Breaking news@ Umeme upo kwenu

Breaking news@ Umeme upo kwenu

TANZAGIZA full. Kuna waziri anaitwa MUONGO halafu ana pihechidii, anahusika na mambo ya electricty please mtumieni PM faster. Halafu mjue twiga na giza hili wanashindiliwaje kwenye ndege za uarabuni! Jamani shingo zao...

Mkuu pokea like yangu. nimecheka sana.
 
Mwenge sinza knyama moroco kinodnoni magomeni ikulu regency upanga masaki umeme wa kumwaga sana njooni mchote
 
Bahari beach giza!ndugu yangu yupo knyama amegraduate leo bcom yupo gizani,cake italiwaje?
 
Huku kwetu chang'ombe ndio balaa. Jana nilishindwa kupiga bao la tatu kwa sababu ya joto. Naona leo wamekata mapema kwa hiyo inawezeka tukalala mzungu wa4

Mlipoambiwa tatizo la umeme litakuwa historia mkadhani utani. Nadhani sasa mtaanza kuamini.
 
ulirudi halafu tena ukkakatika ghafla kidogo plasam yangu iiungue, lakini sasa umerudi, UBUNGO
 
Lowasa na kikwete wanataka kupenyeza richmond nyingine
 
Jogi, hatuonani mpaka wakati wa matatizo ndugu yangu...

Naona ccm wanatumia mbinu mpya ya kututupia matatizo ili yatuunganishe. ukizingatia nilichelewa kuchaji hii simu inaweza kuzima wakati wowote.
 
Kinondoni Mkwajuni,manyanya yote Giza totoroooooooooooooo=
 
Naona ccm wanatumia mbinu mpya ya kututupia matatizo ili yatuunganishe. ukizingatia nilichelewa kuchaji hii simu inaweza kuzima wakati wowote.

Watakua wanasaini mikataba kwa mshumaa
 
Back
Top Bottom