Breaking nyuzi;ceo mpya atcl -mr chizi

AIR TANZANIA COMPANY LIMITED
_____________________________________________________________________________________________

STAFF NOTICE NO.2 TO: ALL STAFF
__________________________________________________________________

STAFF CIRCULAR NOTICEACTING MANAGING DIRECTOR AND CEO
The Minister for Transport Hon. Omar R. Nundu (MP) has appointed Mr. Paul T. Chizi to act on the position of Chief Executive Officer with effect from 11[SUP]th[/SUP] August 2011. Until the process of appointing or approve the new CEO is finalised, your cooperation will be highly appreciated.



ISSUED BY : MANAGER HUMAN RESOURCES
DATE: 12[SUP]th[/SUP] AUGUST, 2011
__________________________________________________________________

c.c. All Departments/Division/Section Heads
 
Paul Chizi?

AIR TANZANIA COMPANY LIMITED
_____________________________________________________________________________________________

STAFF NOTICE NO.2 TO: ALL STAFF
__________________________________________________________________

STAFF CIRCULAR NOTICEACTING MANAGING DIRECTOR AND CEO
The Minister for Transport Hon. Omar R. Nundu (MP) has appointed Mr. Paul T. Chizi to act on the position of Chief Executive Officer with effect from 11[SUP]th[/SUP] August 2011. Until the process of appointing or approve the new CEO is finalised, your cooperation will be highly appreciated.



ISSUED BY : MANAGER HUMAN RESOURCES
DATE: 12[SUP]th[/SUP] AUGUST, 2011
__________________________________________________________________

c.c. All Departments/Division/Section Heads

I knew it! Hongera sana baba Misana.
 
naomba kuuliza - hii recycling ya viongozi itaisha lini? Kama hii taarifa ni credible nadhani ni kuruka mkojo na kukayanga mavi - chizi alikuwa jhb - branch manager pale - aliyoyafanya kama ataweza ku-replicate akiwa kama ceo, naamini hata yale mandege yaliyopo workshop atayauza kama chuma chakavu! - this fellow anastahili kustaafu kama ambavyo alistaafishwa kule jhb!

hii aitaisha inakukumbusha na wewe ulipo iba vizuri uweke rekodi watakukumbuka hata uda
kazi kwako!!!!!!!1
 
Sasa tunalalamika na nundu nae atapitishia wapi hela kama epa awajakamatwa kwa nini na yeye asiweke mtu wa kupitishia faranga zake kila la kheri mwaya iila wakumbuke na wafanyakazi...ukitaka kula vizuri mzee kula na kipofu hilo wazo utanaikumbuka vizuri na mabaya yote wanayosema yatafutika ...kila mwenye pumzi na ale vizuri
 
Mh,kwani tuna ndge?kaz yake itakuwa ni kusimamia kiwanjaaa?

Kiwanja si cha kwao, kiko chini ya Tanzania Airports Authority (TAA). May be kazi yake itakuwa kukusanya pango la vyumba viwili vinavyotumika vya gofu lao lile pale town. Halafu hivi kwanini nafasi kama hizi bdo zinakuwa za kuteuliwa? Kwanini zisiwe zinatangazwa then watu wancompete kwe interviews? Ndio maana tunaendelea kuchemsha kila kona.
 
kiwanja si cha kwao, kiko chini ya tanzania airports authority (taa). May be kazi yake itakuwa kukusanya pango la vyumba viwili vinavyotumika vya gofu lao lile pale town. Halafu hivi kwanini nafasi kama hizi bdo zinakuwa za kuteuliwa? Kwanini zisiwe zinatangazwa then watu wancompete kwe interviews? Ndio maana tunaendelea kuchemsha kila kona.

mtake radhi mhmattaka gofu eeeehhhhh ushawahi kuona mataka analiachia gofu kaangalie tena ama kama umeshatuchania passport yetu muulize mtu mama jenerali mwamuyange ameweka saloon ya kufa mtu na sasa ameweka sehemu ya kulia chakula
kazi tuko kikazi zaidi..
 
Hivi sheria inasemaje? Mtu anaweza teuliwa kukaimu nafasi toka nje ya shirika? Ninavyofahamu mtu wa kukaimu hiyo nafasi anapaswa toka ndani ya ATCL. Kama waziri Nundu anataka huyo jamaa awe ceo,amshauri rais amteue rasmi.
 
Hivi sheria inasemaje? Mtu anaweza teuliwa kukaimu nafasi toka nje ya shirika? Ninavyofahamu mtu wa kukaimu hiyo nafasi anapaswa toka ndani ya ATCL. Kama waziri Nundu anataka huyo jamaa awe ceo,amshauri rais amteue rasmi.

Jamaa ni mshikaji wake wa long time alikuwa benchi sasa kaamua kumpa ulaji yaani kama JK Alivyompa ishu David mattako
 
Kwa hiyo Nundu kavunja taratibu za kukaimu ofisi kampatia rafiki yake ulaji. Mwanzo alipoteuliwa,licha ya kuwa na mashaka juu ya uwezo wake kuongoza hiyo wizara,lakini nilikua matumaini kwamba anatatusaidia kuifufua ATCL kutokana na uzoefu wake ktk sekta ya mawasiliano ya anga. Sasa anafanya madudu kama wana magamba wenzake.
 
hivi hata kiwanja mnacho kweli...mi huwa nalinganisha na vituo vidogo vya polisi

Kweli atuna kiwanja kwani hata kujua ukifika mzigo wako utaupata kwenye cargo belt ipi ujui unaishia kuuliza huyu na yule .yaani dar airport inabore mbaya.
 
Huyo Mr Chizi aliyekuwa Atcl enzi zile aliondoka na kwenda kuwa mkurugenzi wa community air ile ndege ya dialo. lakini chini ya uongzi wake ameanzisha kampuni ile na kisha ikafa ndani ya muda mfupi sana kutokana na kukosa vision na kampuni ikawa haina mwelekeo endelevu na sasa imebaki inapumulia machine. sasa kumpatia mtu huyo tena shirika lililokufa la ndege tanzannia ili anede kulifufua ni sawa na kumchukua bubu ili amuelekeze njia kipofu! subirini muone shughuli yake kama naye hajaondoka akijisifu kwa kuiacha atcl kaburini kama yle bwana mataka aliyejisifia kubadilisha nembo ya shirika.

Duh! Ndugu yangu umenifurahisha sana! Yani alikuwa analipwa mshahara kwa ajili ya KUBADILI NEMBO tu? Kazi kweli kweli. Alijisifia mwenyewe au alisifiwa? Kasoma kweli huyo Mataka mwenyewe?? Ana PHD au? Sasa huyu Chizi kama alishindwa Community ambayo ilikuwa ina Run na akaiuwa hii iliyokufa sio ndio kaja Izika kabisa au ndio Mambo ya Lazaro na Jesus?
 
Kwa wale waliokuwa wanaijua atcl enzi hizo habari zilizopatikana wizarani na a kuthibitishwa na baadhi
ya wahusika wa wizara zinasema mh omar nundu amemteua mr chizi mfanyakazi aliekuwa airtanzania enzi hizo
habari zaidi zinasema baada ya kuangalia utashi na uadilifu wake pamoja na kufanya kazi kwa juhudi mh
waziri ameona mh chizi anafaa kuiongoza kampuni hii kama mzawa wapili baada ya aliewkwa mwanzo kuishia kutengenezza nembo ya kampuni ambayo ilimpatia kashfa kubwa..ipi kashfa hii ya nenmbo ilipelekea kufukuzwa aama kukimbia kwa
commercial manager wa atcl enzi hizo muhindi ambae ameamua kubaki tanzania kwa kuongoza moja ya travrl agent mashuhuri hapa nchini..si hivyo tu nembo hii ilileta kashfa pale ceo wa wakati huo alipokaa kupitia maoni na tenda za wanaoweza kuongoza shirika hilo wakaiteua kampuni moja ya tanzania

wakati wanafikiria kupataje ten percent kwenye kampuni hiyo mh ceo akishirikiana na management na wakati huo alikuwepo director mhuni mmoja kutoka kenya aliechukuliwa bila kujua hana idea yoyote ya ndege akaiwajulisha kuna jamaa anaweza kuwatengenezea kwa bei ya chini na kukubaliana baada ya nembo mh huyo anaweza kuwapa pesa wanayoitaj kama ahsante kama kawaida hali hiyoilimfanya kijana yule kwenda kenya kama mwendawazimi na ndipo akaleta nembo ya kihuni..kivipi nenda kaangalie ile nembo alichofanya ni kuweka a badala ya k ya kenya airways lakini nembo hiini sawa na ya kenya airways natumaini million 300 jamani aiwezi kuelezea imetumikaje kutengeneza nembo ya kampuni...mungu awaape heri wafanyakazi na roho ya huruma ya kuvumilia

mr chizi
kwa kweli huyu siwezi sema lolote maana kila mtu anajua alivyojipanga labda tuwaachie wafanyakazi wali ilikouwa airtanzania ambao walikuwa nae kuelezea umahiri wake naomba tunaitaji kupata ukweli halisi na si kuandika sababu ya wivu ama alikunyima unyumba miaka hiyo la hasha tupen data tuzifanyie kazi tafadhali

wakati huo huo habari zilizotufikia punde zinasema kampuni ya atcl inatarajiwa kuendelea na safari zake kama kawaida kuanzia tar 25 pamoja namengine kwa kuhofia kuwepo na ndege moja imetangazaa kuanza safari za kigoma na tabora kwanza huku ikisubiri matengenezo ya ndege nyingine ambayo itatarajia kuanza safari za mwanza na kweingineko

mungu ibariki tanzania mungu ibariki atcl!!

Kwa mujibu wa Sheria za Tanzania. Wakurugenzi wa mashirika ya Umma na wenyeviti wa Bodi wanateuliwana Rais na sio waziri.

Waziri kazi yake ni kuteua wajumbe wa Bodi. Sasa iweje waziri kamteua Mkurugenzi mkuu wa ATCL?

Naomba ubadilishe hapo au uteuzi huo utakuwa batili, umekiuka katiba ya nchi
 
Kwa mujibu wa Sheria za Tanzania. Wakurugenzi wa mashirika ya Umma na wenyeviti wa Bodi wanateuliwana Rais na sio waziri.

Waziri kazi yake ni kuteua wajumbe wa Bodi. Sasa iweje waziri kamteua Mkurugenzi mkuu wa ATCL?

Naomba ubadilishe hapo au uteuzi huo utakuwa batili, umekiuka katiba ya nchi
Hivi unajuwa maana ya neno kaimu?
 
air tanzania company limited
_____________________________________________________________________________________________

staff notice no.2 to: All staff
__________________________________________________________________

staff circular noticeacting managing director and ceo
the minister for transport hon. Omar r. Nundu (mp) has appointed mr. Paul t. Chizi to act on the position of chief executive officer with effect from 11[sup]th[/sup] august 2011. Until the process of appointing or approve the new ceo is finalised, your cooperation will be highly appreciated.



issued by : Manager human resources
date: 12[sup]th[/sup] august, 2011
__________________________________________________________________

c.c. All departments/division/section heads

mkuu badru isome vizuri urudi tena ni wazir kateua kaimu...ila maana ya kaimusijajua na je atc ilipo inaitaji kaimu???
 
Huyo Mr Chizi aliyekuwa Atcl enzi zile aliondoka na kwenda kuwa mkurugenzi wa community air ile ndege ya dialo. lakini chini ya uongzi wake ameanzisha kampuni ile na kisha ikafa ndani ya muda mfupi sana kutokana na kukosa vision na kampuni ikawa haina mwelekeo endelevu na sasa imebaki inapumulia machine. sasa kumpatia mtu huyo tena shirika lililokufa la ndege tanzannia ili anede kulifufua ni sawa na kumchukua bubu ili amuelekeze njia kipofu! subirini muone shughuli yake kama naye hajaondoka akijisifu kwa kuiacha atcl kaburini kama yle bwana mataka aliyejisifia kubadilisha nembo ya shirika.

So this is perpetuation of inefficient!!
 
Kwa mujibu wa Sheria za Tanzania. Wakurugenzi wa mashirika ya Umma na wenyeviti wa Bodi wanateuliwana Rais na sio waziri.

Waziri kazi yake ni kuteua wajumbe wa Bodi. Sasa iweje waziri kamteua Mkurugenzi mkuu wa ATCL?

Naomba ubadilishe hapo au uteuzi huo utakuwa batili, umekiuka katiba ya nchi

kumbe tuna rais? i didnt know
 
hongera jamani muanze na kufufua safari za nje hasa khartoum - dar kuna watalii wengi sana wanaishia kenya kwa ajili ya kq
Mimi huwa napata aibu nikiulizwa, Tanzania kuna kampuni gani ya ndege? Jibu linakuwa gumu, hiyo airtanzania yenyewe ukigoogle utakuta visafari vya ajabu ajabu ambavyo navyo huduma ni za hovyo. Hatuko serious, tuko serious tu wakati wa kula hela za wagombea wakati wa uchaguzi bila kutafakari kwa makini. Anyway, we are coming, mwanga unatuingia tutaanza kuona pa kwenda.

CEO, hongera sana!! lakini wasiwasi wangu huna nguvu sana kuikoa hiyo kampuni zaidi ya kutegemea serikali ikupe pesa, huku nusu ya hizo hela zikirudi kwa hao watakaokupa.
 
hongera jamani muanze na kufufua safari za nje hasa khartoum - dar kuna watalii wengi sana wanaishia kenya kwa ajili ya kq

waanze na KIRARACHA DAR HAPO WAMECHEZA WASIWASAHAU WAKINA MAPUNDA,MBIGILI,MAMBU NA WENGINEO WATAKAOWEZA KUWAFIKIA
KAMA WAKINA MWAKYUSA ,MWAKAFYALE,,,MWAKAPUGI
 
Back
Top Bottom