Inferiority Spiritkuna Picha imesambaa mitandaoni ikimuonyesha MO akisherekea birthday yake na top executives wake ofisini kwa kukata keki.
Ofcourse, KUKATA keki si habari, ila cha kushangaza ni kwamba katika hao TOP EXECS wote ni wenye asili ya ASIA, hakuna mtanzania mwenye asili ya hapa TANGANYIKA hata mmoja.
Mo seriously?? huna top execs watanganyika asilia?? au hakuna wanao qualify kuwa katika team yako ya juu?? au hukuwaalika kukata keki hata mmoja( i doubt this)
This can not be muted, i thought you where a good man of diversity .......SERIOUSLY
Kumbe jamaa ni shia, ndo maana wasunni hawampendi
mkuu tapeli ni wewe pekeyako, sisi watanzania ni wachapa kazi hodari sanaAchia ubaguzi. Mo anajua watanzania golo ni matapeli na wezi hivyo hata ningekua mimi nisingeajiri. Mbona hamuulizi Anthony Diallo aliyewajaza wazungu Sahara???? Hakuna mtanzania ambaye ni kamili ataajili watanzania kushika nafasi za juu ukiona hivyo ujue na yeye ni longo longo.
Mimi ni mchagga, marafiki zangu wote kimaslahi ni wachaggaMimi mweusi sina rafiki muhindi hata mmoja.
Juzi tu hapa tulikuwa tunamtetea TAPELI Yusufu Manji mpaka povu linatutoka, tena yeye Kaimport kabisa ma EXECUTIVES toka INDIA ambao hawana hata WORKING PERMITS lakini tumemporomoshea MATUSI Mazito AFISA UHAMIAJI Kwa kuwakamata leo mnakomaa na Mo. Mibongo/Mijitu myeusi haijielewi na hata watu weupe wote wanalijua hilo maana hayajui hata yanataka nini !Hao ni wabaguzi sana, jiulize tu tunaishi nao na wanajiita watanzania lakini hawaoani na sisi, hawaishi maeneo yetu wanajitenga kabisa mie kwenye hili la wahindi huwa namuunga mkono marehem Mtikila
Tatizo la wabongo wanachojua ni miporojo, kuporomosha matusi mitandaoni, kuzusha tu, kujifanya wanajua kila kitu, kutukana kila mtu mpaka rais. Juzi tu baada ya kusubiria ajira kwa muda mrefu niliamua kwenda kutafuta kazi kwenye kampuni ya ulinzi cha kushangaza nilikuta vyeo vyote pale vizuri vya ofisini wameajiriwa WAHINDI na WAKENYA, Wabongo kazi zao ni magetini tena kwa masimango matupu. Lakini mambo kama hayo hauwezi kuona yanajadiliwa tena ukiwagusa UTATUKANWA BALAA na BAVICHASisi Wizi ndo tabia yetu ndiyo maana Rais anakomaa kusafisha.
Wao wanataka BUNGENI, MASHIRIKA YA UMMA, MALECTURER VYUONI na MAHOSPITALI MAKUBWA huko ndio wanajiita RAIA ukitaka huko kwingine sijui NURSE, MWALIMU SHULE YA KATA, POLISI, TRAFFIC Wanakuambia wao sio raia....Kweli hakuna mtanzania mwenye vigezo?
Inawezekana kweli Wahindi wanajibagua sana, tukiacha wale wahindi wa Zamani wazalendo waliokuwa Polisi, jeshini nk. Hibi kweli kwa miaka hii umeshawahi kumuona Muhindi Mwanajeshi, Police, uhamiaji, Fire, Magereza nk. Au kwenye ofisi yoyote ya Seriakli au Wizara yoyote?
Kama kuna Mzungu anazo sifa na anataka kuwa mbunge Tanzania labda mwenyewe asitake tu, mbona wabunge WAHINDI wengi sana na tena huko ndo wanakokutakaMtu mweusi ni kama cobra,si wa kufanya naye mazoea maana ndiye kiumbe anayeongoza kwa ubaguzi duniani!Leo hii si ajabu kuona mbunge mweusi Sweden lakini kuona mbunge mzungu hapa kwetu ni vigumu sana.Maneno atakayokutana nayo ya ubaguzi ni mazito mno!Kwenye BSS tu mlimnyima ubingwa mzungu kichaa japo watu walimpigia kura,halafu wewe unasema nini?
Fanya kaz ,tumia akil,acha lawama,.kutapeli nayo ni akili,boya hawez na hana guts.MO anajiona mighty, but he shall fall too! Mama Tanzania amewachoka matapeli kama hawa!
Mo mwenyewe ni Mtanzania. Kama ni rangi yapo makampuni na mashirika mengi yenye wafanyakazi weusi tu bila kuwapo mwenye mhindi,mwarabu wenye asili ya Tanzania. Iweje kwenye kampuni binafsi tena ukute ni ya ukoo. Pengine nafasi hizo hazina mshahara.kuna Picha imesambaa mitandaoni ikimuonyesha MO akisherekea birthday yake na top executives wake ofisini kwa kukata keki.
Ofcourse, KUKATA keki si habari, ila cha kushangaza ni kwamba katika hao TOP EXECS wote ni wenye asili ya ASIA, hakuna mtanzania mwenye asili ya hapa TANGANYIKA hata mmoja.
Mo seriously?? huna top execs watanganyika asilia?? au hakuna wanao qualify kuwa katika team yako ya juu?? au hukuwaalika kukata keki hata mmoja( i doubt this)
This can not be muted, i thought you where a good man of diversity .......SERIOUSLY
Ni kweli hapa IPP ya Mengi bila kuwa mchagga hupati cheo cha maana wala maslahi mazuriAchia ubaguzi. Mo anajua watanzania golo ni matapeli na wezi hivyo hata ningekua mimi nisingeajiri. Mbona hamuulizi Anthony Diallo aliyewajaza wazungu Sahara???? Hakuna mtanzania ambaye ni kamili ataajili watanzania kushika nafasi za juu ukiona hivyo ujue na yeye ni longo longo.
Utakuwa mwarabu koko weweYeyote aweza kuwa mbaguzi ama wa kabila au wa rangi na hata elimu na mali. Kuna ubaguzi wa taifa na maeneo pia . Ila kijumla mara nyingi weupe huwabaguwa weusi kwa kudhani tu labda weupe una ubora dhidi ya weusi. Kwa makabila wabaguzi namba moja duniani ni wayahudi, pili wahindi, tatu wazungu (kwa baadhi ya mataifa) na mwisho ni waarabu. Waarabu wamekuwa nafuu kidogo kwa sababu ya evolution kwamba yasadikiwa asili zao za kale zilitokea Afrika, lakini pia kwenye dini ya kiislam ambayo waarabu wengi huifuata ni Haramu kufanya hata ishara ya ubaguzi na dhambi iliyo kubwa sana.