Breakin News "wamegandana"

Breakin News "wamegandana"

kama kuna picha jamani mtutumie tuone

Tafuteni mapicha bhana, coz hii habar isha_make headline kwa sana leo hapa Jf!

picha hiyo......

21327_510397825645622_560057225_n.jpg
 
Wenye sifa za kula uroda wa wake za watu unawajuwa sana, wataje tu, usione haya, kapotea sana siku hizi, kwema?.
quote_icon.png
By Baba V

Naomba Asprin , zomba , Erickb52 , Arushaone na C6 mthibitishe uwepo wenu humu isije ikawa ni mmoja wenu yupo huko, nawapenda sana sitaki kuwapoteza aisee
 
greatest thinker.....

Not greatest thinker only!
This curriculum vitae you just gifted that person doesn't enough !
It's a person who thinks as in a specified way or manner !!
Also has a well developed faculty for thinkin' as a Philosopher !
Walau misifa kiasi hiki ndy inayomstahili !
Au unaonaje Preta?
 
Wenye sifa za kula uroda wa wake za watu unawajuwa sana, wataje tu, usione haya, kapotea sana siku hizi, kwema?.

aisee shwari mkuu, maadam nimekusoma at least roho yangu imetulia, ulikuwa umebaki peke yako kurespond jambo lililokuwa linanifanya nianze kuamini kuwa ni wewe na lara 1
 
Last edited by a moderator:
Na weweeee

e bana eeeee!!! Umenusurika? Sasa hivi tumegundua mbinu mpya, kama ni risasi hata kamuhanda anayo sema tu barlow alichelewa kuitumia, kwa sasa ukigusa tu unacho, utakomaje?
 
e bana eeeee!!! Umenusurika? Sasa hivi tumegundua mbinu mpya, kama ni risasi hata kamuhanda anayo sema tu barlow alichelewa kuitumia, kwa sasa ukigusa tu unacho, utakomaje?
Hahhahahahaaa Baba V mi niko kwenye chupa...sitapata muda wa kuiba wala hamu ya kuiba
 
Last edited by a moderator:
hivi huyo mtu hicho kidude kimetoka kweli kwani topeni si kuna joto zaidi ya Khartoum na muda alokaa huko sasa lazima anyonyoke kama kuku
 
hivi huyo mtu hicho kidude kimetoka kweli kwani topeni si kuna joto zaidi ya Khartoum na muda alokaa huko sasa lazima anyonyoke kama kuku

Nijuavyo mie si rahisi mtu uitolee darasa ama maelezo baridi ya Mufindi , Arusha, Nrb, Makambako, au Kericho ilhali muhadithiaji uwe hujafika maeneo hayo!
Hence Mhe. Unaehabarisha details za temperature ya JICHO it means ?
Note : Staki jibu! Coz jibu liko wazi.
 
Nijuavyo mie si rahisi mtu uitolee darasa ama maelezo baridi ya Mufindi , Arusha, Nrb, Makambako, au Kericho ilhali muhadithiaji uwe hujafika maeneo hayo!
Hence Mhe. Unaehabarisha details za temperature ya JICHO it means ?
Note : Staki jibu! Coz jibu liko wazi.

niombe radhi watu wasijetirirka wakijua ndo mie nliokuwa Laivu Temeke

ila ni kweli kunako JAICHO kuna joto

reference kimbweka
 
hivi hii habari ni kweli waligandana???
 
Haikuwa kweli ndugu, taarifa ya habari ITV wafanyakazi wawili wa hospitali walisema ulikuwa uvumi tu. Hata wao walishangaa umati wa watu waliojaa ghafla kutaka kuona watu walionasana wakati wao hawakupokea watu kama hao. Wakaita polisi wakihofia vurugu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom