Boyfriend wangu ni mchafu sana

Boyfriend wangu ni mchafu sana

Sasa mimi nikupe siri. Kwa asilimia kubwa tuko hivyo. Hilo ni jambo dogo sana,hicho ndio wengi tumekosa, ndio maana mpo wanawake mtusaidie. Vitu kama kufua,kupika,kuosha vyombo ni vitu minor sana kwetu. Kiufupi hatuvizingatii hata kidogo.
[emoji28][emoji38][emoji2] sauti iko poa mkuu,

Wana mchango mkubwa sana ktk swala la usafi kwetu hawa viumbe,, tukishajua mda mwingine tunawazidi mapaka wao dadeq[emoji119]
 
Ukisema wenzenu kwani mimi ni mchafu babe?
Wanaume wengi hatujaumbiwa usafi. Amvumilie ambadilishe taratibu. Mimi pia sifurahishwi na watu wachafu.
I strongly disagree with this statement aisee..
.."wanaume wengi hatujaumbiwa usafi''...

Nakataa kabisa.

Iko hivi... Kuna kuwa dirty....na kuwa rough..

Most men are rough.. Mtu rough is not necessarily dirty na anarekebishika.

Ila Mtu dirty..typical dirty and filthy or ugly pia yuko rough. Habadiliki na ni vigumu kumvumilia.

Mi sio msafii Sana though najitahidi. Sirudii kuvaa Sox Mara mbili..huwezi kuta mguu wangu unatema. Never.

But I'm sometimes rough. Yani wakati mwingine huwa Nina mpangilio mbovu Wa vitu Ila si vichafu.
 
Kama anashindwa/ataki hata kuoga mwili wake huyo kweli ni mchafu na kapitiliza. Lakini mambo ya kutotandika kitanda, sijui kutokudeki, kutoosha vyombo, kutoweka nguo kabatini, nk hiyo siyo shida sana kwa mwanaume.

Wanaume wanaofanya hayo wengi wanajaribu na awafanyi kwa ufasaa, anaweza kuosha sahani aliolia samaki bila hata sabuni.

Lakini pia wengi tunafanya kabla ya kuwaoa kabisa ukishaolewa usitarajie nitafanya moja wapo kati ya hayo.
 
Nashukuru umenisahihisha. Wengi wetu si wachafu ila hatujui kupangilia vitu. Ila huyu wa mleta mada kusema ukweli ni mchafu tu kwa kweli.
Ila ni vitu vinarekebishika
I strongly disagree with this statement aisee..
.."wanaume wengi hatujaumbiwa usafi''...

Nakataa kabisa.

Iko hivi... Kuna kuwa dirty....na kuwa rough..

Most men are rough.. Mtu rough is not necessarily dirty na anarekebishika.

Ila Mtu dirty..typical dirty and filthy or ugly pia yuko rough. Habadiliki na ni vigumu kumvumilia.

Mi sio msafii Sana though najitahidi. Sirudii kuvaa Sox Mara mbili..huwezi kuta mguu wangu unatema. Never.

But I'm sometimes rough. Yani wakati mwingine huwa Nina mpangilio mbovu Wa vitu Ila si vichafu.
 
Unajisifu kutokurudia soksi??
I strongly disagree with this statement aisee..
.."wanaume wengi hatujaumbiwa usafi''...

Nakataa kabisa.

Iko hivi... Kuna kuwa dirty....na kuwa rough..

Most men are rough.. Mtu rough is not necessarily dirty na anarekebishika.

Ila Mtu dirty..typical dirty and filthy or ugly pia yuko rough. Habadiliki na ni vigumu kumvumilia.

Mi sio msafii Sana though najitahidi. Sirudii kuvaa Sox Mara mbili..huwezi kuta mguu wangu unatema. Never.

But I'm sometimes rough. Yani wakati mwingine huwa Nina mpangilio mbovu Wa vitu Ila si vichafu.
 
Naaam....hakika mwanaume akiwa msafi sana kuolewa ni dk 0 tu, mwanaume kua rough ni nature [emoji16],mwanaume anakua na aina 5 za body spray,mafuta kila aina makorokoro kibao..huyo baada ya mda anakua sio mwenzetu tena
@Hazard CFC unaitwa huku.
 
Huyo boy wako hatupishani na mimi, mi ni mchafu pengine hata kumzidi na niko hivyo lakini nina wadada watatu wote wanapigana vikumbo wakitaka niishi nao. Kipindi niko ghetto choo kiko mbali nlikuwa na tabia nanunua mapombe nanywea ghetto nakojoa kwenye chupa za maji naweka uvunguni kipindi hiko dem nae ana ghetto lake akija kwangu anakuta chupa km 10 zimejaa anatoa moja baada nyingine anasafisha ghetto linakuwa saaaafi huyu dem nnae hadi leo na amenpa mtoto, nkapataga dem mwingine wkt naishi ghetto nae nkamuambukiza sbb akawa mlevi km tunanunua wine tunajifungia ghetto tunaweka ndoo mlangoni ya kukojolea, huyu nae hadi leo nnae na amenipa mtoto.
Sasa hivi nina huyu watatu ni msafi sijawahi ona, kila bao lazima aingie bafuni kujisafi ananukia muda wote, baada ya tendo hakuruhusu hadi uoge lkn mi naondoka ivoivo, sivaagi mkanda na soksi ananinunulia soksi na mikanda kila siku, sinunuagi nguo mpya hadi aninunulie yeye. Boxer ndo huwa najali, japo mvivu wa kufua huwa navaa ikichafuka nabadili huwa sifui nanunua nyingine hizi za bei chee.
Akiingia kwenye gari anasema sana gari chafu km ya mzee mi sijali. Mi ni mchafu lkn napendwa hivyohivyo wote hao watatu wanataka ndoa, hizi mvuamvua leo sijaoga siku ya 3 tangu niduu juzi sijaoga! Maisha yanaenda.
Papa mobimbaa eeeh 🤣🤣🤣

Kitu nilichojifunza, upendo wa kweli haujali hali wala mali. Mtu anayekupenda atataka kuwa na wewe na atasawazisha mapungufu yako pasi na kuanza lawama. Mwanamke ambaye analalamika mpenzi wangu this...mpenzi wangu that badala ya ku act against mapungufu yako sidhani kama ni mwenza sahihi.

Ila ushauri wangu punguza kuwa rough, sio sifa ya mtu aliyestaarabika. Haimaanishi mie ni msafi sana ila nimetoa ushauri tu. Siku ukiumwa ukazidiwa ghafla utaiibika.
 
Hahaha huyo nae hajielewi..niaache kukutafuna kwa sababu yakuumwa??

Ungefurahia show na ugonjwa wako ungepona automatically
Unafikiri? Kuna siku mwaka fulani nilikuwa na boyfriend huyo siku tukapanga twende Lodge tukaenda vizuri kufika kule sasa yule kijana kabla hajavua nguo nikapata nafasi ya kuona boxa yake, asalaleeeeeeeeee, ilikuwa nyeupe jinsi ilivyo chafu sasa, nikawaza haraka haraka mbinu gani nitumie ili tusishiriki tendo, nikaanza kuigiza ugonjwa.... Jamani niliumwa ghafla akachanganyikiwa, tukatoka fasta kanirudisha alikonitoa
 
I strongly disagree with this statement aisee..
.."wanaume wengi hatujaumbiwa usafi''...

Nakataa kabisa.

Iko hivi... Kuna kuwa dirty....na kuwa rough..

Most men are rough.. Mtu rough is not necessarily dirty na anarekebishika.

Ila Mtu dirty..typical dirty and filthy or ugly pia yuko rough. Habadiliki na ni vigumu kumvumilia.

Mi sio msafii Sana though najitahidi. Sirudii kuvaa Sox Mara mbili..huwezi kuta mguu wangu unatema. Never.

But I'm sometimes rough. Yani wakati mwingine huwa Nina mpangilio mbovu Wa vitu Ila si vichafu.
Mkuu roughness is 99.999% dirtiness and in a real civilized world anything that is not in its proper place is dirtiness. The other way of saying this is to say roughness is dirtiness.
 
Kuna mdada namjua nilitaka kumtongoza ikabidi niache. Ofisini kwake meza yake akimaliza kula snacks basi kila kitu kitachwa mezani...

Upangiliaji wake wa meza mchafu saana...sijawahi kufika kwake ila nadhani hapaingiliki...siku akawa ananipigia stori za kuachwa achwa na wanaume...nikajua tu huyu kwa huu uchafu nani ataweza kuishi naye.
🤣🤣🤣🤣🤣 kuna kadem kangu flani kaongeaji sana, kabla sijaenda kwake akawa ananikazia ati kwake hawafiki watu. Kako smart kwa muonekano ila nikahisi katakuwa kachafu sana.

Nikajiuliza sana huyu manzi yeye anajiona nani katika hii maisha hadi baharia nisikanyage kwake. Nikawaza au anafuga mtu nini huko ndani!?

Nikaamua kutumia medani za kisiasa nikatua kwake. Nilipofika sikuamini, demu ni msafi wa mwili na mazingira na anajipenda sijapata kuona. Nikilinganisha na alivyo pini aibu niliona mimi maana hadi kitandani hukalii shuka unatengewa kanga kwanza na mto unawekewa kikoi ili usipakwe mafuta toka kichwani.

Viatu vinakaa nje ili visichafue hali ya hewa na unanawishwa miguu kwanza. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mpaka sasa mie ndio nakwepa asije kwangu sasa.
 
Kama kashindikana piga chini mama na umwambie kabisa sababu ni uchafu. Huyo ni mchafu tu toka kuzaliwa maana mwanaume smart ukiweka soksi kwenye kiti halafu girl wako akazitoa na kuziweka panapostahili kesho unatakiwa usirudie kuziweka tena hapo ila only mbumbumbu ndo atarudia.
[emoji109][emoji109][emoji109][emoji109] uchafu au usafi ni tabia.

Baharia nimchafu, Hapo inabidi aoe Mke asokua na kazi.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna kadem kangu flani kaongeaji sana, kabla sijaenda kwake akawa ananikazia ati kwake hawafiki watu. Kako smart kwa muonekano ila nikahisi katakuwa kachafu sana.

Nikajiuliza sana huyu manzi yeye anajiona nani katika hii maisha hadi baharia nisikanyage kwake. Nikawaza au anafuga mtu nini huko ndani!?

Nikaamua kutumia medani za kisiasa nikatua kwake. Nilipofika sikuamini, demu ni msafi wa mwili na mazingira na anajipenda sijapata kuona. Nikilinganisha na alivyo pini aibu niliona mimi maana hadi kitandani hukalii shuka unatengewa kanga kwanza na mto unawekewa kikoi ili usipakwe mafuta toka kichwani.

Viatu vinakaa nje ili visichafue hali ya hewa na unanawishwa miguu kwanza. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mpaka sasa mie ndio nakwepa asije kwangu sasa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nimecheka hapo kwenye kanga na kikoi
 
Najua mtanitukana na kunisema eti ni kazi ya mwanamke kumuweka mwanaume sawa lakini hapa nimenyanyua mikono, isiwe kesi bora tuachane tu.
Nimekua katika haya mahusiano mwezi wa 8 sasa, mwanzoni nilikua sijamuelewa sana huyu jamaa na tabia yake lakini yamenifika kooni.
I'm not the cleanest person lakini huyu mwanaume ni mchafu jaman. Akioga usiku kabla ya kulala asubuhi haogi. Hata kama nikimsema yani analala na mwanamke usiku asubuhi anaenda kazini hivyo hivyo. Chumba chake ndo kichafu usiseme. Kuna wakati nilisafiri nikaenda mkoa mwingine kama mwezi hivi kurudi chumba hakitamaniki. Nikaona isiwe shida nikamsafishia. Ikawa kila weekend nikienda nasafisha. Nilipata ugeni sikuweza kwenda kwake kwa takribani wiki mbili, mungu wangu siku nilioenda ni kama pamepigwa bomu! Sahani aliolia chakula siku kama 3 zilizopita zipo humo, machupa ya maji, maganda ya ndizi. Hapo kitandani ndo usiseme. Ana jiko na sebule lakini viombo vimejaa chumbani. Yani nikaona hii ni tabia yake.

I can't do this anymore. I'm like his house girl.hata mama hamlei mtoto wake hivi.Mwanaume haambiliki. Nikishauri ajitahidi usafi anasema nampanda kichwani( Male ego).
Sijaenda kwake wiki sasa I know nikienda huko huo uchafu ntakaokutana nao sina hamu.
He's a good guy lakini hii tabia yake imenishinda. Bora yaishe tu.

Kina dada mnaishije na hawa viumbe?. Huyu kanishinda
Naomba nisikize kidogo, kamama.

Mtu akiishi na jambo la aina moja na routine hiyo kuanzia siku 21, inakuwa ndio tabia yake. So ukitaka abadilike mzoeshe tabia au routine kwa siku 21.

Dont loose him, upo katika nafasi ya kumsaidia, huwezi jua life la aina gani aliishi, kampany alizokuwa nazo, alikuwa nani before, pia labda alijisusa akaamua ku survive tu. Sasa kwa vile umesha mfahamu ndio njia nzuri ya kumsaidia

Mara nyingi watu wakifika katika mabiliko ya kurekebishwa jambo baya, ile aibu wanaificha kutumia komand au ego, plus ukali, trust anaona aiba na ana jishtukia hiyo life nawe unavyo mwambia.

Kumbuka, changes ni ngumu, hata wew jiulize mambo mangapi ulijaribu kubadilisha au tabia kuiacha, umeona ilivyo ngumu, so go easy on him .

Shirikiana naye, slowly tu. Usichoke, mzoeshe mazingira safi sana, yaaan kuanzia asubuh, mchana, usiku akae sehem safi, harufu safi, muonekano safi, hapo subconscious mind una iprogram upya na itapata mapokeo mazuri na taanza penda life hilo, hata kutoona uvivu kuokota kijiko chini

Mpende huyo mwana, kuwa source ya mabadiliko chanya katika maisha yake, huwe kama malaika kwake. Kuwa na moyo wa chuma, uliojaaa upendo, trust me atabadilika.

KUNA GUYS WANAVUTA MASIGILA.

yaan time yote ananuka sigara, na kitu anacho fanya yeye asikii harufu hiyo, maana amezoea ila mkewe anaisikia, mke kaimbaaa weeee, kaongeaaa, jamaaa mbishiiii, but matter of time mchizi akivuta masigara ana uliza vipi harufu bado ipo?? Hapo kaanza badilika, so ukienda taratibu itafika muda, akijua unakuja tu, atakurupuka safisha geto pawe poa, slow mtengeneze bana.
Dont Give up on Him.
 
Najua mtanitukana na kunisema eti ni kazi ya mwanamke kumuweka mwanaume sawa lakini hapa nimenyanyua mikono, isiwe kesi bora tuachane tu.
Nimekua katika haya mahusiano mwezi wa 8 sasa, mwanzoni nilikua sijamuelewa sana huyu jamaa na tabia yake lakini yamenifika kooni.
I'm not the cleanest person lakini huyu mwanaume ni mchafu jaman. Akioga usiku kabla ya kulala asubuhi haogi. Hata kama nikimsema yani analala na mwanamke usiku asubuhi anaenda kazini hivyo hivyo. Chumba chake ndo kichafu usiseme. Kuna wakati nilisafiri nikaenda mkoa mwingine kama mwezi hivi kurudi chumba hakitamaniki. Nikaona isiwe shida nikamsafishia. Ikawa kila weekend nikienda nasafisha. Nilipata ugeni sikuweza kwenda kwake kwa takribani wiki mbili, mungu wangu siku nilioenda ni kama pamepigwa bomu! Sahani aliolia chakula siku kama 3 zilizopita zipo humo, machupa ya maji, maganda ya ndizi. Hapo kitandani ndo usiseme. Ana jiko na sebule lakini viombo vimejaa chumbani. Yani nikaona hii ni tabia yake.

I can't do this anymore. I'm like his house girl.hata mama hamlei mtoto wake hivi.Mwanaume haambiliki. Nikishauri ajitahidi usafi anasema nampanda kichwani( Male ego).
Sijaenda kwake wiki sasa I know nikienda huko huo uchafu ntakaokutana nao sina hamu.
He's a good guy lakini hii tabia yake imenishinda. Bora yaishe tu.

Kina dada mnaishije na hawa viumbe?. Huyu kanishinda
Ndo umeamua kuja kunianika hapa? Kumbuka ulinipenda na uchafu wangu hivi hivi!
 
Huyo boy wako hatupishani na mimi, mi ni mchafu pengine hata kumzidi na niko hivyo lakini nina wadada watatu wote wanapigana vikumbo wakitaka niishi nao. Kipindi niko ghetto choo kiko mbali nlikuwa na tabia nanunua mapombe nanywea ghetto nakojoa kwenye chupa za maji naweka uvunguni kipindi hiko dem nae ana ghetto lake akija kwangu anakuta chupa km 10 zimejaa anatoa moja baada nyingine anasafisha ghetto linakuwa saaaafi huyu dem nnae hadi leo na amenpa mtoto, nkapataga dem mwingine wkt naishi ghetto nae nkamuambukiza sbb akawa mlevi km tunanunua wine tunajifungia ghetto tunaweka ndoo mlangoni ya kukojolea, huyu nae hadi leo nnae na amenipa mtoto.
Sasa hivi nina huyu watatu ni msafi sijawahi ona, kila bao lazima aingie bafuni kujisafi ananukia muda wote, baada ya tendo hakuruhusu hadi uoge lkn mi naondoka ivoivo, sivaagi mkanda na soksi ananinunulia soksi na mikanda kila siku, sinunuagi nguo mpya hadi aninunulie yeye. Boxer ndo huwa najali, japo mvivu wa kufua huwa navaa ikichafuka nabadili huwa sifui nanunua nyingine hizi za bei chee.
Akiingia kwenye gari anasema sana gari chafu km ya mzee mi sijali. Mi ni mchafu lkn napendwa hivyohivyo wote hao watatu wanataka ndoa, hizi mvuamvua leo sijaoga siku ya 3 tangu niduu juzi sijaoga! Maisha yanaenda.7
Sorry mkuu ukweli ni kwamba wewe sio mchafu bali una upungufu wa akili haiwezekani ukojoe kisha uweke mkojo ndani,umeandika siku tatu hujaoga hapo harufu kama mbuzi dume kwa kweli baadhi ya wanawake wana huruma Sana 😃😃
 
Back
Top Bottom