Majestic wolf
JF-Expert Member
- Feb 10, 2015
- 1,248
- 1,853
Kila nikiona nyuzi yako MTEMI MKUU napata faraja kuwa Mimi nna afadhali.....kumbe kuna watu afadhali yangu
Duuukichwa chake hakipo sawa kesho hakawii kuanzisha thread mshana jr ataka kuniteka.

Rekebisha heading basiDeo nasio Del.
Is that guy exists for real!?Hamna wala hatafuti umaarufu coz i know him personally
AJIUNGE NA HAMORAPA TU TUJUE MOJANi ngumu sana kuamini kama huyu mtu afya yake ya akili ipo sawa!
Au labda ni harakati za kuusaka umaarufu!
Ni kweli akili zake ni kama Magu foolNi ngumu sana kuamini kama huyu mtu afya yake ya akili ipo sawa!
Au labda ni harakati za kuusaka umaarufu!
Mkewangu... Njoo pande hizi.!! Kimenukaaa...
Tafadhali njoo na lile bango langu nililolichora asubuhi kwa ajili ya maandamano kumtetea tunu ya taifa hili... Mtemi kiongozi D. N. Kisandu..
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mkuu kisandu mimi nakutia moyo, japokuwa wanakifanyia fitina, ila naamini "hautaishia kuwa Waziri Mkuu tu, bali utakuwa mpaka rais kama ulivyopangiwa"
# BringBackDelKisandu
Cc Nifah
Uwiiiiiiiiiii Nifah eeee leo katoa mpya kabisaa tena classic....mtafute umsome ha ha ha ha haaaaa safiii sanaaaa![]()
![]()
![]()
![]()
Uwiiiiiiiiiii
Dah huyu jamaa yetu leo hajatoa mpya?
