mazee never tamkia mwanamke sikutaki tena,hatakaa asahau hilo neno hadi kaburini,ujanja ni kumpotezea taratibu without causing much pain,that way siku moja moja mnaweza kuwa mnakumbushiana aisee,kuna ukame ati.Huwezi kumwambia dry kwamba leo ninakuacha.., (inategemea busara zake ila inabidi kumwambia.., )
Option ya kuanza kumfanyia visa ili akuache (hapo unacreate enemy) wakati kama mgekuwa grown-ups na kuonyesha kwamba kwa sasa inabidi ku-part ways.., unaweza ukampoteza mpenzi lakini ukabaki na rafiki.., ukifanya visa hapo unaweza ukatengeneza uadui.
Ni kuwa open (kulingana na busara za mtu), Time heals after some time atakusahau ila utabakia an EX (a friend na sio yule bwana mwenye visa, Shetani)
niha ni salam ya kichina,umwewahi kusoma kitabu cha sun tzu (the art of war)? ni kitabu kizuri sana naona mdau su kakiweka kwenye avatar yake.
hili la kuachana kwani sisi wanaume tukiwa tunaanzisha mahusiano mapya huwa tunaacha ya zamani,huwa ni slow disengagement.
Bishanga hata wanaume wanaachwa sana tu,km ilivo kwa wanawake,Jamani hakuna mwanaume anaachwa.
As for women huwa nina prefer style ya .....killing me softly.......hii husaidia sana kuzuia wasile sumu,na ninaamini kinamama watakuwa wana prefer huu utaratibu maana na wao unawapa fursa ya kujipanga,au kina mama mnaonaje?
double timimg normaly kwa mwanamke ni ngumu,kwetu sisi wanaume haina shida,unawapanga tu.Sasa Byshanga what if akufukuzae ana mgeni mwingine mlangoni? Aendelee kukuweka ndani wakati mwenzio anang'aa tu macho barazani?
Mbu. . .yeah,
....yeah, mwombe mketi kujadili jambo muhimu maishani mwenu,kisha kwa wakati muafaka
mwambie A-Z kwanini umeona mahusiano yenu hayatoenda popote na umeamua muachane.
maskini rejao!Bishanga hata wanaume wanaachwa sana tu,km ilivo kwa wanawake,
Binafsi naprefer kuambia tu mara moja na kila mtu achukue ustarabu wake,na hii inasaidia mtu kujipanga na kumpa mwingine nafasi kuliko mtu anakaa kimya huku nawakataa wengine kumbe nishaachwa siku nyingi mpaka nikija kujua mda ushaenda
Ila sasa akilogwa akanionyesha dalili kabla hajaniambia na nikatafiti na kuligundua hilo lzm nimuwahi kabla hajanambia na ibaki kuwa mm ndio nilimwacha!
double timimg normaly kwa mwanamke ni ngumu,kwetu sisi wanaume haina shida,unawapanga tu.
Smilendo maana huwa naprefer tuambiane ukweli from the beggining.... Mnapoingia kwenye mahusiano mwanzoni epukeni mapromise yasiyo na maana
mazee never tamkia mwanamke sikutaki tena,hatakaa asahau hilo neno hadi kaburini,ujanja ni kumpotezea taratibu without causing much pain,that way siku moja moja mnaweza kuwa mnakumbushiana aisee,kuna ukame ati.
Hhahahaha. . .kwahiyo unaweza mketisha mmoja barazani ukamwambia namuaga mwenzio humu ndani kumbe ndio kwanzaaaa mnachombezana?double timimg normaly kwa mwanamke ni ngumu,kwetu sisi wanaume haina shida,unawapanga tu.
easily said than done.....na ogopa maneno ya kutamka in the heat of anger,mwenzio akifanya kweli wakati wewe ilikuwa ni hasira hapo utajibeba.Mimi huwa sifanyi hivyo hata siku moja,never.Short, sharp, clear and no coming back.
jamani si ndo utaratibu wa mjini,hata nyie kila kukicha si mnatupanga?Kwahiyo kumbe ni kwa faida binafsi na sio ya huyo mwanamke?Yakinikuta namwambia huyo mhusika atumie muda mfupi ili huo wasiwasi wa kukumbushiana usiwepo!!
Hhahahaha. . .kwahiyo unaweza mketisha mmoja barazani ukamwambia namuaga mwenzio humu ndani kumbe ndio kwanzaaaa mnachombezana?
Binafsi naprefer kuambia tu mara moja na kila mtu achukue ustarabu wake,na hii inasaidia mtu kujipanga na kumpa mwingine nafasi kuliko mtu anakaa kimya huku nawakataa wengine kumbe nishaachwa siku nyingi mpaka nikija kujua mda ushaenda!
Hahhah hahha hahah,maskini rejao!
Again mkuu huwezi kumwambia sikutaki tena, bali sababu kosa ni lako you take all the blame na kuonyesha ukweli kwamba its your fault.., kwamba unaona hamuwezi kuwa wote tena..,mazee never tamkia mwanamke sikutaki tena,hatakaa asahau hilo neno hadi kaburini,ujanja ni kumpotezea taratibu without causing much pain,that way siku moja moja mnaweza kuwa mnakumbushiana aisee,kuna ukame ati.
jamani si ndo utaratibu wa mjini,hata nyie kila kukicha si mnatupanga?