius, mr almas, mr mkumbwa Mungu awapumzishe kwa amani, namkumbuka mr.almas na mkewe dah dunia inamaumivu makali sana
 
Back
Top Bottom