Botswana waichana live USA

Botswana waichana live USA

Na mimi ndo nakuuliza unajua wazungu wakinya wanatumia nini kujisafisha?
Wanatumia mabunzi?
Sijui wanatumia nini kwakuwa sijawahi kuwachungulia

Wewe ulimshuhudia Trump akitumia karatasi?
 
Sijui wanatumia nini kwakuwa sijawahi kuwachungulia

Wewe ulimshuhudia Trump akitumia karatasi?
Hilo halina ubishi.kama sio makaratasi bhas atakuwa anachambia headdick ya makamu wake wa rais.f*ck trump.
 
Kuna nchi Afrika zimeshtuka kimawazo,na kuna nchi zimelala kimawazo,moja katika nchi zilizoamka ni pamoja na nchi ya Botswana,na katika nchi zilizolala kimawazo ni nchi kama majirani zetu Kenya na Rwanda

Sio siku nyingi zilizopita raisi wa marekani alitanganza kuwa Jerusalem ni mji mkuu wa Israel,nchi nyingi zilipinga hatua hiyo,lakini Kenya na Rwanda zilikubaliana na Trump...

Tukumbuke Kenya vile vile ilikuwa inaunga mkono utawala wa ubaguzi wa rangi(Apatheid) Afrika Kusini....

Trump katika siasa zake zinaohusu uhamiaji,kauliza kwanini nchi zenye watu wachafu kama makalio, kakusudi watu wa Afrika ikiwemo Kenya,Rwanda na Haiti kwanini wanakuja kuishi marekani..?

Botswana imechukuwa hatua ya kumrejesha balozi wake nyumbani,ni hatua nzuri sana kwa watu wanojijua,kama nchi za Afrika zitaiga mfano wa Botswana basi dunia itaziheshimu nchi za Afrika

Je Tanzania tutasubutu kama walivyofanya Botswana....?


Habari kutoka BBC
View attachment 673985
Serikali ya Botswana imemshutumu Rais wa Marekani kwa kusema mataifa ya Afrika ni "machafu" na kusema tamko lake rais huyo ni la kukosa kuwajibika, la kukera na "ubaguzi wa rangi".

Bw Trump alisema hayo alipokuwa akizungumzia sera ya uhamiaji ya Marekani, ambapo alisema anafikiti watu kutoka Haiti, El Salvador na nchi za Afrika hawafai kuruhusiwa kuingia kama wahamiaji Marekani.

Botswana imesema kupitia taarifa kwamba imemwita balozi wa Marekani nchini humo kufafanua iwapo Marekani inachukulia taifa hilo la kusini mwa Afrika kama "taifa chafu" na taifa la mabwege.

Taarifa hiyo ya Botswana imesema tamko la Trump ni la kukosea heshima taifa ambalo lina urafiki wa kufana na uhusiano wa kibalozi.

Botswana imeitaka jumuiya ya kiuchumi ya nchi za kusini mwa Afrika Sadc pamoja na Umoja wa Afrika kushutumu tamko hilo la Trump.

Bw Trump kwenye Twitter hata hivyo amejitetea na kusema hakutumia maneno hayo, lakini akasema aliyoyasema yalikuwa na "lugha kali".

Msemaji wa Umoja wa Mataifa amesema tamko hilo la Trump ni la kushangaza, la aibu na la ubaguzi wa rangi.

Rupert Colville amesema: "Iwapo yatathibitishwa, matamshi haya ni ya kushangaza na ya aibu sana kutoka kwa rais wa Marekani, nasikitika kwamba hakuna maneno mengine ya kueleza hili ila kusema kwamba ni ubaguzi wa rangi.

View attachment 673970

Habari inayozungumzia hatua ya Botswana kumrejesha balozi wake nyumbani umeisoma wapi? Press Release uliyoambatanisha hapa haisemi hivyo! Ni tatizo la lugha au willful distortion?
 
Duuh...hivi una ushahidi na haya?

Hujasukumwa na chuki dhidi yake kuyasema haya mkuu?
Mzungu,mwarabu HAJAWAHI KUMPENDA MWAFRIKA WALA AFRIKA.
SINTOKUJA KUSIMAMA UPANDE WA MZUNGU WALA MWARABU KATIKA MAISHA YANGU.
Wazee wetu waliteswa na hao watu.
Wakauzwa marekani na ulaya kufanya kazi kwa mateso makubwa.
SIWEZIIIIII.
nitakutana nao kwenye imani yangu ya uislam basi.
 
Mzungu,mwarabu HAJAWAHI KUMPENDA MWAFRIKA WALA AFRIKA.
SINTOKUJA KUSIMAMA UPANDE WA MZUNGU WALA MWARABU KATIKA MAISHA YANGU.
Wazee wetu waliteswa na hao watu.
Wakauzwa marekani na ulaya kufanya kazi kwa mateso makubwa.
SIWEZIIIIII.
nitakutana nao kwenye imani yangu ya uislam basi.
Ni sawa, ila mimi nawalaumu zaidi Watu weusi kwa kukubali kufanyiwa hayo yooote kutokana na Ujinga na Uzembe.

Okay, walitufanyia hayo wakati wa ukoloni kutokana na Ujinga na Uduni wetu kwa wao kutuzidi Akili na Maarifa.

Je haya wanayotufanyia leo ni kutokana na nini? Hujui ni Allignment ya Viongozi wetu wa kiafrika kwa hao hao Waarabu na Wazungu?

Kwani hata sasa Waafrika wapo huru?
 
Tumuwekee vikwazo tuu,yeye mwenyewe hatumii maji anatumia toilet paper.
 
Ni sawa, ila mimi nawalaumu zaidi Watu weusi kwa kukubali kufanyiwa hayo yooote kutokana na Ujinga na Uzembe.

Okay, walitufanyia hayo wakati wa ukoloni kutokana na Ujinga na Uduni wetu kwa wao kutuzidi Akili na Maarifa.

Je haya wanayotufanyia leo ni kutokana na nini? Hujui ni Allignment ya Viongozi wetu wa kiafrika kwa hao hao Waarabu na Wazungu?

Kwani hata sasa Waafrika wapo huru?
Sawa nakubali yote.HATA HIVYO SIO SABABU YA YEYE KUTUTUKANA.
VINGINEVYO ATAKUWA NA SABABU ZAKE BINAFSI.kwanini atutukane?kwanini atuchukie?hajui kama waafrika na afrika na wameijenga marekani?
 
How good and how pleasant it would be before God and men, to see the unification of Africans, as it has been said already, Let it be done.
We are the chidren of the Rastaman,
We are the chidren of the Higherman,
So Africa unite, coz we are moving right of
the babylon and we are going to our
Fathers land.
Unite for the benefit of your people,
Unite for the benefit of your children
-By late Bob Marley
 
Siyo kwamba yamemuishia Mkuu hajawahi kuwa nayo maneno ya ushawishi. Yeye ni chuki za kutisha, kufoka foka kuweka mikwara, visasi na kudharau taasisi mbali mbali za Serikali.

Kuna mwenzake huku kaona maneno ya ushawishi yameisha kaamua kutumia pesa
 
Bila shaka Waafrika tumepata jina lingine jipya la kututambulisha miongoni mwa mataifa mengine duniani. This time imetuuma zaidi maana jina lenyewe limekaa vibaya. Naomba wataalam wa Kiswahili watusaidie tafsiri nzuri na fupi ya hili jina jipya la ubatizo wa Trump. Majina kama THIRD WORLD COUNTRIES, LEAST DEVELOPED COUNTRIES (LDCs), HIGHLY INDEBTED POOR COUNTRIES (HIPC) hayakuwahi kutuuma sana kama hilinla sasa. Je ni kwanini hatukuumizwa na haya majina tuliyopewa huko nyuma? Kwani yalikuwa mazuri sana ? Nini kifanyike kukomesha hii tabia ya kubatizwa majina mapya kila wakati wazungu wanapojisikia?
 
Bila shaka Waafrika tumepata jina lingine jipya la kututambulisha miongoni mwa mataifa mengine duniani. This time imetuuma zaidi maana jina lenyewe limekaa vibaya. Naomba wataalam wa Kiswahili watusaidie tafsiri nzuri na fupi ya hili jina jipya la ubatizo wa Trump. Majina kama THIRD WORLD COUNTRIES, LEAST DEVELOPED COUNTRIES (LDCs), HIGHLY INDEBTED POOR COUNTRIES (HIPC) hayakuwahi kutuuma sana kama hilinla sasa. Je ni kwanini hatukuumizwa na haya majina tuliyopewa huko nyuma? Kwani yalikuwa mazuri sana ? Nini kifanyike kukomesha hii tabia ya kubatizwa majina mapya kila wakati wazungu wanapojisikia?
Wao ndo wanaotakiwa kuanza.Wanaumizwa nini na afrika?
Wakati wao ndo chanzo cha vita za afrika Ili wauze silaha zao na madawa yao?
 
Kuna nchi Afrika zimeshtuka kimawazo,na kuna nchi zimelala kimawazo,moja katika nchi zilizoamka ni pamoja na nchi ya Botswana,na katika nchi zilizolala kimawazo ni nchi kama majirani zetu Kenya na Rwanda

Sio siku nyingi zilizopita raisi wa marekani alitanganza kuwa Jerusalem ni mji mkuu wa Israel,nchi nyingi zilipinga hatua hiyo,lakini Kenya na Rwanda zilikubaliana na Trump...

Tukumbuke Kenya vile vile ilikuwa inaunga mkono utawala wa ubaguzi wa rangi(Apatheid) Afrika Kusini....

Trump katika siasa zake zinaohusu uhamiaji,kauliza kwanini nchi zenye watu wachafu kama makalio, kakusudi watu wa Afrika ikiwemo Kenya,Rwanda na Haiti kwanini wanakuja kuishi marekani..?

Botswana imechukuwa hatua ya kumrejesha balozi wake nyumbani,ni hatua nzuri sana kwa watu wanojijua,kama nchi za Afrika zitaiga mfano wa Botswana basi dunia itaziheshimu nchi za Afrika

Je Tanzania tutasubutu kama walivyofanya Botswana....?


Habari kutoka BBC
View attachment 673985
Serikali ya Botswana imemshutumu Rais wa Marekani kwa kusema mataifa ya Afrika ni "machafu" na kusema tamko lake rais huyo ni la kukosa kuwajibika, la kukera na "ubaguzi wa rangi".

Bw Trump alisema hayo alipokuwa akizungumzia sera ya uhamiaji ya Marekani, ambapo alisema anafikiti watu kutoka Haiti, El Salvador na nchi za Afrika hawafai kuruhusiwa kuingia kama wahamiaji Marekani.

Botswana imesema kupitia taarifa kwamba imemwita balozi wa Marekani nchini humo kufafanua iwapo Marekani inachukulia taifa hilo la kusini mwa Afrika kama "taifa chafu" na taifa la mabwege.

Taarifa hiyo ya Botswana imesema tamko la Trump ni la kukosea heshima taifa ambalo lina urafiki wa kufana na uhusiano wa kibalozi.

Botswana imeitaka jumuiya ya kiuchumi ya nchi za kusini mwa Afrika Sadc pamoja na Umoja wa Afrika kushutumu tamko hilo la Trump.

Bw Trump kwenye Twitter hata hivyo amejitetea na kusema hakutumia maneno hayo, lakini akasema aliyoyasema yalikuwa na "lugha kali".

Msemaji wa Umoja wa Mataifa amesema tamko hilo la Trump ni la kushangaza, la aibu na la ubaguzi wa rangi.

Rupert Colville amesema: "Iwapo yatathibitishwa, matamshi haya ni ya kushangaza na ya aibu sana kutoka kwa rais wa Marekani, nasikitika kwamba hakuna maneno mengine ya kueleza hili ila kusema kwamba ni ubaguzi wa rangi.

View attachment 673970
Trump yupo sahihi kitendo cha Li Ccm kuendelea kurubuni wapinzani (chadema) kwa shekeli kimemkera ....!
 
Sawa nakubali yote.HATA HIVYO SIO SABABU YA YEYE KUTUTUKANA.
VINGINEVYO ATAKUWA NA SABABU ZAKE BINAFSI.kwanini atutukane?kwanini atuchukie?hajui kama waafrika na afrika na wameijenga marekani?
Hiyo kututukana ni kuthibitisha kutudharau...kwsbb Waafrika wengi wana sababu nyingi za kudharauliwa, hasa viongozi.

Tofauti ya Trump na wazungu wengine ni kuwa yeye si Mnafiki, wazungu wengine wanatuchukia sana na wanatutukana mioyoni si mdomoni.

Bora awe adui yako wa wazi kbs kuliko wa kisirisiri.
 
Back
Top Bottom