Shinto
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 1,781
- 96
Hii sio udaku tafadhali.
Gazeti la Mtanzania leo Jumamosi 30/04/2011 linaongozwa na habari hiyo, " Slaa Kidume"!
In detail, linasema kuwa mahakama Arusha ilifahamishwa jana kuwa Bi. Josephine Mushumbusi (First Lady) anatarajiwa kujifungua mtoto kwani ana mimba ya miezi nane na wiki tatu!
Huyo mtoto si atakuwa mpiganaji through and through?!
Mi napendekeza jina lake liwe BAVICHA!
Gazeti la Mtanzania leo Jumamosi 30/04/2011 linaongozwa na habari hiyo, " Slaa Kidume"!
In detail, linasema kuwa mahakama Arusha ilifahamishwa jana kuwa Bi. Josephine Mushumbusi (First Lady) anatarajiwa kujifungua mtoto kwani ana mimba ya miezi nane na wiki tatu!
Huyo mtoto si atakuwa mpiganaji through and through?!
Mi napendekeza jina lake liwe BAVICHA!