Mawazo yako ni mawazo ya kila mwafika asiejifahamu,Trump lazima asusiwe leo kawatukana wafrika hujui kesho atafanya nini waafrika....
Heshima haiji wenyewe kaka,unatakiwa ujiheshimu kwanza ndio utaheshimiwa,mimi sizungumizii siasa za ndani ya Tanzania.
Ninachomini mimi kama watanzania wanajijua Serikali asingelifanya inachofanya,leo hii watanzania waingie mitaani,wafanye maandamano ya kupinga vitendo vinavyofanywa na serikali na amini serikali itakaa sawa,naamini serikali itawasikiliza...
Juzi tu Tunisia wananchi wameingia mitaani ,wameandamana kupinga kifo cha mtoto kilichotokea Polisi,nchi nzima imeandamna kupinga udhalimu wa Polisi,watunisia wamefanya hivyo kwasababu wanajiheshimu hawataki kuonewa...
Tanzania watu wanapotea,wengine wanakotwa pwani ufukweni,Mbunge anapigwa risasi mchana kweupe,watanzania hawajafanya chochote,kwasabu hawana heshima,hawajiheshimu,hawajui thamani ya utu wao,usingumzie heshima kaka,kama hujiheshimu hamna atakaekuheshimu...
Lazima upingekwavitendo kuwa hutaki kuonewa ndio heshima itakuja,kama hupingi kile unachofanyiwa hata kikiwa kibaya maana unapenda ufanyiwe unachofayiwa.....
Kama Trump hajafundishwa adamu kufanmishwa kuwa alichafanya hakikubaliki,ataendelea kufanya zaidi ya alichafanya..