Wiston Mogha
Senior Member
- Feb 13, 2014
- 168
- 141
BRING BACK OUR MONEY CAMPAIGN YATINGA MWANZA KESHO
DAVID KAFULILA kesho kuzungumza na wanazuoni vyuo vikuu vya jiji la mwanza kuanzia saa nne mpaka saba mchana ukumbi wa goldcrest hotel kuhusu ufisadi wa 400bn ndani ya escrow akaunt bank kuu, ufisadi uliopelekea nchi wahisani kusitisha mikopo na misaada ya kibajeti 2014/15 kushinikiza report za uchunguzi za pccb na cag zitoke huku kukiwa na kigugumizi kwa serikali kuruhusu report hizo kutoka kwa hofu ya mtandao wa wahusika katika ufisadi huo unaoweza kupelekea serikali kuanguka kama Rais atakuwa na ujasiri wa kuchukua hatua. Wanavyuo na wadau wote wa maendeleo mnakaribishwa kujua namna singasinga alivotumia Tsh 6m kukwapua 400bn za umma ndani ya escrow akaunt bank kuu. Kafulila atamwaga ushahidi wote. Tusiwachie wazungu kupigana na mafisadi bila kuonesha hasira zetu dhidi ya wahujumu uchumi hawa....
WOTE MNAKARIBISHWA!
DAVID KAFULILA kesho kuzungumza na wanazuoni vyuo vikuu vya jiji la mwanza kuanzia saa nne mpaka saba mchana ukumbi wa goldcrest hotel kuhusu ufisadi wa 400bn ndani ya escrow akaunt bank kuu, ufisadi uliopelekea nchi wahisani kusitisha mikopo na misaada ya kibajeti 2014/15 kushinikiza report za uchunguzi za pccb na cag zitoke huku kukiwa na kigugumizi kwa serikali kuruhusu report hizo kutoka kwa hofu ya mtandao wa wahusika katika ufisadi huo unaoweza kupelekea serikali kuanguka kama Rais atakuwa na ujasiri wa kuchukua hatua. Wanavyuo na wadau wote wa maendeleo mnakaribishwa kujua namna singasinga alivotumia Tsh 6m kukwapua 400bn za umma ndani ya escrow akaunt bank kuu. Kafulila atamwaga ushahidi wote. Tusiwachie wazungu kupigana na mafisadi bila kuonesha hasira zetu dhidi ya wahujumu uchumi hawa....
WOTE MNAKARIBISHWA!