broken ages
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 235
- 84
Mzuri wa sura au umbo? Uzuri wa mtu ni kutokana na yale aliyokufanyia wewe binafsi usisifu kama mzembe. Mfano je kama alikua anatoa mimba? Vile vitoto vilivyonyofolewa navyo vibebe unafki wa kusifu ujinga
..kama unayo akili yako timamu na u mwadilifu wa hata kiasi tu chukulia ikiwa wewe ndiwe uliyefikwa na msiba wa namna yeyote ya mtu anayekuhusu kama mzazi,ndugu,jamaa na hata rafiki halafu unapewa bezo ama maneno ya kebehi kama unayoyatoa wewe ukiyasoma maneno kama hayo na ukiwa ndani ya masikitiko ya kuondokewa na umpendaye utajisikia vipi? Tujifunze ni maneno gani ya kuwaandikia wenzetu na kwa wakati gani.mwisho namalizia kwa kuwapa pole Nyingi sana Wale wote walioguswa na msiba huu mungu awape nguvu ya kuvumilia na kuvuka kipindi hiki kigumu Bwana ampe pumziko la amani...amina.