ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,072
- 858,572
Trump hana capacity ya kuona hiyo tofautiLAKINI HANA MAMLAKA YA KUTUTUKANA WAAFRIKA.apambane na hali yake.
anaruhusiwa kukataza sio kutukana.
Yeye ni mwendawazimu tu!
Trump hana capacity ya kuona hiyo tofautiLAKINI HANA MAMLAKA YA KUTUTUKANA WAAFRIKA.apambane na hali yake.
anaruhusiwa kukataza sio kutukana.
Hata nikikosea namna ganiKabisa Mkuu, na hatupendi kuambiwa Ukweli.
Maajabu, badala sisi tuanze kuwalaumu hawa viongozi wetu uchwara tunamlaumu Trump.
Sawa kabisa.hakuna haja ya kuwatukana watu.Trump hana capacity ya kuona hiyo tofauti
Yeye ni mwendawazimu tu!
Huo ukichaa wake uliupima ukaprove?Trump ni kichaa paseee
Kwani marekani imetokea wapi?
There's time for everything under the sun
Kuna watu walio uana kama majitu meupe huko EuropeWatutsi bhana,nyinyi juzi hapa mmeuana kwa ukabila unathubutu kujiita eti msafi?hako kainchi kenu kanalingana na mkoa wa Mara kana nn?rudi kwenu,usituletee laana ya ukabila kwenye nchi yetu.
Na marekani wana zaidi ya miaka 400Huo ukichaa wake uliupima ukaprove?
Marekani ilitokea kuwa koloni la Muingereza miaka ya 1770, lakini nchi ilikuwa na progress nyingi zinazoonekana na uzalendo wa kweli na maendeleo yalionekana kiiila baada ya muda mfupi inawezekana ni kila baada ya siku moja ama wiki moja kwakuwa kila kilichoanzishwa kilitunzwa na kuboreshwa.
Sisi tuna zaidi ya miaka 55 ya Uhuru ila bado tunatumia vilivyoanzishwa na Wakoloni.
Na bado ni Watumwa wa fikra na mali mpaka kwa Wahindi.
Kuna nchi Afrika zimeshtuka kimawazo,na kuna nchi zimelala kimawazo,moja katika nchi zilizoamka ni pamoja na nchi ya Botswana,na katika nchi zilizolala kimawazo ni nchi kama majirani zetu Kenya na Rwanda
Sio siku nyingi zilizopita raisi wa marekani alitanganza kuwa Jerusalem ni mji mkuu wa Israel,nchi nyingi zilipinga hatua hiyo,lakini Kenya na Rwanda zilikubaliana na Trump...
Tukumbuke Kenya vile vile ilikuwa inaunga mkono utawala wa ubaguzi wa rangi(Apatheid) Afrika Kusini....
Trump katika siasa zake zinaohusu uhamiaji,kauliza kwanini nchi zenye watu wachafu kama makalio, kakusudi watu wa Afrika ikiwemo Kenya,Rwanda na Haiti kwanini wanakuja kuishi marekani..?
Botswana imechukuwa hatua ya kumrejesha balozi wake nyumbani,ni hatua nzuri sana kwa watu wanojijua,kama nchi za Afrika zitaiga mfano wa Botswana basi dunia itaziheshimu nchi za Afrika
Je Tanzania tutasubutu kama walivyofanya Botswana....?
Habari kutoka BBC
View attachment 673985
Serikali ya Botswana imemshutumu Rais wa Marekani kwa kusema mataifa ya Afrika ni "machafu" na kusema tamko lake rais huyo ni la kukosa kuwajibika, la kukera na "ubaguzi wa rangi".
Bw Trump alisema hayo alipokuwa akizungumzia sera ya uhamiaji ya Marekani, ambapo alisema anafikiti watu kutoka Haiti, El Salvador na nchi za Afrika hawafai kuruhusiwa kuingia kama wahamiaji Marekani.
Botswana imesema kupitia taarifa kwamba imemwita balozi wa Marekani nchini humo kufafanua iwapo Marekani inachukulia taifa hilo la kusini mwa Afrika kama "taifa chafu" na taifa la mabwege.
Taarifa hiyo ya Botswana imesema tamko la Trump ni la kukosea heshima taifa ambalo lina urafiki wa kufana na uhusiano wa kibalozi.
Botswana imeitaka jumuiya ya kiuchumi ya nchi za kusini mwa Afrika Sadc pamoja na Umoja wa Afrika kushutumu tamko hilo la Trump.
Bw Trump kwenye Twitter hata hivyo amejitetea na kusema hakutumia maneno hayo, lakini akasema aliyoyasema yalikuwa na "lugha kali".
Msemaji wa Umoja wa Mataifa amesema tamko hilo la Trump ni la kushangaza, la aibu na la ubaguzi wa rangi.
Rupert Colville amesema: "Iwapo yatathibitishwa, matamshi haya ni ya kushangaza na ya aibu sana kutoka kwa rais wa Marekani, nasikitika kwamba hakuna maneno mengine ya kueleza hili ila kusema kwamba ni ubaguzi wa rangi.
View attachment 673970
Trump sio zezeta ndio maana hata akiwatusi Afrika nzima hakuna wa kumfanya chochote...zaidi ya kulaumu tu.Hata nikikosea namna gani
Siwezi kukubaliana na jirani yangu kunitusi hata siku moja
Nitajirekebisha lakini sikubali kunenewa vibaya
Especially na mzoga kama hilo zezeta
Zezeta hilo babuSawa kabisa.hakuna haja ya kuwatukana watu.
Kitu haukitaki sema haukitaki.ila si kutukana.mbona wamexico kila siku wanaingia USA.na hasemi kitu.
Alitaka kujenga ukuta Leo hii huo ukuta upo??
Si lidomo lake ndiyo limeharishaTrump sio zezeta ndio maana hata akiwatusi Afrika nzima hakuna wa kumfanya chochote...zaidi ya kulaumu tu.
Halafu aidha ukubali au ukatae tayari keshawatusi na si mara moja na dunia imesikia.
Rudini kwenu Rwanda, hatuwatakiiiiiKuna watu walio uana kama majitu meupe huko Europe
Rudi kwenye history ndugu yangu
Kwenu!Ameongea ukweli , waafrika ni wachafu ma ni mabwege
Umeelewa point yangu hapo?Na marekani wana zaidi ya miaka 400
Ehhh jamani!
Kwetu ni hapa hapa TANZANIA yanguRudini kwenu Rwanda, hatuwatakiiiii
Kumbe unasikia tu huna ushahidi?Si lidomo lake ndiyo limeharisha
Kwani kutukana sifa?
Mwehu babu yule
Nasikia mara nyingi anasahau kuvaa nguo inabidi avishwe hahahaha

Mwambie mchina na mrusiUmeelewa point yangu hapo?
Marais wote waliopita wa Marekani walikuwa na Uzalendo haswa na ni viongozi kwelikweli sio UCHWARA mkuu.
Kutoka kuwa koloni la muingereza mpaka kuwa super power na kuitawala dunia si lelemama.
Ww na mwenzako AMAHORO mnanuka damu ya mauaji ya kikabila ndo maana nasema, mrudi kwenu,laana ya UKABILA msituleteeKwetu ni hapa hapa TANZANIA yangu
Hallelujah