Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,938
Inakera
Kuishi na mtu mchafu yataka Moyo.
Kuishi na mtu mchafu yataka Moyo.
mbona jamaa yule mchafu ila unauza nae sura mbaya kabisa 🤣🤣🤣Kuishi na mtu mchafu yataka Moyo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] uwanja wa vita
Mpe nyumaNajua mtanitukana na kunisema eti ni kazi ya mwanamke kumuweka mwanaume sawa lakini hapa nimenyanyua mikono, isiwe kesi bora tuachane tu.
Nimekua katika haya mahusiano mwezi wa 8 sasa, mwanzoni nilikua sijamuelewa sana huyu jamaa na tabia yake lakini yamenifika kooni.
I'm not the cleanest person lakini huyu mwanaume ni mchafu jaman. Akioga usiku kabla ya kulala asubuhi haogi. Hata kama nikimsema yani analala na mwanamke usiku asubuhi anaenda kazini hivyo hivyo. Chumba chake ndo kichafu usiseme. Kuna wakati nilisafiri nikaenda mkoa mwingine kama mwezi hivi kurudi chumba hakitamaniki. Nikaona isiwe shida nikamsafishia. Ikawa kila weekend nikienda nasafisha. Nilipata ugeni sikuweza kwenda kwake kwa takribani wiki mbili, mungu wangu siku nilioenda ni kama pamepigwa bomu! Sahani aliolia chakula siku kama 3 zilizopita zipo humo, machupa ya maji, maganda ya ndizi. Hapo kitandani ndo usiseme. Ana jiko na sebule lakini viombo vimejaa chumbani. Yani nikaona hii ni tabia yake.
I can't do this anymore. I'm like his house girl.hata mama hamlei mtoto wake hivi.Mwanaume haambiliki. Nikishauri ajitahidi usafi anasema nampanda kichwani( Male ego).
Sijaenda kwake wiki sasa I know nikienda huko huo uchafu ntakaokutana nao sina hamu.
He's a good guy lakini hii tabia yake imenishinda. Bora yaishe tu.
Kina dada mnaishije na hawa viumbe?. Huyu kanishinda
Uchafu ni tabia
Na tabia ni kama ngozi
ni wajibu wa kila mtu kuwa msafi usisubiri kumpa mzigo mwenzi wako aje akubadili
Pia tuko zama ambazo iwapo ubize unakukwamisha unakua na pesa yako unaitisha mtu ama watu nyumbani kukufanyia usafi walau mara 1 au 2 kwa wiki au 3 angekuja mtu akafua akapasi akadeki akapika akasafisha ndani nje nk
mwanaume mchafu ni mzigo ndani ya ndoa hio tabia itazidi hadi choo akitumia hatoflush
Kama utaweza vumilia endeleeni
Ama mtaftie kijana/binti wa kazi aje kila wiki
Huyo mjuba ni shigidiii🤣🤣🤣 kwa style hio anaweza kunya hata kwenye mfuko akatupa mavi uvunguni kama choo kipo nje.Hahaha simaanishi usafi uzidi hapana. Zile normal ettiques kama kutoa sahani ukila, kutupa uchafu kwenye Dustin, yani vile vitu vya kawaida navyo ni tatizo.
Kijana mwenyewe aweke🤣🤣🤣 uliona wapi mwanamke wa kitanzania anamuwekea boyfriend beki 3 wa kumsafishia magetoni, hebu amka usingizini mkuu hii ni TZ sio India huku🤣🤣🤣
Kiumbe wangu Mimi hatujashindwana bado
Huwezi kuwa smart and then umdate mtu wa hovyo, inawezekana vipi?
#kila mtu na size yake
🤣🤣🤣Darlie nitajirekebisha,umeona uje unisemee kwa greti sinkers[emoji23][emoji23][emoji23]
Ila huyo jamaa utakuta ni mtanashati vibaya mno.Kijana mwenyewe aweke
Binti atoe ushauri tu
Au umekariri mabachelor wote wako ovyo huko wanakoishi?.
Yupi mtanashati?Ila huyo jamaa utakuta ni mtanashati vibaya mno.
Both are true 🤣🤣🤣Hata mimi ananichanganya. Mimi ni mama yake au girlfriend wake? Najiuliza nakosa jibu.
Eeh kwani kuna mwanamke anamkubaliaga mtu asiejua kujikeep smart kwa mavazi na muonekano!?Yupi mtanashati?
Huyu alianzishiwa uzi?.
Ndo umekuja kunitangaza huku JF? sawa bwanaView attachment 1231209
Nani kasema!!? Jamani Kuna wanaume ni wasafi ukiingia ndani kusafi kunanukia kiasi mood inapanda kabla hujaguswa, vitu vipo kwenye mpangilio wenyewe yaani binti unajikuta unawaza "mmh hapa inabidi niwe makini nisije mharibia huyu mtu usafi wake,"....... Kama umeamua kuwa mchafu ni wewe ila wenzenu wasafi wapo nasisitiza wapotufanye kampango sasa, mimi ni msafi.
halafu wanaume hatujaumbiwa usafi, embu acha kumsimanga mwenzio.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wala si bahati, hio inaitwa choosing wisely. Huezi kuokota jitu rough linavuta masigara na mibange au lilevi utegemee kukuta ni safi...never ever!Nina bahati ya kukutana na wanaume smart,yaan wasafiii balaa, yaani mwanaume msafi, sina jeuri kwake coz ndo ugonjwa wangu. Hizo kero nazisikiaga kwa watu.
Mimi siwezi kabisaaaaaaa, siweziKuishi na mtu mchafu yataka Moyo.