Noname
JF-Expert Member
- Feb 8, 2010
- 1,269
- 29
- Thread starter
- #81
Chrispin trouble reading between the lines....r we now?Sasa mama asiye na jina, ushajua kuna langueji problem sasa mbona unaendelea kumjibu kwa kiblurey? Tumia lugha ya BAKITA labda mtaenda sawa. Wengine tumesoma shule za kata. Mwalimu mmoja fomu wani mpaka fom sirii. Fom foo walimu wawili kwa kuwa wanajiandaa na neshno fom foo B examinations.
Please tuelewe utusaidie kwa kutumia lugha ya Ujamaa na Kujitegemea.
sawa...nitajidahidi kutumia lugha ya taifa.. bakita ndo nani huyo... mie niliishia fom tuu..nilikuwa napata D kwenye kiswahili..halafu hizi new slangs ndo sizipati kabisa.