Katiba ya marekani ni ya 1787 mpaka leo wanatumia hiyo hiyo. Angazia bara la Afrika ndo upate kujuw kwa nini wa afrika hatufanani na binadamu. Angalizia hapo jirani yetu Zimbabwe, mzee wa 93 et ndo rais. Kabisa!!!!Matendo yapi hayo?
Kuna nchi Afrika zimeshtuka kimawazo,na kuna nchi zimelala kimawazo,moja katika nchi zilizoamka ni pamoja na nchi ya Botswana,na katika nchi zilizolala kimawazo ni nchi kama majirani zetu Kenya na Rwanda
Sio siku nyingi zilizopita raisi wa marekani alitanganza kuwa Jerusalem ni mji mkuu wa Israel,nchi nyingi zilipinga hatua hiyo,lakini Kenya na Rwanda zilikubaliana na Trump...
Tukumbuke Kenya vile vile ilikuwa inaunga mkono utawala wa ubaguzi wa rangi(Apatheid) Afrika Kusini....
Trump katika siasa zake zinaohusu uhamiaji,kauliza kwanini nchi zenye watu wachafu kama makalio, kakusudi watu wa Afrika ikiwemo Kenya,Rwanda na Haiti kwanini wanakuja kuishi marekani..?
Botswana imechukuwa hatua ya kumrejesha balozi wake nyumbani,ni hatua nzuri sana kwa watu wanojijua,kama nchi za Afrika zitaiga mfano wa Botswana basi dunia itaziheshimu nchi za Afrika
Je Tanzania tutasubutu kama walivyofanya Botswana....?
Habari kutoka BBC
View attachment 673985
Serikali ya Botswana imemshutumu Rais wa Marekani kwa kusema mataifa ya Afrika ni "machafu" na kusema tamko lake rais huyo ni la kukosa kuwajibika, la kukera na "ubaguzi wa rangi".
Bw Trump alisema hayo alipokuwa akizungumzia sera ya uhamiaji ya Marekani, ambapo alisema anafikiti watu kutoka Haiti, El Salvador na nchi za Afrika hawafai kuruhusiwa kuingia kama wahamiaji Marekani.
Botswana imesema kupitia taarifa kwamba imemwita balozi wa Marekani nchini humo kufafanua iwapo Marekani inachukulia taifa hilo la kusini mwa Afrika kama "taifa chafu" na taifa la mabwege.
Taarifa hiyo ya Botswana imesema tamko la Trump ni la kukosea heshima taifa ambalo lina urafiki wa kufana na uhusiano wa kibalozi.
Botswana imeitaka jumuiya ya kiuchumi ya nchi za kusini mwa Afrika Sadc pamoja na Umoja wa Afrika kushutumu tamko hilo la Trump.
Bw Trump kwenye Twitter hata hivyo amejitetea na kusema hakutumia maneno hayo, lakini akasema aliyoyasema yalikuwa na "lugha kali".
Msemaji wa Umoja wa Mataifa amesema tamko hilo la Trump ni la kushangaza, la aibu na la ubaguzi wa rangi.
Rupert Colville amesema: "Iwapo yatathibitishwa, matamshi haya ni ya kushangaza na ya aibu sana kutoka kwa rais wa Marekani, nasikitika kwamba hakuna maneno mengine ya kueleza hili ila kusema kwamba ni ubaguzi wa rangi.
View attachment 673970
Unasukumizwa hogo ww ndo maana unasapoti mashoga wenzio wenye pua za nguruwe akina trump and the likes,stupid hamia huko huko unatuchafua na shombo zakoUkiwa unaingizwa muhogo wewe unafikiri ni kila mtu ewe shithole?
Waafrika ni wachafu sana...wengine mnanuka.
Kama tu yule anayelala wazo??Trump anajulikana kwa tabia zake, kauli zake na mambo yake ya kukurupuka ovyo...
Atakalo amka nalo ndiyo hilo hilo...
Cc: mahondaw
Hahaha...siku zote kutukana namna hii katika discussion kunajustify umaaluni wa kukosa hoja au kuzidiwa hoja.Unasukumizwa hogo ww ndo maana unasapoti mashoga wenzio wenye pua za nguruwe akina trump and the likes,stupid hamia huko huko unatuchafua na shombo zako
Nenda kwa shithole mwenzako trump akutawaze huko kwa buttacks,ukiwa safi urudi kuchangia usafi.Hahaha...siku zote kutukana namna hii katika discussion kunajustify umaaluni wa kukosa hoja au kuzidiwa hoja.
Bila shaka na wewe ni mchafu.. shithole ndio mana unatokwa povu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wapo watanzania wengi wanafurahia na kutetea kuitwa shit holes.Kujikomboa toka kwenye Utumwa wa kifikra ni kazi kwelikweli.Roho ya Nyerere iko wapi jamani?
Africans like u are shitholes...!Nenda kwa shithole mwenzako trump akutawaze huko kwa buttacks,ukiwa safi urudi kuchangia usafi.
Nonsense arguments
Kitoto cha shithole,pig noseAfricans like u are shitholes...!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umenena vyema ndugu yangu!Wapo watanzania wengi wanafurahia na kutetea kuitwa shit holes.Kujikomboa toka kwenye Utumwa wa kifikra ni kazi kwelikweli.
Wapo watanzania wengi wanafurahia na kutetea kuitwa shit holes.Kujikomboa toka kwenye Utumwa wa kifikra ni kazi kwelikweli.
ulimwona akiwa hatumii?Ulimwona akitumia?
Sema mkuu umezidisha tusi,Kuna nchi Afrika zimeshtuka kimawazo,na kuna nchi zimelala kimawazo,moja katika nchi zilizoamka ni pamoja na nchi ya Botswana,na katika nchi zilizolala kimawazo ni nchi kama majirani zetu Kenya na Rwanda
Sio siku nyingi zilizopita raisi wa marekani alitanganza kuwa Jerusalem ni mji mkuu wa Israel,nchi nyingi zilipinga hatua hiyo,lakini Kenya na Rwanda zilikubaliana na Trump...
Tukumbuke Kenya vile vile ilikuwa inaunga mkono utawala wa ubaguzi wa rangi(Apatheid) Afrika Kusini....
Trump katika siasa zake zinaohusu uhamiaji,kauliza kwanini nchi zenye watu wachafu kama makalio, kakusudi watu wa Afrika ikiwemo Kenya,Rwanda na Haiti kwanini wanakuja kuishi marekani..?
Botswana imechukuwa hatua ya kumrejesha balozi wake nyumbani,ni hatua nzuri sana kwa watu wanojijua,kama nchi za Afrika zitaiga mfano wa Botswana basi dunia itaziheshimu nchi za Afrika
Je Tanzania tutasubutu kama walivyofanya Botswana....?
Habari kutoka BBC
View attachment 673985
Serikali ya Botswana imemshutumu Rais wa Marekani kwa kusema mataifa ya Afrika ni "machafu" na kusema tamko lake rais huyo ni la kukosa kuwajibika, la kukera na "ubaguzi wa rangi".
Bw Trump alisema hayo alipokuwa akizungumzia sera ya uhamiaji ya Marekani, ambapo alisema anafikiti watu kutoka Haiti, El Salvador na nchi za Afrika hawafai kuruhusiwa kuingia kama wahamiaji Marekani.
Botswana imesema kupitia taarifa kwamba imemwita balozi wa Marekani nchini humo kufafanua iwapo Marekani inachukulia taifa hilo la kusini mwa Afrika kama "taifa chafu" na taifa la mabwege.
Taarifa hiyo ya Botswana imesema tamko la Trump ni la kukosea heshima taifa ambalo lina urafiki wa kufana na uhusiano wa kibalozi.
Botswana imeitaka jumuiya ya kiuchumi ya nchi za kusini mwa Afrika Sadc pamoja na Umoja wa Afrika kushutumu tamko hilo la Trump.
Bw Trump kwenye Twitter hata hivyo amejitetea na kusema hakutumia maneno hayo, lakini akasema aliyoyasema yalikuwa na "lugha kali".
Msemaji wa Umoja wa Mataifa amesema tamko hilo la Trump ni la kushangaza, la aibu na la ubaguzi wa rangi.
Rupert Colville amesema: "Iwapo yatathibitishwa, matamshi haya ni ya kushangaza na ya aibu sana kutoka kwa rais wa Marekani, nasikitika kwamba hakuna maneno mengine ya kueleza hili ila kusema kwamba ni ubaguzi wa rangi.
View attachment 673970