Botswana waichana live USA

Botswana waichana live USA

Sijui alimaanisha nini, ila kama ni hii ninayofikiri mimi, yuko sahihi, japo kauli yake ni kali mno
 
Kabisa Mkuu, na hatupendi kuambiwa Ukweli.

Maajabu, badala sisi tuanze kuwalaumu hawa viongozi wetu uchwara tunamlaumu Trump.
Hata nikikosea namna gani
Siwezi kukubaliana na jirani yangu kunitusi hata siku moja
Nitajirekebisha lakini sikubali kunenewa vibaya
Especially na mzoga kama hilo zezeta
 
Trump hana capacity ya kuona hiyo tofauti
Yeye ni mwendawazimu tu!
Sawa kabisa.hakuna haja ya kuwatukana watu.
Kitu haukitaki sema haukitaki.ila si kutukana.mbona wamexico kila siku wanaingia USA.na hasemi kitu.
Alitaka kujenga ukuta Leo hii huo ukuta upo??
 
Trump ni kichaa paseee
Kwani marekani imetokea wapi?
There's time for everything under the sun
Huo ukichaa wake uliupima ukaprove?

Marekani ilitokea kuwa koloni la Muingereza miaka ya 1770, lakini nchi ilikuwa na progress nyingi zinazoonekana na uzalendo wa kweli na maendeleo yalionekana kiiila baada ya muda mfupi inawezekana ni kila baada ya siku moja ama wiki moja kwakuwa kila kilichoanzishwa kilitunzwa na kuboreshwa.

Sisi tuna zaidi ya miaka 55 ya Uhuru ila bado tunatumia vilivyoanzishwa na Wakoloni.

Na bado ni Watumwa wa fikra na mali mpaka kwa Wahindi.
 
Watutsi bhana,nyinyi juzi hapa mmeuana kwa ukabila unathubutu kujiita eti msafi?hako kainchi kenu kanalingana na mkoa wa Mara kana nn?rudi kwenu,usituletee laana ya ukabila kwenye nchi yetu.
Kuna watu walio uana kama majitu meupe huko Europe
Rudi kwenye history ndugu yangu
 
Huo ukichaa wake uliupima ukaprove?

Marekani ilitokea kuwa koloni la Muingereza miaka ya 1770, lakini nchi ilikuwa na progress nyingi zinazoonekana na uzalendo wa kweli na maendeleo yalionekana kiiila baada ya muda mfupi inawezekana ni kila baada ya siku moja ama wiki moja kwakuwa kila kilichoanzishwa kilitunzwa na kuboreshwa.

Sisi tuna zaidi ya miaka 55 ya Uhuru ila bado tunatumia vilivyoanzishwa na Wakoloni.

Na bado ni Watumwa wa fikra na mali mpaka kwa Wahindi.
Na marekani wana zaidi ya miaka 400
Ehhh jamani!
 
Trump ni ma drugs na ndumu ndo zina mpelekesha hivyo sio yy, ni ma stimu babaako
 
Kuna nchi Afrika zimeshtuka kimawazo,na kuna nchi zimelala kimawazo,moja katika nchi zilizoamka ni pamoja na nchi ya Botswana,na katika nchi zilizolala kimawazo ni nchi kama majirani zetu Kenya na Rwanda

Sio siku nyingi zilizopita raisi wa marekani alitanganza kuwa Jerusalem ni mji mkuu wa Israel,nchi nyingi zilipinga hatua hiyo,lakini Kenya na Rwanda zilikubaliana na Trump...

Tukumbuke Kenya vile vile ilikuwa inaunga mkono utawala wa ubaguzi wa rangi(Apatheid) Afrika Kusini....

Trump katika siasa zake zinaohusu uhamiaji,kauliza kwanini nchi zenye watu wachafu kama makalio, kakusudi watu wa Afrika ikiwemo Kenya,Rwanda na Haiti kwanini wanakuja kuishi marekani..?

Botswana imechukuwa hatua ya kumrejesha balozi wake nyumbani,ni hatua nzuri sana kwa watu wanojijua,kama nchi za Afrika zitaiga mfano wa Botswana basi dunia itaziheshimu nchi za Afrika

Je Tanzania tutasubutu kama walivyofanya Botswana....?


Habari kutoka BBC
View attachment 673985
Serikali ya Botswana imemshutumu Rais wa Marekani kwa kusema mataifa ya Afrika ni "machafu" na kusema tamko lake rais huyo ni la kukosa kuwajibika, la kukera na "ubaguzi wa rangi".

Bw Trump alisema hayo alipokuwa akizungumzia sera ya uhamiaji ya Marekani, ambapo alisema anafikiti watu kutoka Haiti, El Salvador na nchi za Afrika hawafai kuruhusiwa kuingia kama wahamiaji Marekani.

Botswana imesema kupitia taarifa kwamba imemwita balozi wa Marekani nchini humo kufafanua iwapo Marekani inachukulia taifa hilo la kusini mwa Afrika kama "taifa chafu" na taifa la mabwege.

Taarifa hiyo ya Botswana imesema tamko la Trump ni la kukosea heshima taifa ambalo lina urafiki wa kufana na uhusiano wa kibalozi.

Botswana imeitaka jumuiya ya kiuchumi ya nchi za kusini mwa Afrika Sadc pamoja na Umoja wa Afrika kushutumu tamko hilo la Trump.

Bw Trump kwenye Twitter hata hivyo amejitetea na kusema hakutumia maneno hayo, lakini akasema aliyoyasema yalikuwa na "lugha kali".

Msemaji wa Umoja wa Mataifa amesema tamko hilo la Trump ni la kushangaza, la aibu na la ubaguzi wa rangi.

Rupert Colville amesema: "Iwapo yatathibitishwa, matamshi haya ni ya kushangaza na ya aibu sana kutoka kwa rais wa Marekani, nasikitika kwamba hakuna maneno mengine ya kueleza hili ila kusema kwamba ni ubaguzi wa rangi.

View attachment 673970

Ameongea ukweli , waafrika ni wachafu ma ni mabwege
 
Hata nikikosea namna gani
Siwezi kukubaliana na jirani yangu kunitusi hata siku moja
Nitajirekebisha lakini sikubali kunenewa vibaya
Especially na mzoga kama hilo zezeta
Trump sio zezeta ndio maana hata akiwatusi Afrika nzima hakuna wa kumfanya chochote...zaidi ya kulaumu tu.

Halafu aidha ukubali au ukatae tayari keshawatusi na si mara moja na dunia imesikia.
 
Sawa kabisa.hakuna haja ya kuwatukana watu.
Kitu haukitaki sema haukitaki.ila si kutukana.mbona wamexico kila siku wanaingia USA.na hasemi kitu.
Alitaka kujenga ukuta Leo hii huo ukuta upo??
Zezeta hilo babu
Ni la kupuuzia tu
 
Trump sio zezeta ndio maana hata akiwatusi Afrika nzima hakuna wa kumfanya chochote...zaidi ya kulaumu tu.

Halafu aidha ukubali au ukatae tayari keshawatusi na si mara moja na dunia imesikia.
Si lidomo lake ndiyo limeharisha
Kwani kutukana sifa?
Mwehu babu yule
Nasikia mara nyingi anasahau kuvaa nguo inabidi avishwe hahahaha
 
Na marekani wana zaidi ya miaka 400
Ehhh jamani!
Umeelewa point yangu hapo?

Marais wote waliopita wa Marekani walikuwa na Uzalendo haswa na ni viongozi kwelikweli sio UCHWARA mkuu.

Kutoka kuwa koloni la muingereza mpaka kuwa super power na kuitawala dunia si lelemama.
 
Si lidomo lake ndiyo limeharisha
Kwani kutukana sifa?
Mwehu babu yule
Nasikia mara nyingi anasahau kuvaa nguo inabidi avishwe hahahaha
Kumbe unasikia tu huna ushahidi?

Hizi dua za kuku hazimpati mwewe.
 
Umeelewa point yangu hapo?

Marais wote waliopita wa Marekani walikuwa na Uzalendo haswa na ni viongozi kwelikweli sio UCHWARA mkuu.

Kutoka kuwa koloni la muingereza mpaka kuwa super power na kuitawala dunia si lelemama.
Mwambie mchina na mrusi
Acha kujichukia kijana
Nakupa amri JITHAMINI
 
Back
Top Bottom