"Mweuoe" ndio nini ewe mtu mweusi (shithole) ?
Hujui alichomaanisha Trump sio uchafu wa mto wala mwili, uchafu anaosema...ni..Naona umeamua kutukana wazazi wako waliokuzaa
Sijui umri wako au wa wazazi wako hebu uliza wazazi walipozaliwa walikuwa wakijisaidia kwenye Pot au walivalushwa pampasi si walikunya miguuni kwa wazazi wao wachafu? Na uchafu wao wewe umefika hapo ulipo mwehu wewe .India kuna MTO mchafu umejaa vinyesi unaitwa MTO Ganges vinyesi vinaelea lakini kila mwaka mabilioni ya wahindi toka india na duniani kote huenda kuhiji na kuoga kwenye huo MTO wanaoita mtakatifu uliojaa vinyesi.ukiuliza mbona mchafu watakwambia MTO mtakatifu hauwezi kuwa mchafu ukiwauliza hamuwezi pata magonjwa kama kipindi pindu nk wanakwambia MTO mtakatifu hauwezi kukupa maradhi wanaoga na kuzama kwa raha zao.Donald Trump aheshimu watu wengine wawe wasafi au wachafu as long as they are human beings they need respect not only from Donald trump but from anybody on earth including you bwege
Mweupe ni asshole"Mweuoe" ndio nini ewe mtu mweusi (shithole) ?
Naona unanitajia rasimali na maliasili tulizonazo watanzania.Kumbe kweli we we upon gizani. Tanzania tuna vitu na vumbuzi za kujivunia. Kwanza chanjo ya Malaria ilinguduliwa katika kituo cha utafiti Ifakara - Moro, WHO waligoma kutupa hati miliki wamerika wakaichukua na wakajifanya wameigundua wao tena wakaibadilisha ili tuamia haifanyi kazi pia kumbuka Mradi wa mbu Jangwani na Muhimbili ilikuwa ni majaribio mbu walikuwa wengi. 2. Uvumbuzi wa viazi lishe venye vitamin A nyingi baada ya Sirikali kusutukia chanjo ya matone. 3. Tanzanite nipo Tanzania tu, mbona wanai-disvalue. 4. Vyura wa Kihasi - Moro wamerikani walichukua baadhi kwenda na US kisha walipozaa aliwarudisha lakini walikuwa wana magonjwa ili vyura wote wafe pale Kihasi wabakie Marekani tu. Wataalamu wetu waligundua na walizibiti magonjwa hayo. Kumbuka vyura wa Kihasi wanazaa na wanpatikana Tanzania tu. Labda kwa sasa na Marekani. 4. Uranium, kwa miaka kumi na ushee hivi kulikuwa na mradi fulani wa UKIMWI mikoa ya Mbeya, Iringa na Ruvuma. Mradi huo uliongozwa na Marekani, walikuwa wanchunguza Uranium. Marekani ajenge barabara toka Ruvuma hadi Mtwara bure. 5. Serengeti hakuna hifadhi duniani yenye wanyama mbalimbali kama serengeti. 6. Mt. Kilimanjaro is only highest free stand mountain in the world. Maana yake unapanda mpaka juu bila kutumia kamba. 7. Uvumbuzi wa panya watengua mabomu toka pale Moro mbona wazungu wapo kimya. 8. Uvumbuzi wa M-pesa wazungu hawaupendi kabisa wanauzuia usiingie kwao wao wanakazania ATM card na electron card mbalimbali kwa nini wasichukua M-Pesa. Ndio maana tuwe makini na Bitcoin. Hii inakuja kufanya mtikisiko wa Uchumi wa Dunia baadaye. 9. Nembo ya Taifa. Tanzania pekee ndiyo nchi ambayo kwenye nembo yake kuna mwanaume na mwanamke. Nchi nyingine ni wanyama au mimea tu kwenye nembo zao za Taifa. TAFAKARI.
Kumbe kweli we we upon gizani. Tanzania tuna vitu na vumbuzi za kujivunia. Kwanza chanjo ya Malaria ilinguduliwa katika kituo cha utafiti Ifakara - Moro, WHO waligoma kutupa hati miliki wamerika wakaichukua na wakajifanya wameigundua wao tena wakaibadilisha ili tuamia haifanyi kazi pia kumbuka Mradi wa mbu Jangwani na Muhimbili ilikuwa ni majaribio mbu walikuwa wengi. 2. Uvumbuzi wa viazi lishe venye vitamin A nyingi baada ya Sirikali kusutukia chanjo ya matone. 3. Tanzanite nipo Tanzania tu, mbona wanai-disvalue. 4. Vyura wa Kihasi - Moro wamerikani walichukua baadhi kwenda na US kisha walipozaa aliwarudisha lakini walikuwa wana magonjwa ili vyura wote wafe pale Kihasi wabakie Marekani tu. Wataalamu wetu waligundua na walizibiti magonjwa hayo. Kumbuka vyura wa Kihasi wanazaa na wanpatikana Tanzania tu. Labda kwa sasa na Marekani. 4. Uranium, kwa miaka kumi na ushee hivi kulikuwa na mradi fulani wa UKIMWI mikoa ya Mbeya, Iringa na Ruvuma. Mradi huo uliongozwa na Marekani, walikuwa wanchunguza Uranium. Marekani ajenge barabara toka Ruvuma hadi Mtwara bure. 5. Serengeti hakuna hifadhi duniani yenye wanyama mbalimbali kama serengeti. 6. Mt. Kilimanjaro is only highest free stand mountain in the world. Maana yake unapanda mpaka juu bila kutumia kamba. 7. Uvumbuzi wa panya watengua mabomu toka pale Moro mbona wazungu wapo kimya. 8. Uvumbuzi wa M-pesa wazungu hawaupendi kabisa wanauzuia usiingie kwao wao wanakazania ATM card na electron card mbalimbali kwa nini wasichukua M-Pesa. Ndio maana tuwe makini na Bitcoin. Hii inakuja kufanya mtikisiko wa Uchumi wa Dunia baadaye. 9. Nembo ya Taifa. Tanzania pekee ndiyo nchi ambayo kwenye nembo yake kuna mwanaume na mwanamke. Nchi nyingine ni wanyama au mimea tu kwenye nembo zao za Taifa. TAFAKARI.
Kwani ni uwongo mkuu?![]()
Kungekua na maraisi watano kama wa botswana TRUMP angonyooka na kuona waafrika wa sasa sio wale waliochukuliwa utumwa
Huwezi kuziita Africana country "shithole" halafu baadhi ya maraisi wanakaa kimya yaani kwa kiswahili cha kawaida "nchi za africa ni shimo la choo" huyu TRUMP lazima apimwe akili
Truth is not racismametutukana sana aisee, hakutakiwa kutufananisha kwa namna hiyo, pamoja na kwamba kwakweli sijaumia moyoni kwasababu alichokisema ni kama amewakilisha 90% ya kile wazungu wanachofikiria mioyoni mwao isipokuwa tu hawawezi kutamka. pia kama ulishaishi ulaya kidogo, kiuchumi, haki za binadamu etc hakika hata kama wewe ni mweusi unaweza kuwa na mawazo kama ya trump. Ulaya tukio la Lisu tu lingeshugulikiwa hadi kila mtu angeona limeshughulikiwa, mfano ukimwuliza Tundu Lisu leo aongee juu ya Tanzania kwa yale yaliyomkuta unafikiri atasemaje?...risasi zote zile, africa nchi nyingi watu wanaonewa, wananyimwa furaha na amani,...amano wanayo barabarani lakini moyoni wanaugulia, wana uchungu kumbe hawajui wanakufa kwa presha na magonjwa mbalimbali kwasababu amani mioyoni hamna, na viongozi wengi wamenyima raia amani na furaha. wababe tu wenye pesa ndio wanaishi kufurahia matunda, ...angalia kwamfano more than 10,000/= civil servants wamefukuzwa kazi kwa matatizo ya vyeti lakini kuna mtu mmoja ambaye nchi nzima na dunia nzima inawasiwasi na vyeti vyake lakini hajawahi hata kuundiwa tume tu...nchi gani ya kistaarabu inaweza kufanya hivyo?...kinachomponza Trump ni kwamba huwa anasema ukweli toka moyoni siku zote ile hekima ya kumezea mate ili usiumize mioyo ya wengine huwa hana ila siku zote huwa anasema ukweli au ni kuwakilisha nini wamarekani au wazungu walio wengi wanavyofikiria. sensa ya wazungu ingechukuliwa kwa kile wanachowaza mioyoni mwao, hakika utashangaa kuona Trump ndio ameongea kwa ustaarabu zaidi wengine wangetukana tusi kubwa zaidi.
TRUTH IS NOT RACISM.
Yani mkuu umemaliza kila kitu.Bila kusahau watu wanasema mikutano ya Siasa imezuiwa lakini wao kila uchwao wanafanya tena waziwazi mtu ukisema unaambiwa wewe mchochezi. Pesa zinatumika hovyo hazipitii bungeni zinaenda kujenga viwanja vya ndege sehemu ambayo utakua ni hasara tu lakini ukisema inaitwa wewe sio mzalendo.ametutukana sana aisee, hakutakiwa kutufananisha kwa namna hiyo, pamoja na kwamba kwakweli sijaumia moyoni kwasababu alichokisema ni kama amewakilisha 90% ya kile wazungu wanachofikiria mioyoni mwao isipokuwa tu hawawezi kutamka. pia kama ulishaishi ulaya kidogo, kiuchumi, haki za binadamu etc hakika hata kama wewe ni mweusi unaweza kuwa na mawazo kama ya trump. Ulaya tukio la Lisu tu lingeshugulikiwa hadi kila mtu angeona limeshughulikiwa, mfano ukimwuliza Tundu Lisu leo aongee juu ya Tanzania kwa yale yaliyomkuta unafikiri atasemaje?...risasi zote zile, africa nchi nyingi watu wanaonewa, wananyimwa furaha na amani,...amano wanayo barabarani lakini moyoni wanaugulia, wana uchungu kumbe hawajui wanakufa kwa presha na magonjwa mbalimbali kwasababu amani mioyoni hamna, na viongozi wengi wamenyima raia amani na furaha. wababe tu wenye pesa ndio wanaishi kufurahia matunda, ...angalia kwamfano more than 10,000/= civil servants wamefukuzwa kazi kwa matatizo ya vyeti lakini kuna mtu mmoja ambaye nchi nzima na dunia nzima inawasiwasi na vyeti vyake lakini hajawahi hata kuundiwa tume tu...nchi gani ya kistaarabu inaweza kufanya hivyo?...kinachomponza Trump ni kwamba huwa anasema ukweli toka moyoni siku zote ile hekima ya kumezea mate ili usiumize mioyo ya wengine huwa hana ila siku zote huwa anasema ukweli au ni kuwakilisha nini wamarekani au wazungu walio wengi wanavyofikiria. sensa ya wazungu ingechukuliwa kwa kile wanachowaza mioyoni mwao, hakika utashangaa kuona Trump ndio ameongea kwa ustaarabu zaidi wengine wangetukana tusi kubwa zaidi.
Tanzania pyu pyu pyuuKwani ni uwongo mkuu?
1. Zimbabwe Rais katolewa kwa nguvu
2. Rwanda, Burundi
3. Uganda wapipisha kisheria juzi Kati
4. Kenya wanataka kuapisha marais 2
5. Kongo hawataki kuachia madaraka
6. South Rais kajenga kijiji
7. Tanzania nisiseme tu jamani
Mkuu sisi mbona katusifu jamani amna kitu sisi mkuu
AFRICAN COUNTRIES ARE SHIT HOLESYani mkuu umemaliza kila kitu.Bila kusahau watu wanasema mikutano ya Siasa imezuiwa lakini wao kila uchwao wanafanya tena waziwazi mtu ukisema unaambiwa wewe mchochezi. Pesa zinatumika hovyo hazipitii bungeni zinaenda kujenga viwanja vya ndege sehemu ambayo utakua ni hasara tu lakini ukisema inaitwa wewe sio mzalendo.
Watu wanaokotwa baharini wamefungwa kwenye viroba,hakuna uchunguzi wowote unaoendelea. Mwananchi kusema maisha magumu ni kosa (vyum a vimekaza) kiongozi anakutishia jela.
Halafu watu wakiambiwa ukweli wanalalama,mnalalama nini!? Ukweli ndo huo,na ukweli kila siku lazima uume.
Natamani kukutukana tusi baya sanaNi kweli Waafrika ni watu wachafu sana.
Usifosi kutafuna muwa kwa mata.ko, nchi nyingi tu hazijagundua chochote na zinasonga, talanta haifosiwi. Usitake kudhalilisha waafrika kisa hawajagundua kitu, unafikiri nchi zote zilizomo katika list ya developed countries zimefanya ugunduzi? Jithamini mwana, kwasababu kutojikubali na kukubali kudharauliwa hakukubadilishi kuwa mzunguNaomba majibu. Hivi africans tuna jambo lipi ambalo tumeligundua na tunaweza tukatunisha kifua mbele ya jamii za kimataifa kwamba sisi waafrika ni wanzilishi wa jambo hili