Ulimwona akitumia?Tumuwekee vikwazo tuu,yeye mwenyewe hatumii maji anatumia toilet paper.
Sasa trump kipi kinachomuuma kuhusu afrika?Hiyo kututukana ni kuthibitisha kutudharau...kwsbb Waafrika wengi wana sababu nyingi za kudharauliwa, hasa viongozi.
Tofauti ya Trump na wazungu wengine ni kuwa yeye si Mnafiki, wazungu wengine wanatuchukia sana na wanatutukana mioyoni si mdomoni.
Bora awe adui yako wa wazi kbs kuliko wa kisirisiri.
We ndo mzigo kabisa.unashindwa kujua kama afrika ni bara au binadamu?Kwan alidanganya? Iv Afrika ni binadam kweli?
Kinachomuuma ni Waafrika kung'ang'ania kuingia nchini kwake wakiwa ni Wakimbizi na Ombaomba.Sasa trump kipi kinachomuuma kuhusu afrika?
Marekani sio nchi ya trump.wala waafrika hawamfati yeye huko marekani.wala hela hatoi yeye ya kuwasaidia wakimbizi.Kinachomuuma ni Waafrika kung'ang'ania kuingia nchini kwake wakiwa ni Wakimbizi na Ombaomba.
Zaidi akifahamu vizuri sababu za ukimbizi huona kuombaomba kuwa ni Waafrika wenyewe hasa viongozi wao.
Hujitambui Ndugu.sijui unaishi karne gani kimawazoUnajua asili yake?
Ana asili ya uchotara sio ngoz ngumu kama sisi ndio maana hatak ujinga
Mkuu nimesema ivi kwan wa afrika ni binadam? Matendo yetu mbona kama ya wanyama?We ndo mzigo kabisa.unashindwa kujua kama afrika ni bara au binadamu?
Matendo yapi hayo?Mkuu nimesema ivi kwan wa afrika ni binadam? Matendo yetu mbona kama ya wanyama?
Watu weupe ndiyo wachafu zaidiNi kweli Waafrika ni watu wachafu sana.
Wanao sababisha tuitwe wachafu ni viongozi wetu uchwara waliojaa Africa wanao wasujudia wawekezaji wa kigeniNi kweli Waafrika ni watu wachafu sana.
Hahaha...Ukisema USA sio nchi ya Trump unakosea sana.Marekani sio nchi ya trump.wala waafrika hawamfati yeye huko marekani.wala hela hatoi yeye ya kuwasaidia wakimbizi.
HAWAACHE WANANCHI WA US WASEME.
sio yeye aseme kwa chuki zake.
na hyo sio sababu.
ASEME TU SITAKI MUINGIE US.LAKINI SI KUTUTUKANA.
Atuache na matatizo yetu waafrika.yeye hayamuhusu.
Na asiumizwe.
Sasa anataka wananchi wa afrika tuanzishe vita kuwapinga viongozi wetu.ili wao wauze madawa na silaha.
Ana mental disorderTrump anajulikana kwa tabia zake, kauli zake na mambo yake ya kukurupuka ovyo...
Atakalo amka nalo ndiyo hilo hilo...
Cc: mahondaw
Watu weupe ni wachafu kwa yapi? Watu weusi ni wachafu kuanzia akilini.Watu weupe ndiyo wachafu zaidi
Acha kujilaani!
Watutsi bhana,nyinyi juzi hapa mmeuana kwa ukabila unathubutu kujiita eti msafi?hako kainchi kenu kanalingana na mkoa wa Mara kana nn?rudi kwenu,usituletee laana ya ukabila kwenye nchi yetu.Ukitaka kujua waafrika ni wachafu, nenda dsm utaona inavyonuka very true Trump Ila ukweli unauma Sana , Kigali pekee ndio nàona angalau kidogo
LAKINI HANA MAMLAKA YA KUTUTUKANA WAAFRIKA.apambane na hali yake.Hahaha...Ukisema USA sio nchi ya Trump unakosea sana.
USA ni nchi ya Trump. Trump ndiye Rais aliyechaguliwa na Wamarekani kuiongoza nchi, kuwa dhamana ya nchi, na kuiwakilisha nchi popote duniani.
Ana amri na mamlaka kama Rais kukubali na kukataa mambo mengi yahusuyo USA.
Pia ana mamlaka na sauti UN.
Mimi nakushangaa wewe ni kwanini unamlaumu Donald Trump badala ya kulaumu Waafrika haswa viongozi wanaosababisha hao Wakimbizi.
Trump ni kichaa paseeeHahaha...Ukisema USA sio nchi ya Trump unakosea sana.
USA ni nchi ya Trump. Trump ndiye Rais aliyechaguliwa na Wamarekani kuiongoza nchi, kuwa dhamana ya nchi, na kuiwakilisha nchi popote duniani.
Ana amri na mamlaka kama Rais kukubali na kukataa mambo mengi yahusuyo USA.
Pia ana mamlaka na sauti UN.
Mimi nakushangaa wewe ni kwanini unamlaumu Donald Trump badala ya kulaumu Waafrika haswa viongozi wanaosababisha hao Wakimbizi.
Kabisa Mkuu, na hatupendi kuambiwa Ukweli.Wanao sababisha tuitwe wachafu ni viongozi wetu uchwara waliojaa Africa wanao wasujudia wawekezaji wa kigeni