Broken hearted



Pole sana

Yaani Moyo umepasuka kama huyu!!!



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
pole dear...
mwache apite kuleee maisha yanaendelea i believe u have a life of your own apart from ile mlokua mnashare ko jenga maisha yako kadadaa.
 
jikaze ndugu...everything happens for a reason!!
 
Pole sanaWakati mwingine ni vema kujiwekea muda Fulani endapo utapita basi songa mbele maana kwa mwanamke kupoteza miaka yote hiyo ndio maana unawaza kama utapendatena au kumsamehe. Amini nakuambia utapata mwingine na kumsahau huyo alykutena.
 
Utapenda tu,
 
Pole sana, endelea na maisha yako tu. Bahati nzuri Mungu aliumba sahau hivyo nawe utaweza kumsahau huyu na kukuta na mwingine ambaye labda anaweza kukuletea furaha tena katika maisha yako.

 
Nikupe pole tu mkuu,maana maumivu ya hii sector hayavumiliki hata ungekuwa unabeba vyuma 100Kg.Kuna kipindi nilishawahi kuwa kama zoba yan,hata likitajwa jina lake moyo unastuka.Furaha yangu huwa naipata sana kwenye mpira ila kwa bahati mbaya na huko kocha wa timu yangu ndio alikuwa David Moyes basi dah.Namuombaga Mungu tu ile hali isijurudie maana nlikuwa nahisi kabisa kuwa moyo ulikuwa unaelekea kusimama.

Any way pole once again mkuu
 
[h=1]How To Let Go Of The Past & Heal A Broken Heart[/h]
In Estern society, where productivity and getting s**t done reigns supreme, there's often the mantra that we just need to “get over” stuff. When we are growing, looking back on the past can be more disturbing and produces additional opportunities to let go some more. It can be frustrating (I thought I was over this!) but look at it as a way to take out your emotional trash and travel towards that next relationship sans extra baggage.
 

Yakabili maumivu yako, hurt till you can't hurt anymore, then live to tell it.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…