Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Binafsi nimestuka kidogo baada ya kumuona kilaza Lukuvi akiwa amepiga pamba za kichungaji leo kwenye tarifa ya habari tbc ccm!
<br />Manabii wa uongo wanazidi kuongezeka
binafsi nimestuka kidogo baada ya kumuona kilaza lukuvi akiwa amepiga pamba za kichungaji leo kwenye tarifa ya habari tbc ccm!
Binafsi nimestuka kidogo baada ya kumuona kilaza Lukuvi akiwa amepiga pamba za kichungaji leo kwenye tarifa ya habari tbc ccm!
haha ha ni stress nazan, mwenye picha plz 2wekeetanzania kuna vituko au ni stress
Naamini angevaa kimini ungeuliza??Hivi angevaa Kanzu ungeshtuka vile vile?
Naamini angevaa kimini ungeuliza??