Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 4,291
- 14,782
Ifike mahali sasa Deo tumzoee tu.
Maana yeye ndio anatuona sisi weu.
Maana yeye ndio anatuona sisi weu.
Deo kaona sasa hivi kiki inayobamba ni ya kutekwateh teh mkuu nawe hauko nyuma kila post ya Deo nakuona lazima utie neno..
Deo ujue unaumwa...!BRING BACK DEO KISANDU.
Kwa kuwa Mimi mmeninyima Haki ya kifamilia na ushirikiano mpaka haki ya kufanya maendeleo yangu binafsi nayo nimepokonywa na Mimi nawanyima Haki ya kuishi kwa Jina la Yesu. Mungu awapelekee roho ya mauti wote mlioshiriki kuniweka vizuizini na vikwazo vya kimaishaView attachment 492469 #NabaDO#.
make FREE DEO KISANDU#
Wakwe zangu wachunguzwe afya ya Akili zao.Mtemi waonyeshe utemi wako hao.