Brazilian Pastor arrested...

Brazilian Pastor arrested...

huyu mbona kafanana na wewe ?
11041230_728797690575311_3545231877923478436_n.jpg
 
SHEKH WA MADRASA AWABAKA WATOTO WA MIAKA 7 WANAFUNZI WAKE
Mwalimu wa madrasa ya dini ya kiislam MWANDEGE (PWANI) Mwenye miaka 39 amefikishwa polisi na wazazi wa watoto wawili (majina yanahifadhiwa )kwa kosa la kuwabaka watoto wawili hao pindi walipokuwa wakihudhuria elimu ya dini (Kiislamu) jioni katika eneo la mwandege mkoani pwani.
Wakieleza tukio hilo watoto hao walidai kuwa shekhe huyo alikuwaakiwapeleka kwake na kisha kuanza kwa kuwaingizia vidole katika sehemu zao za siri hadi pale alipohakikisha kuwa njia imeanza kupatikana. Pamoja na maumivu makali waliyokuwa wanayapata walikatazwa kusema kwa wazazi wao kwa madai kuwa endapo wataongea tukio hilo atawasomea DUWA na watakufa hivyo watoto wakakaa kimya.
Kugundulika kwa uovu huo kunatokana na mtoto mmojawao baada ya kutoka madrasa jioni alirudi akidai mamivu makali na tumbo kuuma sana kiasi cha kushindwa kutembea, wakati mama yao akimwogesha ili ampeleke hospital aligundua kuwa mtoto alikuwa ameingiliwa kimwili baada ya kumbana ndipo alipoeleza kuwa ni mwalimu wao wa madrasa kambaka.
baada ya kubaini wazazi walilazimika kuwafikisha polisi watoto hao na kuandikiwa PF3 na walipofikishwa hospital daktari amethibitisha kuwa wameingilia na wameharibiwa sana.
Pamoja na mtuhumiwa kukamatwa Jana jioni kuna taarifa kuwa amepewa dhamana kutoka kituo cha polisi suala ambalo hadi sasa linaibua utata kuwa je mtuhumiwa wa ubakaji anaweza kupewa dhamana na kuwa huru kwa muda Fulani au ni kwa sababu mtuhumiwa anatoka katika familia yenye uwezo?
Wanasheria naomba mawazo yenu ili kumusaidia wazazi hao haki iweze kupatikana maana hajui kipi cha kufanya.
Kwa mawasiliano zaidi piga
 
For Heaven's sake, please stop this madness. Jamani vitu kama hivi ndiyo vinaleta uharibifu wa amani. Siyo wakristu wengi ni wema na kadhalika siyo waislamu wote ni wema.
Wako mapadre, maaskofu, wachungaji na wainjilisti ambao wanafanya uhalifu na wengine hata mauaji. Hii haina maana kuwa wakristu wote wako hivyo! Hata masheikh wako ambao wanafanya vitu vya kiharamia kabisa na haina maana kuwa waislamu wote wako hivyo.
Hivi ukiamua kuconcetrate na dini yako ukaacha kuingilia dini ya wenzako kuna ubaya gani?
 
Back
Top Bottom