technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Naiona kabisa Brazil Au Argentina wakichukua Kombe la Dunia kwasababu moja tu, timu nyingi za Ulaya huwa hazina bahati sana zinapocheza Kombe la Dunia nje ya Ulaya.
Ukindoa hiyo hoja mwaka huu, Brazil wana kikosi kinachokaribia kile cha mwaka 2002 ingawa siyo kwa asilimia kubwa. Pia Argentina ana kikosi cha wapambanaji kama kile cha Maradona cha mwaka 1986.
Pia ukienda na hii rekodi ya 1998 na 2018 Ufaransa, 2002 na 2022 inaweza kuwa Brazil, wakiwa na bahati mwaka huu ni wao.
Mwaka huu moto utawaka, ila natabiri kati ya Brazil au Argentina mmoja atachukua Kombe la Dunia 2022.
Ukindoa hiyo hoja mwaka huu, Brazil wana kikosi kinachokaribia kile cha mwaka 2002 ingawa siyo kwa asilimia kubwa. Pia Argentina ana kikosi cha wapambanaji kama kile cha Maradona cha mwaka 1986.
Pia ukienda na hii rekodi ya 1998 na 2018 Ufaransa, 2002 na 2022 inaweza kuwa Brazil, wakiwa na bahati mwaka huu ni wao.
Mwaka huu moto utawaka, ila natabiri kati ya Brazil au Argentina mmoja atachukua Kombe la Dunia 2022.