Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,744
Mchezaji machachari kichuia imethibitika kuwa mkataba wake umevunjika ijumaa baada ya team yake ya wekundu kushindwa kutimiza takwa muhimu kuwa mpaka ifikapo tarehe 3 wawe wamemkabidhi nyumba yake ambayo ilikuwa inatakiwa ijengwe huko kitunda.
Inasemekena viongoz wa team yake wamekuwa wakimwambia inaendelea vizuri na kumtumia picha ambazo kumbe zilikuwa ni uongo. Mchezaj huyo kupitia kwa mwanasheria wake wameanza mkakati wa haraka wa kufuata taratibu hasa baada ya kuwa team ya azamu nayo kumuhitaj na mahasimu wakubwa wa wekundu nao kutaka kumchukua kuwakomoa hasa baada ya kuwachukulia mchezaj wao.
Mwandishi alijaribu kutaka kuongea na mchezaj huyo ambaye aligoma na kutaka mwandishi aongee na mwanasheria wake. Huku akilaani ubabaishaji mkubwa wa viongoz wa soka nchini.
Source mwanaanchi leo.
Inasemekena viongoz wa team yake wamekuwa wakimwambia inaendelea vizuri na kumtumia picha ambazo kumbe zilikuwa ni uongo. Mchezaj huyo kupitia kwa mwanasheria wake wameanza mkakati wa haraka wa kufuata taratibu hasa baada ya kuwa team ya azamu nayo kumuhitaj na mahasimu wakubwa wa wekundu nao kutaka kumchukua kuwakomoa hasa baada ya kuwachukulia mchezaj wao.
Mwandishi alijaribu kutaka kuongea na mchezaj huyo ambaye aligoma na kutaka mwandishi aongee na mwanasheria wake. Huku akilaani ubabaishaji mkubwa wa viongoz wa soka nchini.
Source mwanaanchi leo.