TANZAGIZA full. Kuna waziri anaitwa MUONGO halafu ana pihechidii, anahusika na mambo ya electricty please mtumieni PM faster. Halafu mjue twiga na giza hili wanashindiliwaje kwenye ndege za uarabuni! Jamani shingo zao...
Huku kwetu chang'ombe ndio balaa. Jana nilishindwa kupiga bao la tatu kwa sababu ya joto. Naona leo wamekata mapema kwa hiyo inawezeka tukalala mzungu wa4
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.