daby mouser
JF-Expert Member
- Feb 9, 2012
- 206
- 73
Habari zilizonifikia saa hii zinasema kwamba Jerry Isaac Mruma amefariki dunia huko mjini Nairobi baada ya kunyongwa.
Kwa mujibu wa taarifa za awali kijana huyo alipotea toka Jumamosi alipokuwa akitoka disko na baada ya kuongea na rafiki yake kwa njia ya simu ya mkononi alimjulisha kuwa yupo njiani kuelekea nyumbani hakufanikiwa kufika .
Mpaka jana Jerry alikuwa bado hajulikani alipo .
Ntaendelea kuwajuza zaidi kuhusu msiba huu wa rafiki, ndugu na Kaka yetu Jerry Isaac Mruma, Mtoto wa Isaac Mruma Ofisa Mawasiliano Mwandamizi wa Mamlaka ya Uthibiti wa Mawasiliano Nchini (TCRA).
Kwa mujibu wa taarifa za awali kijana huyo alipotea toka Jumamosi alipokuwa akitoka disko na baada ya kuongea na rafiki yake kwa njia ya simu ya mkononi alimjulisha kuwa yupo njiani kuelekea nyumbani hakufanikiwa kufika .
Mpaka jana Jerry alikuwa bado hajulikani alipo .
Ntaendelea kuwajuza zaidi kuhusu msiba huu wa rafiki, ndugu na Kaka yetu Jerry Isaac Mruma, Mtoto wa Isaac Mruma Ofisa Mawasiliano Mwandamizi wa Mamlaka ya Uthibiti wa Mawasiliano Nchini (TCRA).