mhSijui ni nani yuko ukweni hapo
Picha ilikua ya chakula mezani sio ya wageni hujui tuMbona hatuoni idadi ya wageni walioenda kuchumbia...???
Huoni kama binti yuko ugenini huku jemba imekaa comfortable kabisa ikionyesha hapo ni kwao?pia huoni binti kama vile anaulizwa swali na mtu fulani hivi hapo haonekani ila kwa kumwangalia binti utaona attention yake kaielekeza wapi...tena kama anaulizwa hivi mlisoma wote au mnafanya kazi wote?Mbona hatuoni idadi ya wageni walioenda kuchumbia...???
Automatically hii sio breakfast
Tuambie ilikuwa ni wapi na lini mkuuMkuu hiki ni kifungua kinywa tu, watu wapo serious kwenye idara
Nimekusoma mkuu..Huoni kama binti yuko ugenini huku jemba imekaa comfortable kabisa ikionyesha hapo ni kwao?pia huoni binti kama vile anaulizwa swali na mtu fulani hivi hapo haonekani ila kwa kumwangalia binti utaona attention yake kaielekeza wapi...tena kama anaulizwa hivi mlisoma wote au mnafanya kazi wote?
Binti anaitikia tu eehh!
Hahahaha Wilbad hufai hata kwa mchuzi. Duh yaani umeitafsiri picha htr tupu. Sikupatii ulivyokua unapiga jiografia kwenye photograph interpretationHuoni kama binti yuko ugenini huku jemba imekaa comfortable kabisa ikionyesha hapo ni kwao?pia huoni binti kama vile anaulizwa swali na mtu fulani hivi hapo haonekani ila kwa kumwangalia binti utaona attention yake kaielekeza wapi...tena kama anaulizwa hivi mlisoma wote au mnafanya kazi wote?
Binti anaitikia tu eehh!
Kinawezekana hakitoshi, ndio maana njemba haionyeshi sura ya furaha...Picha ilikua ya chakula mezani sio ya wageni hujui tu
Mshana unabisha??kuna jamii kibao kanda ya ziwa hawali chai mkate broAutomatically hii sio breakfast
Hii ni nyepesi?