Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 11,542
- 12,404
Sasa unataka ajaze majumba pasipo wapangaji? nini maana ya kufanya hiyo Investment? unataka awapangishie popo ndo ufurahi?Wabongo ni noma! Sasa wewe ulitaka afanye vipi? Ukifanya vizuri shida ukifanya vibaya matusi. Inaonyesha hata shukrani hamna . Jaribu kupongeza mahali panapostahili kutoa pongezi , usibakie kila cku kulalama tu.