Gudasta
JF-Expert Member
- Jan 25, 2011
- 627
- 1,153
Wapenzi wa rnb Leo nilikuwa nikiangalia bahadhi ya tracks za zamani za rnb. Sasa nilipokuwa naangalia hii track ya Boyz ii men hasa sehemu aliyoimba Wanya kuanzia dakika ya 3:25, si kwamba nilivutiwa na huimbaji wake Bali kilichonivutia zaidi ni jinsi anavyoimba kwa hisia za juu kana kwamba ana maumivu makali ya kuachwa na mpenzi wake. Hebu nawe anglia hii track kwa makini then utajua ya kuwa kuna watu wana vipaji vya hali ya juu kwenye uimbaji na wanachoimba ni kama wanakimaanisha.