Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Umetumiwa zawadi gani mwanajf...mimi nimepokea "........ ..." happy boxing day!
Heart Zawadi inatakiwa uwe nayo tangu jana,leo ni siku ya KUZIFUNGUA tu sio kupeana zawadi, km hukupewa jana we imekula kwako, ngoja X-Mass ya 2012.Tunajua umetumiwa boxer au chupi...iangalie vizuri kama haijatoboka :tongue:.....mi thijaletewa bado ndo nathubiliaaa..
Ulikuwa na nani? Toa ufafafuzi aiseemi nilikuwa Nashela Hotel moro leo ndio nimeamka sasa hivi full mi hangover...
Heart Zawadi inatakiwa uwe nayo tangu jana,leo ni siku ya KUZIFUNGUA tu sio kupeana zawadi, km hukupewa jana we imekula kwako, ngoja X-Mass ya 2012.
Pole.
Mkuu Je wewe UMETUMA zawadi gani?
Pole Jeji... wewe kama mimi. Ila angalau nimefurahia kutoa zawadi, na hiyo furaha ni zawadi tosha kwangu.jana nimetoa zawadi, lakini mimi sijabahatika kupewa.