Bring back our money Campaign yatinga Mwanza kesho

Bring back our money Campaign yatinga Mwanza kesho

Hawa watu wa kigoma siwaamini hata kidogo, Zitto alianza hivi hivi zile za uswiss alivyovutiwa mkwanja tu kimyaaa....
_harakati za huyu dogo sishabikii hata kidogo maana najua hafiki mbali

Tunaanda mpango mkakati; tutampoza kwa kitu kidogo tu! Ngoja tuwasiliane na BOT tujue zlbak ngap! Akikataa kucha na meno halali yet!
 
Last edited by a moderator:
Hawa watu wa kigoma siwaamini hata kidogo, @zito alianza hivi hivi zile za uswiss alivyovutiwa mkwanja tu kimyaaa
Jamani kweli chuki inapofua hoja ya Pesa za uswizi si ya zitto tena ni ya binge zima lilipitisha na mkutano ujao wabunge wanasubiri majibu ya utekelezaji wa azimio la bunge jamani acheni chuki binafsi mnatuchosha kufafanua the obvious
 
Lakini huyu Wistonmogha si ni wa ACT huyu au naota. Japo huo uACT si hoja, lakin kajichomekaje ktk hili? Nani yupo nyuma yake? Kwann yeye anaonekana ndo mratibu wa hii kitu maana ratiba yote anaijua mpaka maudhui? Msaada kwenye tuta
 
Last edited by a moderator:
Lakini huyu Wistonmogha si ni wa ACT huyu au naota. Japo huo uACT si hoja, lakin kajichomekaje ktk hili? Nani yupo nyuma yake? Kwann yeye anaonekana ndo mratibu wa hii kitu maana ratiba yote anaijua mpaka maudhui? Msaada kwenye tuta

Hili ni jambo kubwa kwa maslahi ya Taifa,nitakushangaa sana kuona eti unajitenga na jambo kubwa kama hili……hapa hakuna uvyama ila Taifa kwanza
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom