Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,611
- 8,743
Leo nimesikiliza kipindi cha Clouds Power Breakfast lakini kwa jinsi ulivojaribu kulinda heshima ni kweli sio jambo zuri kuwa wazi ni kuchonganisha raia na jeshi la polisi.
Lakini swali la kujiuliza ni ili
WATU WANATEKANAJE?
Kumekuwa na malalamiko ya utekaji kwa kutumia jeshi la polisi au kwa njia ambazo mnaweza kuzikataa je kama wanaopotea hivi mwananchi wa kawaida anaweza kufanya hivo?.alafu ukajibu kwenye redio watu wanajiteka au visasi.
KAMA MTUMUI HIYO MBINU WAKIFANYIWA NDUGU ZENU ITAKUWA SAWA?
Ili jambo alitakiwa kuulizwa maana tuangalie upande wa pili kwa jeshi la polisi.
Kama utekaji upo na bila sababu jeshi la polisi mmechukua hatua gani maana kama mnahalalisha waovu ndani na nje kwa wananchi.
Lakini swali la kujiuliza ni ili
WATU WANATEKANAJE?
Kumekuwa na malalamiko ya utekaji kwa kutumia jeshi la polisi au kwa njia ambazo mnaweza kuzikataa je kama wanaopotea hivi mwananchi wa kawaida anaweza kufanya hivo?.alafu ukajibu kwenye redio watu wanajiteka au visasi.
KAMA MTUMUI HIYO MBINU WAKIFANYIWA NDUGU ZENU ITAKUWA SAWA?
Ili jambo alitakiwa kuulizwa maana tuangalie upande wa pili kwa jeshi la polisi.
Kama utekaji upo na bila sababu jeshi la polisi mmechukua hatua gani maana kama mnahalalisha waovu ndani na nje kwa wananchi.