Botswana waichana live USA

Nitasema tena ana MENTAL ILLNESS maana kiongozi wa taifa kubwa kama lile hawezi kuwa na maneno ya uwendawazimu!
Binadamu Mwenye akili zake timamu huwa anaongea kwa hekima na ufahamu!
Lakini nisamehe kama kwa upande wako unaona ni sawa mtu kuwa hivyo kwani watu tunatofautiana katika mambo ya ustaarabu!
BUSARA NI MUHIMU!
Na mimi nina amini marekani pia ilikuwa kwenye shithole wakatafuta njia wakatoka na sisi AFRICA pia tutapata njia tutatoka tu!
Kwani civilization ilianza wapi?
Naomba umsome MANSA MUSA OF MALI....usijichimbie kaburi na kujidharau na kuto kujiamini kiasi hicho!
Rome was not built in a day, have faith!
Wewe sio MAVI!
 
Naomba majibu. Hivi africans tuna jambo lipi ambalo tumeligundua na tunaweza tukatunisha kifua mbele ya jamii za kimataifa kwamba sisi waafrika ni wanzilishi wa jambo hili
Kuminya demokrasia na utawala wa sheria
 
Ukitaka kujua waafrika ni wachafu, nenda dsm utaona inavyonuka very true Trump Ila ukweli unauma Sana , Kigali pekee ndio nàona angalau kidogo
Uchafu anaosema yy siyo tu wa miili na mazingira,
Uchafu wa akili
Uchafu wa masuala ya kijamii
Uchafu wa kukosa ustaarabu
Uchafu wa kukosa imani
Uchafu wa kutojitambua na kujisumamia
Nk nk
 
Mkuu we na familia yako labda ndio shithole.
 
Najiskia afueni Kidogo Where is AU? Thank you Botswana! I can't thank you enough!

The AU must call extraordinary meeting to condemn these remarks! Whera are you KAGAME?
 
Naomba majibu. Hivi africans tuna jambo lipi ambalo tumeligundua na tunaweza tukatunisha kifua mbele ya jamii za kimataifa kwamba sisi waafrika ni wanzilishi wa jambo hili
Kukuza shafti
 
Ni lazima tukubali kwanza kuwa watu weusi ni Wajinga ili tuanzie hapo mikakati ya kuondoa huo ujinga.

Ni sababu zipi zinaweza kuthibitisha kuwa waafrika si wajinga kwa kujilinganisha na wazungu au wa asia.?
Kabisa,usipokubali pungufu lako hauwezi kuliondoa
 
Trump amesama ukweli ila aibu ni viongozi wetu mpaka sasa nchi yetu miaka 50+ baada ya uhuru.....tunahimiza watu kua na vyoo eti "nyumba ni choo" kwenye t.v. na radio.......tunaambiwa kunawa mikono baada ya kutoka chooni duh eti a wamu ya 1,2,3,4,5 mafanikio sufuri shule za msingi hazina toilets na running water eti elimu bure nauchafu wote huo.
 
Ni lazima tukubali kwanza kuwa watu weusi ni Wajinga ili tuanzie hapo mikakati ya kuondoa huo ujinga.

Ni sababu zipi zinaweza kuthibitisha kuwa waafrika si wajinga kwa kujilinganisha na wazungu au wa asia.?
Siasa imekatazwa nowdays. Am holding my comments
 
Shithole na asshole ipi ni mbaya
 
Kweli nimepita soko la mabibo jioni hii harufu kali sana.
 
Umesema kweli
Katika maisha hakuna kitu kibaya kama kujidharau!
Mwendawazimu yule mzee!
 
Wafrika bhana. Mnapenda kukuza mambo.

Sisi huku Tz hatuwez sema kitu. Tumesha zoea hata kutukanwa na viongozi wetu. Soo tumesha zoea
 
"...Wahamiaji kutoka Africa, Haiti na El Salvador ni wachafu... kwanini Marekani ipoteze hela nyingi kusaidia watu wanaotoka dampo!?..." Don Trump

Huu ni muendelezo wa matamshi tata ya Trump dhidi ya Africa na jamii ya watu weusi, tukirejea wakati ule wa kampeni ya Urais wa Marekani Bwanyenye Trump alisema waziwazi bila kumung'unya maneno na kupepesa macho kwamba Africa inapaswa kutawaliwa kikoloni kwa mara nyingine na sababu kuu aliyoitoa ni kwamba utawala katika mataifa mengi ya Africa yanashindwa kuheshimu sheria (katiba) zilizowekwa kisheria. Kwa kauli hiyo viongozi wa mataifa ya Africa "walifyata" kimya.

Trump huyu huyu alisha toka matamshi ya dhihaka kwa watu weusi kana kwamba ni wavivu na wapenda ngono na hapa Africa tulikaa kimyaa.
Hivyo basi naona hata hiyo kauli ya 'uchafu' litafumbiwa macho na mdomo na viongozi wetu wa Africa,

Nisiwachoshe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…