British medical journal wameandika hivi

Aliyekuwa nje ya field ya Udaktari itakuwa ni ngumu kuelewa maana ya haya yafuatayo unless ana akili timamu;
1)Kupata MD degree ni 5-6 years of hard and difficulty constant classes from 9:00-15:00hrs monday to saturday.
2)One year of Internship just to eran your registration even after graduating and passing for your final exams.
3)Risk of being exposed to many infectious and non-infectious diseases during physical contact with patients when taking case histories(..only because there are no gloves or nasal masks...)...
Well said mkuu..kuna watu wamekalia ushabiki na wanafurahia kuendelea kuishi maisha ya chee yasiyolingana na qualifications, skills na talents zao just because our system is corrupt na kuna loopholes nyingi sana za ulaji na kuiba.

Madaktari wanachodai ni haki kabisa. Huko mawizarani na sehemu nyingine serikalini watumishi wengi hawaishi kwa mshahara..badala yake ni vikao vya posho, semina na safari za nje na ndani ya nchi ambazo hazina tija. Hivi per diem ya mtumishi wa serikali akisafiri nje ya nchi ni sh ngapi?

Tukumbuke kuwa hawa madaktari wengi hawana hivi vikao vya posho vya kisanii wala safari za kutunga. Muda wao mwingi wanakuwa kwenye vituo vyao vya kazi kutibu nyie wadanganyika.

Naomba na huko mawizarani, government agencies, etc..tufute vikao vya kujilipa posho ambavyo ni sehemu ya majukumu na kazi zetu pamoja na safari zote za ndani na nje zilipiwe kila kitu (mtu asipewe pesa mkononi). Halafu ndio turudi hapa tuwahukumu madaktari kwamba hawana uzalendo.
 
Omujubi, suala hapa ni maslahi duni kwa watumishi wa serikali kwa ujumla. Tafsiri ya sasa ni kuwa Drs wanalipwa chini ukilinganisha na wengine. Upandaji wa maisha ni kwa watu wote, si Drs tu. Serikali tatizo haitaki kukubali hili na kubadilisha mishahara ya kada zote kwa sababu ya matumizi makubwa ya kipuuzi, kama haya ya Tume ya Katiba! Shame!
Nakubaliana na ww kwa kiasi fulani..lakini bado kuna watumishi wachache wa serikali hii hii wanaishi peponi, kila siku wako ulaya, Marekani, Australia, na Asia. Wakiwepo TZ maofisini kwao kuwakuta kama kakakuona, utaambiwa yupo kwenye kikao, ameenda semina bwagamoyo, kibaha, giraffe hotel au yoko Arusha kikazi. Check another post of mine no.41.
 
Aliyekuwa nje ya field ya Udaktari itakuwa ni ngumu kuelewa maana ya haya yafuatayo unless ana akili timamu;
1)Kupata MD degree ni 5-6 years of hard and difficulty constant classes from 9:00-15:00hrs monday to saturday.
2)One year of Internship just to eran your registration even after graduating and passing for your final exams.
3)Risk of being exposed to many infectious and non-infectious diseases during physical contact with patients when taking case histories(..only because there are no gloves or nasal masks...).
4)Many stressful working hours everyday while You have no confidence even to assure your patients that things gona be alright because there are no drugs which were supposed to be there for them!!!
5)Kodi kubwa inayokatwa kwenye mshahara per month.
6)HAKUNA DAKTARI ANAYESOMESHWA BURE NA SERIKALI TANZANIA,SABU WOTE TUNARUDISHA MIKOPO BODI KAMA WAKOPESHWAJI WENGINE.
7)HAKUNA DAKTARI AMBAYE ''ALIDONDOKA'' TOKA ANGANI,i.WOTE NI WAZAWA WA TANZANIA KWA WAZAZI/WALEZI AMBAO NI WALIPA KODI KAMA WENGINE!!
Mimi naamini kila sehemu katika dunia yetu mishahara kwa wafanyakazi hailingani na haitakuja kuwa sawa kamwe,watu wataendelea kulipwa kulingana na ''SPECIALITY/EDUCATION LEVEL/QUALITY/NEED/DEMAND,etc'',na moja ya speciality zinazodisev kulipwa fedha za kutosha kutokana na kazi zao zilivo za MUHIMU na pia HATARI ni MADAKTARI,hata ukibisha wee bisha ila ukweli unaujua moyoni,kwakuwa hutaki kuona DAKTARI yuko juu yako kimaisha(..ili uendeleze usemi wa ''WAMESOMA SANA ILA MAWE HAWANA''..) najua utaendelea kulaani na kusema sisi si wazalendo!!

Big LIKE
 
Aliyekuwa nje ya field ya Udaktari itakuwa ni ngumu kuelewa maana ya haya yafuatayo unless ana akili timamu;
1)Kupata MD degree ni 5-6 years of hard and difficulty constant classes from 9:00-15:00hrs monday to saturday.
2)One year of Internship just to eran your registration even after graduating and passing for your final exams....

Tatizo mkuu wanobisha wote apgar score zao <7 na shule uliwakimbiza na uwezo wao mdogo sasa still wanataka tulingane hapa issue ndogo tu, tuhama nchi waendelee kufa. Wote na rais wao wazembe.
 
Tatizo mkuu wanobisha wote apgar score zao <7 na shule uliwakimbiza na uwezo wao mdogo sasa still wanataka tulingane hapa issue ndogo tu, tuhama nchi waendelee kufa. Wote na rais wao wazembe.

...Yaani Mkuu hapo ndo umemalizia na kuua kabisa,kabla nlitaka niwatahi ila ukweli ndo umeumalizia,sabu kwa system yetu ya elimu,tunajua kabisa zaidi ya 90% ya waliopiga sayansi walikuwa na uwezo wa kusoma chochote,''SASA HIZI SMALL BRAINS ZA KWENYE SIASA'' zinakumbuka embarassment sabu nyingi yazo zilikimbilia kule kwa kushindwa ''MISULI'',now wanaamua kukomoa sabu ya ''CORAPTED GOVERNMENT'' tuliyonayo,tatizo linaanzia mbali,ni tangu O-LEVEL up to UNIVERSITY,hawa jamaa ni jilasi2zimewajaa,ila naamini KITAELEWKA NA KAMA GEPU LA MAISHA WATAPIGWA TUU WATAKE WASITAKE!!!
Reformer,Sosoliso@Mupirocin tuko pamoja wakuu,ni wakati ''BIG BRAINS KUSHIKA HATAMU''...

 
Mkuu nenda JF chit chat! No offence! ...we discuss issues here, this is not a polling station for doctor supporters and those who dont!
You were not asked to support them or not!

If everyone would just comment out of emotions we'd loose the meaning of Great thinkers... my take to you is that take a step back, get to know doctors' claims, what has been done so far, then contribute.

Kaka mie kizungu sikijui kama wewe, lakini najua madai ya madaktari, wao wanataka nyongeza kubwa sana ya mshahara, marupurupu kila kona na ukijumlisha yote ina maana kila daktari alipwe shs 10,000,000 kwa mwezi. hii ni upuuzi kwa sababu serikali yenyewe haina hela unategemea watatoa wapi, wewe kuwa daktari usijione kuwa ni bora kuliko binadamu wengine, kumbuka kuna wanajeshi, walimu waliokufundisha wewe, maaskari wanaokulinda usintolewe kucha, madereva, watumishi mbali mbali wa serikali, faya, wajenzi, na wengine wengi tu hao pia nao wanataka maisha bora, msitumie elimu yenu kunyanyasa wengine, huu ni upumbavu na ndio maana siowafagilii, mnatumia visingizio kuboresha huduma za afya huku madai yenu makubwa ni mishahara, msitufanye mafara nyie madokta. kama mnataka kulipwa mihela mingi si muende huko wanakotoa hizo hela!!!!!! nani kawazuia kwenda huko, mbona wenzenu wako botswana, zimbabwe, south afrika nk... mnangangania nini nchio isiyowalipa.
Mie siwafagilii hata kidogo.
KUNITIBU NI KAZI YENU
USIPONITIBU NAKUSHITAKI UTAFUNGWA NA KIBALI CHAKO CHA UDAKTARI UTANYANGANYWA
UKINIPIGA SINDANO YA SUMU NDUGU ZANGU WATA KU ULIMBOKA
UDAKTARI NI KAZI KAMA UALIMU AU POLISI
VITA IKITOKEA WANAJESHI WANAKUFA KWA AJILI YETU LAKINI HAWAPIGI KELELE KAMA NYIE
MAJAMBAZI YAKITOKEA POLISI WANAPAMBANA NAYO KWA MOYO
WANAFUNZI WAKIFIKA SHULE WALIMU WANAWAFUNDISHA KWA MOYO
CHOO CHAKO KIKIJAA WANYONYA MAVI WANAKUJA KUNYONYA UCHAFU WAKO BILA KINYONGO
DEREVA WA BASI ANAENMDESHA ROHO ZA WATU BILA KINYONGO
Sasa kwa nini nyie mjione bora kuliko binadamu wengine.
Hebu rudini kazini mfanye kazi.
Mlikutana na waziri mkuu mkamdharau kwa sababu mmesoma kuliko yeye mpaka mzee wa watu akasema liwalo na liwe. mnaona sifa watu wanapokufa kwa sababu ya migomo yenu????
Ikitokea nikapoteza ndugu kwa sababu ya migomo yenu basi na mimi itabidi nilipize kisasi.
hebu fikiria watu wangapi watawachukia
msipende kutumia madai ya huduma bora ili wananchi wawaonee huruma kumbe mnataka mishahara sisyolipika
 
Kaka mie kizungu sikijui kama wewe, lakini najua madai ya madaktari, wao wanataka nyongeza kubwa sana ya mshahara, marupurupu kila kona na ukijumlisha yote ina maana kila daktari alipwe shs 10,000,000 kwa mwezi. hii ni upuuzi kwa sababu serikali yenyewe haina hela unategemea watatoa wapi, wewe kuwa daktari usijione kuwa ni bora kuliko binadamu wengine, kumbuka kuna wanajeshi, walimu waliokufundisha wewe, maaskari wanaokulinda usintolewe kucha, madereva, watumishi mbali mbali wa serikali, faya, wajenzi, na wengine wengi tu hao pia nao wanataka maisha bora, msitumie elimu yenu kunyanyasa wengine, huu ni upumbavu na ndio maana siowafagilii, mnatumia visingizio kuboresha huduma za afya huku madai yenu makubwa ni mishahara, msitufanye mafara nyie madokta. kama mnataka kulipwa mihela mingi si muende huko wanakotoa hizo hela!!!!!! nani kawazuia kwenda huko, mbona wenzenu wako botswana, zimbabwe, south afrika nk... mnangangania nini nchio isiyowalipa.
Mie siwafagilii hata kidogo.
KUNITIBU NI KAZI YENU
USIPONITIBU NAKUSHITAKI UTAFUNGWA NA KIBALI CHAKO CHA UDAKTARI UTANYANGANYWA
UKINIPIGA SINDANO YA SUMU NDUGU ZANGU WATA KU ULIMBOKA
UDAKTARI NI KAZI KAMA UALIMU AU POLISI
VITA IKITOKEA WANAJESHI WANAKUFA KWA AJILI YETU LAKINI HAWAPIGI KELELE KAMA NYIE
MAJAMBAZI YAKITOKEA POLISI WANAPAMBANA NAYO KWA MOYO
WANAFUNZI WAKIFIKA SHULE WALIMU WANAWAFUNDISHA KWA MOYO
CHOO CHAKO KIKIJAA WANYONYA MAVI WANAKUJA KUNYONYA UCHAFU WAKO BILA KINYONGO
DEREVA WA BASI ANAENMDESHA ROHO ZA WATU BILA KINYONGO
Sasa kwa nini nyie mjione bora kuliko binadamu wengine.
Hebu rudini kazini mfanye kazi.
Mlikutana na waziri mkuu mkamdharau kwa sababu mmesoma kuliko yeye mpaka mzee wa watu akasema liwalo na liwe. mnaona sifa watu wanapokufa kwa sababu ya migomo yenu????
Ikitokea nikapoteza ndugu kwa sababu ya migomo yenu basi na mimi itabidi nilipize kisasi.
hebu fikiria watu wangapi watawachukia
msipende kutumia madai ya huduma bora ili wananchi wawaonee huruma kumbe mnataka mishahara sisyolipika
pole sana ndugu yangu.ila ungejua serikali unayoitetea,maisha yao yakoje,wanalipana vipi,wanatupora vipi wananchi,tamaa yao ya 10% na ufisadi kwenye mikataba('wawekezaji' wanavyojichotea raslimali zetu),nk nk nk u cud not dare write what u'v written!!Na jambo jingine unalotakiwa kujua ni kwamba hizo ulizotaja haziwezi kufanana popote pale duniani,daktari anatakiwa apate his/her due pay or its equivalent;likewise mwl,polisi,mwanajeshi,mfagiaji,dereva nk.Uwezo wa kuwalipa madr vizuri(na hata wafanyakazi wengine) upo shida ni watu tulionao katika serikali-uwazo wao ni mdogo..hawawezi kufikiri zaidi ya urefu wa pua zao.wakisha'shiba' wao ndugu zao na maswaiba wao basi they sit back na kuchapa usingizi.mipango yao ni jinsi ya kuiba tu basi!!
 
Back
Top Bottom