klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
Usharudi saluni?Utasutwa wewe!
Usharudi saluni?Utasutwa wewe!
Kunani hapa?
Nimerudi honey, unamwona bishanga alivo mchokozi?Usharudi saluni?
kwi kwi kwi kwi......nshamjua,uuuuuuuuuuwwwiiiii chachachacha kumbeeeeeeeeee!
Nimerudi honey, unamwona bishanga alivo mchokozi?
umeachika.
Muongo mkubwa, toka afumaniwe na mke wa mtu akili zimemruka!
hata camilla parker bowles alikuwa akimwambia maneno hayo prinsi chaz,see where she ended!
Chenchi iko hapo juu ya meza! Kumbe ugoro unafukuza malaria?Wala usijali, camera ya Bishanga haina 3D. nipatie iyo chenji ilobaki nikapate ugoro wa kufkuza malaria
Hahaha! Unajaribu kunichonganisha na lahazizi ila nasikitika kuwa hutaweza lol.nitts na .........
kupigwa chini jana leo ushajimuvuzisha kwa kloro? kweli dunia tambara bovu,poor nitts!
Sasa ndio akaona aje achafue majina ya wenzie jf lol.jana kafumaniwa tena, nimepishana nae stand, taulo mkononi. Anahitaji maombi. Mzima wewe?
We! Koma kumtaja husband manake atajing'ata huko aliko!njozi gani tena wakati yamekukuta live,au nikueleze aleyeingia chumbani kwangu na nitts?