Brigedia Jenerali mstaafu Adam Mwakanjuki aripotiwa kufariki dunia mapema hii leo.
May his soul R.I.P
nadhani ni adam mwakanjuki sio issacWanabodi, nimepokea taarifa ya msiba wa Brigedia Generali Isaack Mwakanjuki amefariki dunia leo mchana baada ya kuugua ugonjwa wa kiharusi kwa muda mrefu. Msiba uko nyumbani kwake Mbezi Beach karibu na Club Oasis. Kwa wasiomfahamu, marehemu alikuwa waziri wa sheria wa SMZ na baadae kuhamishiwa Kilimo baada ya mtafaruku wa kumteua Kadhi Mkuu wa Zanzibar ili hali ni Mkiristu!. RIP Brig. Gen. Mwakanjuki.
Thanks noted, regreted and corrected!.nadhani ni adam mwakanjuki sio issac